Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyie NYUMBU acheni masikhara kabsa ongezeni hela tuwape Mount. Ila poleni sana nyie kila sku ni kupigwa tu, sasa Mount kweli ni wa kuanzia 60M kabisa?
Kama Harvez mmefanikiwa kumuuza kwa 65M basi Mount mnatakiwa mkomae mpate hata 80M.
Inasemekana hizo bei zinazotajwa ni za kwenye makaratasi ili kubalance mahesabu na kukwepa rungu la FFP, ila uhalisia Kai Harvez ameuzwa kwa 25M na Mount Man Utd tutatoa 20M.
Ngojeni tulipie hizo 20M halafu tuwachome kwa Takukuru ili mshushwe daraja kabisa kenge nyie.
Screenshot_20230502_172104.jpg
 
Huyu EtH akimsajili Onana nitaamini kweli ni jasusi. Kipa anayepiga tu pasi na kujitengenezea mazingira ya kufanya makosa na uwezo mdogo kwenye shot stopping hatufai.

Nidhamu yake pia ni mbovu toka akiwa Ajax. EtH akae chini atulize kipara, asilete kujuana sana na watu.
 
Huyu EtH akimsajili Onana nitaamini kweli ni jasusi. Kipa anayepiga tu pasi na kujitengenezea mazingira ya kufanya makosa na uwezo mdogo kwenye shot stopping hatufai.

Nidhamu yake pia ni mbovu toka akiwa Ajax. EtH akae chini atulize kipara, asilete kujuana sana na watu.
Onana kipa wewe mze na ni stoper mzuri tu.kuhus nizamu anayo Sana

Chukueni uyoo
 
Huyu EtH akimsajili Onana nitaamini kweli ni jasusi. Kipa anayepiga tu pasi na kujitengenezea mazingira ya kufanya makosa na uwezo mdogo kwenye shot stopping hatufai.

Nidhamu yake pia ni mbovu toka akiwa Ajax. EtH akae chini atulize kipara, asilete kujuana sana na watu.

Umekurupuka mzee do your homework again.
 
BREAKING: Mason Greenwood pictured training for the first time since his arrest!


[Sun]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2666175View attachment 2666176View attachment 2666177
IMG_20230623_010019_858.jpg
 
Huyu EtH akimsajili Onana nitaamini kweli ni jasusi. Kipa anayepiga tu pasi na kujitengenezea mazingira ya kufanya makosa na uwezo mdogo kwenye shot stopping hatufai.

Nidhamu yake pia ni mbovu toka akiwa Ajax. EtH akae chini atulize kipara, asilete kujuana sana na watu.
Nani kakwambia sio shot stopper?

Mbona akiwa Ajax na Inter hajaruhusu bao nyingi na msimu ulioisha ndio kipa aliyeruhusu bao chache kuliko wote Champions League na cleansheets za kutosha.

Huyu aliyekuwa anaruhusu bao 6,7,5 hata 4 ndio stopper mzuri eeh?

Kazi ya Kipa Duniani kote inajulikana na ukiona kasimama golini ujue anafanya kazi yake la sivyo tungekuwa tunaona makipa wanaruhusu bao 5+ week in week out.


Kuhusu uchezaji wake eti kufanya makosa inaonekana kuna kitu hukifahamu,modern goalkeepers ndio style yao na ni mara chache kufanya makosa waangalie Ederson na Allison namna wanavyozirahisishia timu zao kutengeneza mashambulizi pia wana uwezo wa kuhimili pressing ya washambuliaji wa opponent team ,wakipiga mipira mirefu inaenda kwa malengo.


Haya huyu De Gea ambaye stopper nadhani unaonaga maboko anayochoma miguuni akibutua mpira mbele unaenda nje au anagawa bure kwa wapinzani yaani anapiga bila vision.

Na kuhusu nidhamu hilo kwa Onana hilo kazi ua kocha kudeal nalo na ishu ya kufukuzwa mwaka jana kambi ya Cameroon kuna vitu nyuma ya lile sakata ambayo haviingiliani na nidhamu yake hizo unazosikia ni stori za kufungwa.

Kafuatilie kama ana historia ya matatizo ya kinidhamu(lile la kutumia madawa yasiyoruhusiwa lisiwepo).

Soka limebadilika
 
Nani kakwambia sio shot stopper?

Mbona akiwa Ajax na Inter hajaruhusu bao nyingi na msimu ulioisha ndio kipa aliyeruhusu bao chache kuliko wote Champions League na cleansheets za kutosha.

Huyu aliyekuwa anaruhusu bao 6,7,5 hata 4 ndio stopper mzuri eeh?

