Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Arsenal fans, hawawezi kutoa hoja zao bila kuweka utoto na ujinga ujinga ndani, wao kila kitu nikuponda bila facts ukizingatia hakuna wanachotuzidi katika mafanikio.
sio utoto ila ni utamaduni wa miaka na miaka

after all, season hi mnatuachia point 6 msimu hu
 
Screenshot_20230709-172657_Samsung Internet.jpg

Unakubaliana naye?
 
Kwanini vilabu vya uingereza na ulaya kwa ujumla huwa hawajishughulishi sana na masuala ya usajili kwa siku ya jumamosi na jumapili?
Wazungu kwaujumla shughuli zao zote wanafungaga Ijumaa na ndio maana ukitumia mfano masoko ya kifedha fx mwisho ni Ijumaa. Weekend wenzetu wanaspend time na familia zao.

Sisi tunashangaa kwasababu sisi hatujawahi kuwa na kazi. Unakuta hapa bongo unaenda kwa mtu siku ya sikukuu xmas au Eid unaambiwa kaenda kazini bro hizi zetu sio kazi ni mishemishe ndio hazinaga ukomo

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Sasa mbona tumeshika nafasi ya 3 mzee ?
Kama tungekua tumeshika nafasi ya 4 hoja yako ya Brighton ingekua na mashiko.

NB: Maana yangu ni kwamba kwa kuwa tulishika nafasi ya 3, zilihitajika timu mbili kutuondoa kwenye top 4, badala ya hiyo moja uliyoitaja.

Kama yeye huyo Brighton kweli angekua good enough na kushika nafasi ya 3, basi sisi tungeshika nafasi ya 4 (still in top four) maana tulimzidi Newcastle points (tungemsogeza namba 5).

Vinginevyo njoo utaje wazembe wengine wote waliosababisha sisi tumalize ndani ya nne bora.
Hadi utakapofanya hivyo, acha kumuonea (kumbebesha zigo) Brighton.
Kwanza Hawa mafisi wanaotuita nyumbu. Sawa hatukatai maama sisi ni dunia nzima.

Maana yangu nikwamba sisi nyumbu tupo kibao, fisi wanahangaika na maisha wanatuandama Kila kitu wanahusika wanatusaidia ktk biashara.

Sisi tulihitaji kuwaondoa majinga hapa Old Trafford na tungeshindania ubinngwa.
 
Hakika mpira Ni mchezo wa wazi

Mechi Moja ilitosha kuamini hapa hakuna mchezaji wa €100m Bali Kuna udalali tu

Anthony masebene
IMG_20230709_194700.jpg
 
Si hiyo tu ilifika mahali hata wenzake wakawa wanaogopa kumpa pass maana wanajua atazingua. De gea mpaka akawa anachukia

Huyu jamaa ni liability
Hana mnyumbuliko kabisa
Mtu anacheza mpira ananyooka kama mlingoti 😁
 
hamis last season united ina mafanikio kuliko arsenal yenu, next season hyo kombe la nafasi ya pili tunawatoa....arsenal ilikuw ni bahati km ilivotokea kwa Leicester 2015
 
hamis last season united ina mafanikio kuliko arsenal yenu, next season hyo kombe la nafasi ya pili tunawatoa....arsenal ilikuw ni bahati km ilivotokea kwa Leicester 2015
Jidanganyeni ,Arsenal haichez kwa kubahatisha ,mpira mchezo wa wazi

Manjesta hii ichukue nafas ya 2? Bado unahitaji misimu miwili zaidi Tena inategemea na 7hag anakujaje maana msimu uliopita Kama alikuwa anabahitsha ,mech nyingi Degea kawaokoa ,na aombe Rashford awe Katika form ile ile kitu ambacho sio rahisi

Arsenal tulishachukua FA NA CS mbele ya pep na Klopp lakin hatukuona mafanikio ,Bali tumejenga competetive team ambayo imeongezwa Tena nguvu .
 
Jidanganyeni ,Arsenal haichez kwa kubahatisha ,mpira mchezo wa wazi

Manjesta hii ichukue nafas ya 2? Bado unahitaji misimu miwili zaidi Tena inategemea na 7hag anakujaje maana msimu uliopita Kama alikuwa anabahitsha ,mech nyingi Degea kawaokoa ,na aombe Rashford awe Katika form ile ile kitu ambacho sio rahisi

Arsenal tulishachukua FA NA CS mbele ya pep na Klopp lakin hatukuona mafanikio ,Bali tumejenga competetive team ambayo imeongezwa Tena nguvu .
Kwamba Arsenal ni competitive team!? 😂

Pale Arsenyani ukitoa Saka, Ødegaard, Rice, Timber na Trossard wengine wote ni wachezaji wa kusogeza siku tu.
 
Back
Top Bottom