Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Ten Hag wakati anafika alikuwa na imanj na De Gea hadi akawa anasema mfumo wake atauweza kwa sababu anamuonaga mazoezini akiufanyia mazoezi vyema style yake.Kwa nini david de gea ameshindwa kuendana na mabadiliko ya mpira wa kileo?
Amezaliwa spain, nchi inayosifika kwa kutandaza soka safi.
Kila siku anafanya mazoezi ya mpira, sasa ugumu upo wapi?
Makosa madogo aliyoyalea leo hii yanataka kusababisha aondolewe klabuni kama paka mwizi.
Hakuyaweka akilini yaliomkuta joe hart.
Ila akaja kumuangusha kitu ambacho kimefanya asiwe na hamu nae tena.