Kazi ya Kipa Duniani kote inajulikana na ukiona kasimama golini ujue anafanya kazi yake la sivyo tungekuwa tunaona makipa wanaruhusu bao 5+ week in week out.


Kuhusu uchezaji wake eti kufanya makosa inaonekana kuna kitu hukifahamu,modern goalkeepers ndio style yao na ni mara chache kufanya makosa waangalie Ederson na Allison namna wanavyozirahisishia timu zao kutengeneza mashambulizi pia wana uwezo wa kuhimili pressing ya washambuliaji wa opponent team ,wakipiga mipira mirefu inaenda kwa malengo.


Haya huyu De Gea ambaye stopper nadhani unaonaga maboko anayochoma miguuni akibutua mpira mbele unaenda nje au anagawa bure kwa wapinzani yaani anapiga bila vision.

Na kuhusu nidhamu hilo kwa Onana hilo kazi ua kocha kudeal nalo na ishu ya kufukuzwa mwaka jana kambi ya Cameroon kuna vitu nyuma ya lile sakata ambayo haviingiliani na nidhamu yake hizo unazosikia ni stori za kufungwa.

Kafuatilie kama ana historia ya matatizo ya kinidhamu(lile la kutumia madawa yasiyoruhusiwa lisiwepo).

Soka limebadilika
Ubora wake siupingi na utakuwa usajili bora sana kwa timu yetu. Pia vipaji vingi vikipita mikononi mwa Barcelona huwa ni top talents.

Kuna vitu atapaswa kuongeza / kubadilisha kuwa bora zaidi. EPL mpira wao ni wa kasi na kuna uviziaji hivyo timing zake zinapaswa kuwa 75% sahihi. Pia ana tabia ya kuchelewesha muda hili lishawagharimu Ajax. Ila kusema Onana ni stopper mzuri ni uongo. Kuna makipa bora zaidi yake wapo sokoni ila kama ni chaguo la kocha hakuna tatizo.

Kuhusu nidhamu aliwahi kukosolewa akiwa Ajax baada ya kufanya makosa mfululizo mechi baada ya mechi na alipohojiwa kuhusu ukosoaji wa mashabiki alijibu: "I don't give a sh!t." Hii siyo sawa kwa pro player kutoa maneno kama haya kwa mashabiki.

Ila chini ya EtH sina wasiwasi kuhusu nidhamu ya wachezaji, alimnyoosha Ronaldo na kiburi chake kwa kujiona yeye ni zaidi ya kocha / club.
 
BREAKING: Mason Greenwood pictured training for the first time since his arrest!


[Sun]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2666175View attachment 2666176View attachment 2666177View attachment 2666178
Naamini dgo atarudi kikosini kuuwasha uwake
 
Muogope sana mwalimu anayekusifia na kukutea muda wowote haijalishi kosa ulilolifanya.


Harry maguire
David de gea
Anthony martial
Werghost
Nilikuambia hii kitu kitambo sana kama unakumbuka ila wewe ukananiuliza mbona anawaongelea positive sana ktk press conference? Yeye bado mgeni hawezi kuanza kuongea wazi wazi mapema subiri msimu ujao uone.

Ten Hag ktk timu nzima aliyoikuta mpaka chini kwa vijana wadogo habari za ndani kabisa zinasema ni wachezaji watano tu ndio alioruhusu waongezewe mikataba na wawe untouchable. (Rashford, Shaw, Dalot, Garnacho na Mainoo)

Hao waliosalia endapo ofa nzuri zikija timu ipo tayari kuwauza. Hata ukimsoma vizuri utagundua hawaamini wachezaji wengi sana pale kikosini ni vile hana option za kutosha kupitisha panga.
 
Chelsea wanahitaji kulipwa paundi millioni 58 + 7 add on kwa mason mount
---------
Ngoja tuone huo umadhubuti wa klabu,
Walichokifanya chelsea ni kuijaribu akili ya mtu anayeamini ameshatoka kwenye upumbavu na sasa ni mjinga.
Wakaziwe hivi hivi wanatakiwa hadi tarehe 30 wawe wameuza wachezaji kadhaa so wiki ijayo wataikubali tu
 
Ssa kma unawaza FFP hao wachezaji tayri tumewauza almost wachezaji 5 ssa ww unataka nni lia lia toen pesa
Tutampitia hata mwakani acheni kumlazimisha hataki kucheza timu hata Europa haipo.

Mbona wengine mmewauza kirahisi na mliwanunua kwa bei chafu ila yeye mnakaza tena ni academy player.

Cheltako bwana ama mnataka awasadie hata kushika top 7 msimu ujao
 
Back
Top Bottom