Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,542
- 2,474
Nyie wekeni wachezaji wote uwanjani, mfike hata 20TOA SANCHO..TOA MARTIAL na wasianze mechi yoyote ya United pumbaf zao. WEKA RASHFORD na PELISTRI boli litembee.
TOA MAGUIRE, TOA DALOT weka SHAW na MALACIA.
TOA ERICKSON mpira una kasi sana hawezi hii kasi, WEKA FRED
Makende ya Faru hili jamaaMaguire tulimkosea nini kwani?.View attachment 2594542
Unaandika pumba sasa.Captain Maguire kisiki ukuta wa Berlin umelikomesha hilo jasusi la Dutch government hapo MANCHESTER United
Apewe sasa hivi awe kocha mchezaji kama Ryan GigsKweli nimeamini maneno yako Magu-waya ni ukuta wa Berlin ikiwezekana mkataba wa maisha na akistaafu kucheza mpira apewe ukocha kabisa hapo Man Utd.