Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,906
- 4,529
Wametupiga bei gani mkuu kati zile 120M ambazo ndio zimetengwa kwa ajili ya dirisha zima la usajili ?Mount tyr huko dili lishakamilika bado announcement tuu
Wametupiga bei gani mkuu kati zile 120M ambazo ndio zimetengwa kwa ajili ya dirisha zima la usajili ?Mount tyr huko dili lishakamilika bado announcement tuu
60 mzee hahahWametupiga bei gani mkuu kati zile 120M ambazo ndio zimetengwa kwa ajili ya dirisha zima la usajili ?
Duuh taabu kwelikweli60 mzee hahah
60 mzee hahah
Hii pesa wametoa nani sasa au zimetoka hazina60 mzee hahah
Acheni mikwara mshazidiwa EPL na Man City timu iliyoanza kuinuka baada ya 2010Hivi mnajua timu yenu inaelekea kufilisika?
Hivi mnajua timu yenu inaelekea kufilisika?
Acheni mikwara mshazidiwa EPL na Man City timu iliyoanza kuinuka baada ya 2010
Sasa timu inafikisikaje wakati inaingia chini ya Ownership mpya ama inaachwa bila mmiliki[emoji23]![]()
Manchester Probability Of Bankruptcy | (NYSE:MANU) - Macroaxis
Manchester United's odds of distress is under 19% at this time. It has tiny probability of undergoing some form of financial crunch in the near future.www.macroaxis.com
Hii jamii forum ya siku hizi inatia kinyaa hata kufungua Uzi hivi hii takataka nayo ni member wa Jamii forum kweli? [emoji3064][emoji24]Nyie matakataka munaleta mazoeya na timu etu. Munamutaka Mount ili mukaue kiwango chake...
Kama Harvez mmefanikiwa kumuuza kwa 65M basi Mount mnatakiwa mkomae mpate hata 80M.Nyie NYUMBU acheni masikhara kabsa ongezeni hela tuwape Mount. Ila poleni sana nyie kila sku ni kupigwa tu, sasa Mount kweli ni wa kuanzia 60M kabisa?