Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Wakaziwe hivi hivi wanatakiwa hadi tarehe 30 wawe wameuza wachezaji kadhaa so wiki ijayo wataikubali tuChelsea wanahitaji kulipwa paundi millioni 58 + 7 add on kwa mason mount
---------
Ngoja tuone huo umadhubuti wa klabu,
Walichokifanya chelsea ni kuijaribu akili ya mtu anayeamini ameshatoka kwenye upumbavu na sasa ni mjinga.

