hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,282
- 26,683
7 hag hawezi kusajili kipa maisha ,
Ataendelea na Degea ,anayetaka tubet aje hapa
Atasajiliwa kipa wakuzugia tu Kama alivyisajiliwa Dubravaka ,ikabidi Newcastle waingilie Kati wabebe kipa wao
7 Hag anajua bila Degea atakuwa kwenye Hali mbaya zaidi
7hag anakumbuka kwenye nyakati ngumu Degea alimsaidia ,Kuna mechi zimeisha 1-0 , 2-1 ,0-0 zipo nyingi ambazo Kama sio Degea Basi manjesta angekuwa alipo Chelsea
Ataendelea na Degea ,anayetaka tubet aje hapa
Atasajiliwa kipa wakuzugia tu Kama alivyisajiliwa Dubravaka ,ikabidi Newcastle waingilie Kati wabebe kipa wao
7 Hag anajua bila Degea atakuwa kwenye Hali mbaya zaidi
7hag anakumbuka kwenye nyakati ngumu Degea alimsaidia ,Kuna mechi zimeisha 1-0 , 2-1 ,0-0 zipo nyingi ambazo Kama sio Degea Basi manjesta angekuwa alipo Chelsea


baada ya jana yanga kufungwa ngoja nije kujipa furaha kwa kuwacheka nyumbu
| JUST IN: Harry Kane is the most likely Benzema replacement. @JLSanchez78