Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chelsea wanahitaji kulipwa paundi millioni 58 + 7 add on kwa mason mount
---------
Ngoja tuone huo umadhubuti wa klabu,
Walichokifanya chelsea ni kuijaribu akili ya mtu anayeamini ameshatoka kwenye upumbavu na sasa ni mjinga.
Wakaziwe hivi hivi wanatakiwa hadi tarehe 30 wawe wameuza wachezaji kadhaa so wiki ijayo wataikubali tu
 
Ssa kma unawaza FFP hao wachezaji tayri tumewauza almost wachezaji 5 ssa ww unataka nni lia lia toen pesa
Tutampitia hata mwakani acheni kumlazimisha hataki kucheza timu hata Europa haipo.

Mbona wengine mmewauza kirahisi na mliwanunua kwa bei chafu ila yeye mnakaza tena ni academy player.

Cheltako bwana ama mnataka awasadie hata kushika top 7 msimu ujao
 
Tutampitia hata mwakani acheni kumlazimisha hataki kucheza timu hata Europa haipo.

Mbona wengine mmewauza kirahisi na mliwanunua kwa bei chafu ila yeye mnakaza tena ni academy player.

Cheltako bwana ama mnataka awasadie hata kushika top 7 msimu ujao
Chelsea wala hawalazimishi Mount kubaki ila fikeni bei iliyotaja mbona wakina sancho na Antony mlinunua £100m
 
Chelsea wala hawana presha ya kumuuza Mount maana tayari washauza wachezaji sita ni Man ndo yenye shida na Mount na mzigo kusajiri hamna
Wachezaji mliouza wote mliwanunua, so kwenye accounts book ni hasara.

Mount ni full profit, hamkumnunua.
 
Wachezaji mliouza wote mliwanunua, so kwenye accounts book ni hasara.

Mount ni full profit, hamkumnunua.
Ww uza wachezaji wako uliokua nao kama utapata hata hio faida kibaya zaidi hata ofa huzipati

Fikeni bei mzee muache maneno Mount atawapa faida kubwa sana mkimsajiri hata hiyo hela italipa kwenu ni mchezaji mzuri pia umri mdogo
 
Shocking
Screenshot_20230624-103251.jpg
 
Chelsea wanavyotukazia kwa Mount wanajikuta ndio Ajax basi

Waombe hizo sajili zao zifanye vizuri maana hiyo mikataba ya miaka 8 waliyowapa wachezaji wakifeli stress zake zitageuka kama za akina Jones mtu ana mkataba mrefu kaflop huku hakuna timu inayomtaka.
 
Tutampitia hata mwakani acheni kumlazimisha hataki kucheza timu hata Europa haipo.

Mbona wengine mmewauza kirahisi na mliwanunua kwa bei chafu ila yeye mnakaza tena ni academy player.

Cheltako bwana ama mnataka awasadie hata kushika top 7 msimu ujao
Chelsea sio kwamba inamuitaji Mount unakosea chelsea wamewasoma nyinyi ni wazee wakupigwa hela wanajua fika nyinyi ndio mnashida nae
 
Chelsea wanavyotukazia kwa Mount wanajikuta ndio Ajax basi

Waombe hizo sajili zao zifanye vizuri maana hiyo mikataba ya miaka 8 waliyowapa wachezaji wakifeli stress zake zitageuka kama za akina Jones mtu ana mkataba mrefu kaflop huku hakuna timu inayomtaka.
Nyinyi wachezaji wenu hawauziki tofauti na wa kwetu mna magalasa wengi
 
Ww uza wachezaji wako uliokua nao kama utapata hata hio faida kibaya zaidi hata ofa huzipati

Fikeni bei mzee muache maneno Mount atawapa faida kubwa sana mkimsajiri hata hiyo hela italipa kwenu ni mchezaji mzuri pia umri mdogo
 
Back
Top Bottom