Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Za chini chini ni kwamba kuna hatari Ten Hag akaamua kujiuzulu nafasi yake ya ukocha hata kutopata alivyotarajia kwenye dirisha la usajili huku targets zake zote anaweza kuzikosa na alitegemea wakati timu inaenda Pre season atakuwa kashapata wachezaji wawili wa kuanza nao.


Haya sasa tunakuja kumpoteza kocha mwenye skills kisa ushenzi wa wale jamaa wenye sura kama ndani ya tikiti
Van Gaal alishamuonya Ten Hag bila shaka anakumbuka maneno yake

Pia Manchester United Annnual shareholders meeting ipo June 28 na Annual Report inatoka June 30.
Hivi kwa haya kuna uwezekano wa kujua hatma ya umiliki kabla kweli?
 
Huu ni uamuzi wa kipumbavu kuwahi kuushuhudia.

Tutakuja kujutia uamuzi huu,
Inshaallah
Mungu yupo, aendelee kuniweka hai

Screenshot_20230620-195948_Samsung Internet.jpg
 
Strikers wachache kama tunataka striker wa maana tumchukue haaland. Huyo harry tutamkataa ndani ya muda mfupi
Haaland kwa wingers za Rashford na Antony ni kutaka kumtukana kijana wa watu tu. Wachezaji hata kupiga cross hawawezi halafu uwaletee goal poacher!!

Pia sioni ikiwezekana Haaland kuja United kwa namna yoyote ile.
 
Haaland kwa wingers za Rashford na Antony ni kutaka kumtukana kijana wa watu tu. Wachezaji hata kupiga cross hawawezi halafu uwaletee goal poacher!!

Pia sioni ikiwezekana Haaland kuja United kwa namna yoyote ile.
Nilitaka kumwonesha picha jamaa kwamba harry akiletwa bado hata perform kwa sababu wanaomzunguka na kumlisha mipira nfio haohao kina masho ford na sanvho mzee wa kutetemeka miguu asijue lipi aamue pindi awapo golini.
 
Haaland kwa wingers za Rashford na Antony ni kutaka kumtukana kijana wa watu tu. Wachezaji hata kupiga cross hawawezi halafu uwaletee goal poacher!!

Pia sioni ikiwezekana Haaland kuja United kwa namna yoyote ile.
Kabisa,hata Weghorst sio mbovu kihivyo watu wanavyodhani ni wanaomzunguka wabinafsi,hata Ronaldo alipoteana kisa hicho.

Nafuu ya Garnacho ndio winga ambaye akiwa matured hiyo kazi ya kumlisha striker anaweza,halafu hawa left footed Right wingers ni wachoyo sana kama Antony nafuu zamani enzi za akina Nani.

Sancho namba 7 anaicheza vyema kuliko 11 kwa sababu akiwa Dortmund kaicheza kwenye uwezo wa juu.
Nadhani kocha ampe one last chance mimi naona anafaa winga ya kulia kuliko Antony kwa faida ya striker atayesajiliwa.

Ni confidence tu anahitaji tena hana ubinafsi sana kwa sababu asili yake ni mtu wa kutoa assists sana kuliko kufunga
 
Huu ni uamuzi wa kipumbavu kuwahi kuushuhudia.

Tutakuja kujutia uamuzi huu,
Inshaallah
Mungu yupo, aendelee kuniweka hai

View attachment 2663512
But hapa nahisi kuna buyback clause

Kwann katika timu zote iwe Utrecht ambayo Ten Hag kapita tena wanasimamiwa na Agency moja.

Nadhani ni njia ya kutaka kumdevelop kwa sababu huko atapata muda wa kucheza sana,ni ngumu kudevelop kwa kucheza dk 5/10 za mwisho.

Maybe anataka kumkuza ili amrudishe akiwa kakomaa kiuwezo iwe rahisi kuzama first 11 kilaini.

Bado naamini katika hili
 
Baada ya kumalizika kwa mechi dhidi ya FULHAM, bwana fred na marco silva walionekana wakifanya mazungumzo.
--------

Fred, who will not be offered a new contract at #mufc, is reportedly open to joining Fulham and working under Marco Silva.
JBurtTelegraph
 
Gavin Bazunu - £12m
Romeo Lavia - £12m
Darko Gyabi - £5m

Manchester City sold these three players, who at that time didn’t have a single Premier League appearance between them, for a total of £29m.

We have just sold Zidane Iqbal for £855k.
Hii timu Kuna shida kubwa kuanzia kwa hao Glazers

Mwarabu apewe tu najua ndugu yake wa PSG atampa codes za kuendesha timu, safisha hayo mambwiga ya kiingereza
 
Hii sale ya Iqbal ni ya ghafla bila shaka ilikuwa planned either kama nilivyosema ameenda kuwa developed atarudishwa kwa buyback clause ama Ten Hag kaitumia kama njia ya kutaka kukamisha usajili wa target yake ya tangu January Taylor Booth.

No mido mmoja matata anakichafua pale kati sehemu zote ila box to box utampenda zaidi.

Moja kati ya hizo sababu ina ukweli asilimia zote ikumbukwe hadi sasa Ten Hag ana connection na Utrecht tangi atoke pale hadi kwenda Ajax na moja wa viongozi wa Utrecht ni mhudhuriaji mzuri wa Old Trafford matches
Booth%20.jpg
 
Harry Kane's clear preference is #mufc and he hopes that Daniel Levy will relent rather than have to write off £80m. However, the feeling on all sides is that Levy will stick to his guns.

#mufc have made it clear that they will not do business at £100m for Harry Kane but a price closer to £80m could tempt United back to the negotiating table.

[Daily Mail]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Back
Top Bottom