Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Nileteeni Onana
Itakuwa kachagua mwenyewe. Ronaldo ni idol wakE
Baada ya beckam ronaldo naona hata mimi nikipata nafasi hapo natupia 😄Ile namba huwa kama vile ina laana. Ronaldo alivyoiacha 2009 wachezaji wote walioivaa baada yake hawakufanya vizuri.
Labda alivyorudi mwenyewe kaitolea gundu. Ila Cavani alipiga nayo kazi vizuri tu.
Hiyo namba nashangaa wanaolia kutopewa Garnacho,mimi naona afadhali.Ile namba huwa kama vile ina laana. Ronaldo alivyoiacha 2009 wachezaji wote walioivaa baada yake hawakufanya vizuri.
Labda alivyorudi mwenyewe kaitolea gundu. Ila Cavani alipiga nayo kazi vizuri tu.
Mashabiki huwa wanalia vitu vya kijinga sana, hasa kule Twitter. Yani mtu anaumia kabisa Mount kupewa #7 kisa Ronaldo aliwahi kuivaa.Hiyo namba nashangaa wanaolia kutopewa Garnacho,mimi naona afadhali.
Kuna wachezaji bora capable wameflop vibaya na kufeli na hiyo namba bora afeli Mount ambaye hata sisi hatumuamini kuliko kummaliza kijana Garnacho na presha mapema sana kwa umri wake hiyo jezi ni nzito sana.
Hatutaki kumpoteza kipenzi chetu toka Academy tukaishia kukumbuka ya akina Januzaj
Kocha wakawaida msimu uliopita ameingia Robo Europa, kabeba kombe na amemaliza nafasi ya 3 ....kocha wako Bora msimu uliopita alifanikiwa nini?Kocha wakawaida huyo ndo maana alipopewa bajeti kubwa hakufanya lolote Sasa wamempa bajeti kiduchu apambane sio kulialia
Watu huwa walalamishi tu ,ila sisi wafatiliaji wa usajili huwa tunajua kinachoendelea mpaka deal doneDili la Mount limeonyesha ni jinsi gani hatupati taarifa zote kuhusu usajili.
Video ya Mount kuwaaga Chelsea imerekodiwa mwezi 1 uliopita.
kwa nini siku ya mwisho ya usajili tunashuhudia dili linamalizwa kwa siku moja?Inaweza kuchukua wiki 2 clubs zinajadili add ons tu ,
Ila Man U, Ni utopolo yaani usajili wake haushtui Kama zamani sijui kwa nini?
Ilitakiwa wapigane kwa kina Rice,Caicedo,MacAllister aiseh!
Hizo huwa ni panic buy ,but Kama klabu inataka kufanya Usajili makini kwakuzingatia details mbalimbali atafit vipi kwenye timu, gharama isiwe kubwa , n.k lazima usajili uchukue mudakwa nini siku ya mwisho ya usajili tunashuhudia dili linamalizwa kwa siku moja?
kwa mantiki hiyo huoni ya kwamba vilabu vinajichelewesha makusudi kufanya usajili kwa haraka
Glazer ni shetanikwa nini siku ya mwisho ya usajili tunashuhudia dili linamalizwa kwa siku moja?
kwa mantiki hiyo huoni ya kwamba vilabu vinajichelewesha makusudi kufanya usajili kwa haraka
Huyo Amrabat ni hatar nilimfahamu kitambo nikajiuliza kwa nini hachezi timu kubwa.Achukue Amrabat na yule dogo Ounahi mido yote ya Morocco atanifurahisha sana,hivi wale jamaa hawanaga bahati mbona hawaimbwi kwenye usajili.
Ninachofahamu ni kuwa mara nyingi mchezaji akija utd bila mbwembwe ndio anaperform wale wa mbwembwe huwa hamna kitu, hivyo naimani Mount atawaziba midomo.Caicedo na Mount Mount ana vikombe vitatu Caicedo ni 6,8 na RB wakati Mount ni 8,10 na winger.
Mnachuki zisizo na aibu sana baadhi yenu.