Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kabisa,hata Weghorst sio mbovu kihivyo watu wanavyodhani ni wanaomzunguka wabinafsi,hata Ronaldo alipoteana kisa hicho.

Nafuu ya Garnacho ndio winga ambaye akiwa matured hiyo kazi ya kumlisha striker anaweza,halafu hawa left footed Right wingers ni wachoyo sana kama Antony nafuu zamani enzi za akina Nani.

Sancho namba 7 anaicheza vyema kuliko 11 kwa sababu akiwa Dortmund kaicheza kwenye uwezo wa juu.
Nadhani kocha ampe one last chance mimi naona anafaa winga ya kulia kuliko Antony kwa faida ya striker atayesajiliwa.

Ni confidence tu anahitaji tena hana ubinafsi sana kwa sababu asili yake ni mtu wa kutoa assists sana kuliko kufunga
Weghorst sio mbovu??

Jesus Christ..!!!
 
Weghorst sio mbovu??

Jesus Christ..!!!
So mbovu kihivyo kama mnavyodhani fuatilia stats zake katika kote alikopita kafeli England tu

Sio striker wa hadhi yetu ila angecheza enzi za Ferguson kwa style ya mpira wa babu full kumwaga maji ungeuona ubora wake.

Sijasema kwamba ni top striker.


Note:Huna winga kumchezesha forward yoyote pale United yule huyo Haaland angekuwa United tungemkataa nafuu hata alivyoendaga City tungeua potential yake kama kawaida yetu,hata Kane mwenyewe anaweza kuonekana Sarpong klabuni kwetu.
 
So mbovu kihivyo kama mnavyodhani fuatilia stats zake katika kote alikopita kafeli England tu

Sio striker wa hadhi yetu ila angecheza enzi za Ferguson kwa style ya mpira wa babu full kumwaga maji ungeuona ubora wake.

Sijasema kwamba ni top striker.


Note:Huna winga kumchezesha forward yoyote pale United yule huyo Haaland angekuwa United tungemkataa nafuu hata alivyoendaga City tungeua potential yake kama kawaida yetu,hata Kane mwenyewe anaweza kuonekana Sarpong klabuni kwetu.
Hamna kitu..

Mtu hawezi kutuliza hata mpira..
 
Straika wa championship aliyekosa namba Burnley..

Kuwa serious kidogo bana.
Hakukosa namba alisajiliwa na Burnley January mwaka jana akiwa regular starter toka Wolfsburg ndio waliposhuka daraja alikataa kucheza championship wakaamua kumpeleka Besiktas kwa mkopo.

Sema unfortunately jamaa bila shaka wengi mmemjua mwaka huu eti hana namba
 
Hakukosa namba alisajiliwa na Burnley January mwaka jana akiwa regular starter toka Wolfsburg ndio waliposhuka daraja alikataa kucheza championship wakaamua kumpeleka Besiktas kwa mkopo.

Sema unfortunately jamaa bila shaka wengi mmemjua mwaka huu eti hana namba
So tutegemee ataenda timu kubwa tu sio baada ya hapa sio?
 
Naam Tuzo za . Sajili Za Kitapeli Msimu huu

Sajili za Kitapeli Award

Kipa Bora

Erick johora - yanga
Ahmada -Azam


Beki Bora

Kukurela-chelsea
Mamadou doumbia- yanga
Mohamed outtara -simba

kiungo bora .

Nelson okwa -simba
victor Akpan -Simba
Sawadogo - Simba
Mudrky- Chelsea

Mshambuliaji bora .

Aubameyang-chelsea
Ngushi -Yanga
Nunez- liverpool

Mchezaji Bora

Anthony -manjesta
Woou Werghost- manjesta united
Sancho-manjesta
kalidou Koulibaly- chelsea

Tuzo ya Fair Play inakwenda kwa Mjapani wa Geita kwa kazi nzuri sana ya kubeba vifaa vya wenzake na kuvitunza msimu huu

Tuzo ya heshima- Harry maguire

kocha Bora Lampard -chelsea
Graham Pota-Chelsea



Nakwenda zangu
IMG_20230621_191335.jpg
 
Hadi sasa nadhani dili la Mason Mount ndio litakuwa la kwanza kukamilika kabla ya tarehe 1 mwezi ujao.

Hilo sio muhimu kwangu kinachonifanya nikeshe hadi usiku wa manane ni kusubiria Raine statement yao.
 
Back
Top Bottom