Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sitashangaa tukianza pre-season striker akiwa Martial.

Hii timu ni stress tupu kwasababu kama washajua hawana pesa wauze basi wachezaji lakini kwenye kila kitu timu ipo slow.

Mimi naamini tayari kocha ana list ya watu wake na wale asio na mpango nao ni suala la timu kuwa wazi. Kama Maguire, Fred, Scott n.k. hawahitajiki wakae sokoini mapema.
Katika wachezaji wetu ambaye simpendi kuliko ni Martial anacheza kama kalazimishwa hata facial expression zake kama anaonewa.

Halafu alijiumiza makusudi ili asiuzwe kwa sababu hatuwezi kuuza mtu akiwa majeruhi.

Na pre season akifunga vigoli viwili kocha anamuamini kweli kumbe ni mtego.Saa hizi hatakiwi kudanganyila kabisa ni atafute striker hata Mehdi Taremi kwa €20m sio mbaya na backup yake young striker halafu Martial aozee benchi kama akina Lingard na Jones.
 
Katika wachezaji wetu ambaye simpendi kuliko ni Martial anacheza kama kalazimishwa hata facial expression zake kama anaonewa.

Halafu alijiumiza makusudi ili asiuzwe kwa sababu hatuwezi kuuza mtu akiwa majeruhi.

Na pre season akifunga vigoli viwili kocha anamuamini kweli kumbe ni mtego.Saa hizi hatakiwi kudanganyila kabisa ni atafute striker hata Mehdi Taremi kwa €20m sio mbaya na backup yake young striker halafu Martial aozee benchi kama akina Lingard na Jones.
Tuna imani na Martial
 
Diogo Costa na Kevin Trapp wapo Eredivisie?


Nishasema mwanzo kuwa Ten Hag akifeli kupata target yake plan B yake anaenda kwa wale wepesi kuwapata ndio anatua Eredivisie.

Hata akiwa Ajax alikuwa hatumii Dutchs unless wana skills sana kama ingekuwa hivyo wangekuwa 80% ya first 11 wanachukua wao.

Halafu umesahau Wenger wenu alikuwaga anabeba sana Wachezaji toka ligue 1? Rafa Benitez akiwa Liverpool alikuwa anabeba sana wachezaji toka La Liga?
Ila akifanya wa United ndio crime

Porto walitaka €70m kwa Costa na bajeti yetu haieleweki ndio maana akaenda kwa Onana wa bei nafuu kiasi.

Na akishindwa hapo ndio anaweza kuja na plan ya mwisho wa Mdachi wa Feyenoord ama ambakishe Henderson.

Van Gaal alishamuonya kufanya kazi kwenye timu ya kisenge hii.


We subiri siku Mwarabu anaichukua timu halafu Techinical na Football Directors wakabadilishwa uone kama atasaini wachezaji wenye connection nae.
Sawa ngoja tuone
 
Casemiro alitoka Erivedise ?
Most ya sajili zake Ni hizo, alipomkosa De jong ndipo akaenda kwa Casemiro

Vipaumbele vyake uwe umewahi kucheza uholanzi au aliwahi kukuhitaji zaman akakukosa

Nje ya hapo Ni Hawa ambao wanajulikana Kama kina Kane ,n.k
 
Back
Top Bottom