Jiandae July 22 ,usije sema hamjasajili , tumeomba Friend match na nyie View attachment 2674920
Kuamini mmerudi rasmi mpaka tuwaone mmebeba Epl, mambo ya kuongoza ligi kwa siku 258 halafu mnabakiza mechi 8 tu kumaliza ligi mnatupa taulo na kukaa chini hii inatufanya tuwaone bado nyie ni mid table team tu kama kina crystal palace.Sisi timu kubwa iliyojikwaa kidogo ila haijaanguka mazima. Sasa vitimu vya kizushi kama Nyumbuz vinaamini tumeanguka na havitaki kuamini tumerudi rasmi ulingoni
Friend match tunawaachia mfunge hata goli 10 ili mjione mpo vizuri halafu kwenye ligi tuje kuwafanyia ile kitu mbaya tuliyowafanyiaga msimu wa 2011/2012Jiandae July 22 ,usije sema hamjasajili , tumeomba Friend match na nyie View attachment 2674920
Onana kwenye shot stopping na reflexes hawezi kumfikia De Gea miaka 100.Onana watu wengi wamemjulia fainali ya UCL ila amekuwa bora kitambo tangu akiwa Ajax tunaoangalia Eredivisie Fox Sports tunaelewa japo hatukumuweka akilini wala hatukutegemea siku moja atahusishwa nasi ukizingatia wakati huo tulikuwa addicted na vitu vya De Gea.
Mbali na ligi ya England ligi nyingi watu hawafuatilii sana hasa hizo Uholanzi na Italy sasa wangemjua vipi?
Unasema mbali na pasi zake anakosa vitu vingi vya kuwa kipa bora hebu vitaje,najua saves lazima ziwemo ndio kitu cha kwanza hicho anacho pia.Hebu leta vingine hapa ambavyo hana
Hebu nenda kaangalie skills zake ana kila kitu ama mnaona kisa Mwafrika
Kingine haruhusu bao 4-7 hovyo kama kipa wetu bora
Umeongea ukweli mtupu, onana atapiga pass au kuchezesha vzr timu Kuna watu watamuangushaOnana kwenye shot stopping na reflexes hawezi kumfikia De Gea miaka 100.
Onana kwenye timu yenye defence na midfield kama United ipo siku mtamkumbuka De Gea.
Mimi sikubaliani na De Gea kuwa #1 msimu ujao ila Onana siyo kipa sahihi wa kucheza United kwasasa.
EtH ni kama vile sajili zake nyingi anatafuta watu aliowahi kufanya nao kazi kabla, wenye uraia wa Holland, waliocheza Eredivisie au aliowahi kuwahitaji miaka hiyo ana budget ndogo.
Kucheza na midfield ya Case, Mount, Bruno kwa kipa Onana ni risk sana.
Tatizo kubwa la De Gea ni uoga na kufanya makosa ya kizembe. Kipa mpya anahitajika na sokoni kuna options nyingi tu ni suala la kocha kutuliza akili.
Bado man u hajamalizana na mount naw wanakwenda kwa OnanaOnana kwenye shot stopping na reflexes hawezi kumfikia De Gea miaka 100.
Onana kwenye timu yenye defence na midfield kama United ipo siku mtamkumbuka De Gea.
Mimi sikubaliani na De Gea kuwa #1 msimu ujao ila Onana siyo kipa sahihi wa kucheza United kwasasa.
EtH ni kama vile sajili zake nyingi anatafuta watu aliowahi kufanya nao kazi kabla, wenye uraia wa Holland, waliocheza Eredivisie au aliowahi kuwahitaji miaka hiyo ana budget ndogo.
Kucheza na midfield ya Case, Mount, Bruno kwa kipa Onana ni risk sana.
Tatizo kubwa la De Gea ni uoga na kufanya makosa ya kizembe. Kipa mpya anahitajika na sokoni kuna options nyingi tu ni suala la kocha kutuliza akili.
Hilo halina ubishi lakini watu hawataki kuangalia overall game ya Onana:Kocha wako anahitaji keeper ambaye yupo vizuri with his Feet.Na Onana kwa sasa ni Best keeper in the World with his Feet.
Mimi nasubiri tu kuona kocha atafanya nini, kazi yangu kushabikia tu. Nimeona pia watu wengi hawataki hata idea ya De Gea kubaki na Onana kuja yani wao wanaamini akiwepo Onana tumemaliza na hatuhitaji backup nzuri.Umeongea ukweli mtupu, onana atapiga pass au kuchezesha vzr timu Kuna watu watamuangusha
Mfano mzuri Kepa , ana footwork nzuri tu ila alipokutana na Chelsea Kiungo Cha kuungaunga kila mech walikuwa wanamtoboa , maana sio mzuri kwenye shot stopping na reflex Kama Mendy ambaye ana footwork mbovu
Mount ni vipimo tu na kusaini mikataba. Wiki ijayo uhamisho utakuwa umekamilika.Bado man u hajamalizana na mount naw wanakwenda kwa Onana
De gea anasahaulika mapema Sana duhMimi nasubiri tu kuona kocha atafanya nini, kazi yangu kushabikia tu. Nimeona pia watu wengi hawataki hata idea ya De Gea kubaki na Onana kuja yani wao wanaamini akiwepo Onana tumemaliza na hatuhitaji backup nzuri.
Muda ndiyo hakimu.
De gea anasahaulika mapema Sana duh
Arsenal tuliwahi kupiga On target 14 jamaa anazicheza zote mwaka 2017 nadhani
Ile rekodi sijui Kama itavunjwa karibuni ,
#MUFC have concrete interest in Dutch keeper Justin Bijlow. Feyenoord want to do everything they can to keep him.
#1908.nl
#ππ§πͺπ¨π©πππππ§π€πππ¨π¨πππ
#ππ£ππ©ππππ€π§π©πππππ£π¨
#πππππ ππ ππ¨π¨ππ’ππ£πΌπ©πππ£ππ©π
#ππ‘ππ―ππ§πππ
#ππππ
man utd |View attachment 2674979
Umemsoma alichoandika Forgotten lakini, Degea ana mapungufu ,lakin Kama unamleta Onana Basi muwekee mazingara rafiki lasivyo ataonekana Degea hakuwa tatizo, na mifano ipo hai pale Chelsea , Kepa ana footwork nzuri kuliko mendy,ila we jamaa si ndio ulikua unaongoza kumponda De gea wakati ligi inaendelea?
Au yale yalikua ni maneno tu ya kishabiki?
Kuna uwezekano mkubwa de gea ndio mchezaji mwenye utimamu na uzalendo pale unyumbuni HQDe gea anasahaulika mapema Sana duh
Arsenal tuliwahi kupiga On target 14 jamaa anazicheza zote mwaka 2017 nadhani
Ile rekodi sijui Kama itavunjwa karibuni ,
Manjesta tumewakosakosa kuwalamba 4,5 hata 10 Mara kadhaa kikwazo Degea ,tunawasakaga Sana ,Kama hiyo mechi ya ON TARGET 14 , hata hii ya mwisho 3-2 , matokeo hayahakisi kabisa tulivyocheza ,muda mwingi tulikuwa kwenye box lao, Degea anaokoa SanaKuna uwezekano mkubwa de gea ndio mchezaji mwenye utimamu na uzalendo pale unyumbuni HQ
Naona nyumbu wanarusha kitaulo kabla ya ligi kuanza