Bobbyray
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,378
- 1,781
Chelsea wala hawana presha ya kumuuza Mount maana tayari washauza wachezaji sita ni Man ndo yenye shida na Mount na mzigo kusajiri hamnaWakaziwe hivi hivi wanatakiwa hadi tarehe 30 wawe wameuza wachezaji kadhaa so wiki ijayo wataikubali tu
