Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Inahitaji akili kwenda sawa na mashabiki wa timu pinzani
Katika watu wanafiki na wasio na msimamo ni hawa jamaa zetu wa pembeni.
Miaka hii iliyopita wakati sisi tunampamba De Gea kwa ubora wake wao walikuwa wanasema ni mbovu tunamkuza tu na wakatumia kigezo chake cha kuachwa timu ya taifa nyuma ya Kepa.
Ila sasa hivi wakati mioyo ya baadhi ya wana United imebadilika pamoja na mtazamo wao wanaanza kusema eti tumekosea kumuacha ni World Class mara tumetema Big G kwa karanga za kuonjeshwa.
Hawahawa pia wakati Pogba anarudi 2016 tulikuwa tunampamba wao wakawa wanaponda kila siku kuwa tumetapeliwa,ila baada ya mashabiki wa United kuanza kumkataa wao eti wakawa wanasema ni bonge la mchezaji ila timu ndio mbovu,maybe!
Ilikuwa hivyo pia kipindi Maguire anasajiliwa wakawa wanasema ni beki mbovu sana Leicester wametutapeli na wakati huo ilikuwa tunamsifu hakuwa mbovu alikuwa katulia,ila baada ya sisi kuanza kumkataa wakaanza oh Maguire sio beki mbaya timu yetu ndio mbovu tunamfanya scapegoat tu.
Na tusishangae kipindi tunamkataa Antony wao wakasema ana ubora kama wa Salah ila timu ndio inamuangusha
Anyway hii ni kawaida yao wanafanya juu chini tupishane nao kimtazamo,hawana msimamo hadi unaanza kujiuliza jinsia zao halisi ni zipi



Tuwavumilie tu
Katika watu wanafiki na wasio na msimamo ni hawa jamaa zetu wa pembeni.
Miaka hii iliyopita wakati sisi tunampamba De Gea kwa ubora wake wao walikuwa wanasema ni mbovu tunamkuza tu na wakatumia kigezo chake cha kuachwa timu ya taifa nyuma ya Kepa.
Ila sasa hivi wakati mioyo ya baadhi ya wana United imebadilika pamoja na mtazamo wao wanaanza kusema eti tumekosea kumuacha ni World Class mara tumetema Big G kwa karanga za kuonjeshwa.
Hawahawa pia wakati Pogba anarudi 2016 tulikuwa tunampamba wao wakawa wanaponda kila siku kuwa tumetapeliwa,ila baada ya mashabiki wa United kuanza kumkataa wao eti wakawa wanasema ni bonge la mchezaji ila timu ndio mbovu,maybe!
Ilikuwa hivyo pia kipindi Maguire anasajiliwa wakawa wanasema ni beki mbovu sana Leicester wametutapeli na wakati huo ilikuwa tunamsifu hakuwa mbovu alikuwa katulia,ila baada ya sisi kuanza kumkataa wakaanza oh Maguire sio beki mbaya timu yetu ndio mbovu tunamfanya scapegoat tu.
Na tusishangae kipindi tunamkataa Antony wao wakasema ana ubora kama wa Salah ila timu ndio inamuangusha
Anyway hii ni kawaida yao wanafanya juu chini tupishane nao kimtazamo,hawana msimamo hadi unaanza kujiuliza jinsia zao halisi ni zipi




Tuwavumilie tu
