Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

sidhani kama ni maamuzi ya ten hag haya. Amekiri mara kadhaa confidently kuwa anahitaji abaki. Nadhani kilichomuondoa kipo nje ya uwezo wa kocha.
"Ronaldo is a giant, I look forward to working with him" — BENCHED

"Maguire remains captain, he has achieved a lot of success" — BENCHED

"We want De Gea to stay and extend his contract" — FREE AGENT
 
Barca huko wamechukua kinda kwa Kibrazil Roque kwa €60m.

Hapa ndio muone soka lilivyobadilika,kama unataka mshambuliaji wa bei cheap chukua toka academy ama tafuta wazee wala pensheni kwa mkopo ama bure.
 
sidhani kama ni maamuzi ya ten hag haya. Amekiri mara kadhaa confidently kuwa anahitaji abaki. Nadhani kilichomuondoa kipo nje ya uwezo wa kocha.
Ni mbinu zake tu za kuwalinda wachezaji kwenye media. Angekuwa anataka DDG abaki timu ingetafuta namna ya kusaini mkataba mpya na DDG kwa kuongeza kidogo mshahara waliopunguza.

Timu isingekubali kocha apoteze mchezaji anayemhitaji ila ni wazi De Gea hakuwepo kwenye mipango ya EtH.
 
Onana + backup GK. Hojlund aje na Martial abaki mpaka next summer. Tukipata pesa kwenye sales tumchukue Amrabat.

Ready for next season!
Onana ataipata habari kwa hary magwaya
Magwaya hajawai kutuangusha

Ipo hivi, Onana ni mzuri kuanzisha mashambulizi.
Kwaio lazima mabeki wawe comfortable kwenye kupokea mipira na kuanza mashambulizi. Swali la kujiuliza aina hiyo ya mabeki mnao? Jibu baki nalo

Kwenye saving, de gea anaeondoka na Onana anaekuja Nani ni mzuri? Jibu baki nalo

Tatizo kubwa la nyumbu ni kipa au kiungo na mabeki? Jibu baki nalo

Hadi dakika hii mnajua 7hag anacheza mtumo gani na msimu unaokuja anaingia na mfumo gani kwa wachezaji gani? Hapa hamna majibu, coz ata 7hag yeye mwenyewe hajui yupo na mfumo gani

Usajiri uliofanywa na 7hag tangu aingie
Anthony
Ganacho
Martinez
Eliksen
Casimiro
Totatl spending was €250m+
Swali, ata wewe ungekua mdhamini wa timu alafu unaambiwa uachie timu ungekubali? Jibu baki nalo

Antony mmepigwa au hamjapigwa?. Hapa jibu nawapa MMEPIGWA
 
Onana ataipata habari kwa hary magwaya
Magwaya hajawai kutuangusha

Ipo hivi, Onana ni mzuri kuanzisha mashambulizi.
Kwaio lazima mabeki wawe comfortable kwenye kupokea mipira na kuanza mashambulizi. Swali la kujiuliza aina hiyo ya mabeki mnao? Jibu baki nalo

Kwenye saving, de gea anaeondoka na Onana anaekuja Nani ni mzuri? Jibu baki nalo

Tatizo kubwa la nyumbu ni kipa au kiungo na mabeki? Jibu baki nalo

Hadi dakika hii mnajua 7hag anacheza mtumo gani na msimu unaokuja anaingia na mfumo gani kwa wachezaji gani? Hapa hamna majibu, coz ata 7hag yeye mwenyewe hajui yupo na mfumo gani

Usajiri uliofanywa na 7hag tangu aingie
Anthony
Ganacho
Martinez
Eliksen
Casimiro
Totatl spending was €250m+
Swali, ata wewe ungekua mdhamini wa timu alafu unaambiwa uachie timu ungekubali? Jibu baki nalo

Antony mmepigwa au hamjapigwa?. Hapa jibu nawapa MMEPIGWA
Ganacho??
 
Angel Gomes kaupiga mwingi sana Under 21.

Kutoka namba 10 hadi deep lying playmaker
1688840867670.png
 
Onana ataipata habari kwa hary magwaya
Magwaya hajawai kutuangusha

Ipo hivi, Onana ni mzuri kuanzisha mashambulizi.
Kwaio lazima mabeki wawe comfortable kwenye kupokea mipira na kuanza mashambulizi. Swali la kujiuliza aina hiyo ya mabeki mnao? Jibu baki nalo

Kwenye saving, de gea anaeondoka na Onana anaekuja Nani ni mzuri? Jibu baki nalo

Tatizo kubwa la nyumbu ni kipa au kiungo na mabeki? Jibu baki nalo

Hadi dakika hii mnajua 7hag anacheza mtumo gani na msimu unaokuja anaingia na mfumo gani kwa wachezaji gani? Hapa hamna majibu, coz ata 7hag yeye mwenyewe hajui yupo na mfumo gani

Usajiri uliofanywa na 7hag tangu aingie
Anthony
Ganacho
Martinez
Eliksen
Casimiro
Totatl spending was €250m+
Swali, ata wewe ungekua mdhamini wa timu alafu unaambiwa uachie timu ungekubali? Jibu baki nalo

Antony mmepigwa au hamjapigwa?. Hapa jibu nawapa MMEPIGWA
Hahaha! Yaani kwamba EtH hajui timu yake itacheza vipi next season? Ukifuatilia timu alizotoka na usajili wa Mount jibu ni rahisi tu.

Hapo ni hisia tu zimekufanya uandike hivyo ila ni ngumu kutabiri msimu wa timu kwa kutumia statistics za msimu uliopita.
 
Hahaha! Yaani kwamba EtH hajui timu yake itacheza vipi next season? Ukifuatilia timu alizotoka na usajili wa Mount jibu ni rahisi tu.

Hapo ni hisia tu zimekufanya uandike hivyo ila ni ngumu kutabiri msimu wa timu kwa kutumia statistics za msimu uliopita.
Pesa walizotoa boss msimu uliopita
Na msimu huu meshusha Mount, Onana, ....
Alafu anaambiwa aachie timu,
Ungekuwa wewe ungekubali?

Mnao mabeki wa kucheza na Onana katika kufanya build up?

Kuna games nyingi msaada wa de gea mkaishia kupigwa 4, 5, 6 na juzi juzi hapa mlikula 7
De gea na Onana Nani yupo vizuri kwenye savings?

Technically nyumbu mmeshatupa taulo ulingoni kabla ligi haijaanza
 
Back
Top Bottom