Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Za chini chini ni kwamba kuna hatari Ten Hag akaamua kujiuzulu nafasi yake ya ukocha hata kutopata alivyotarajia kwenye dirisha la usajili huku targets zake zote anaweza kuzikosa na alitegemea wakati timu inaenda Pre season atakuwa kashapata wachezaji wawili wa kuanza nao.
Haya sasa tunakuja kumpoteza kocha mwenye skills kisa ushenzi wa wale jamaa wenye sura kama ndani ya tikiti
Van Gaal alishamuonya Ten Hag bila shaka anakumbuka maneno yake
Pia Manchester United Annnual shareholders meeting ipo June 28 na Annual Report inatoka June 30.
Hivi kwa haya kuna uwezekano wa kujua hatma ya umiliki kabla kweli?
Haya sasa tunakuja kumpoteza kocha mwenye skills kisa ushenzi wa wale jamaa wenye sura kama ndani ya tikiti
Van Gaal alishamuonya Ten Hag bila shaka anakumbuka maneno yake
Pia Manchester United Annnual shareholders meeting ipo June 28 na Annual Report inatoka June 30.
Hivi kwa haya kuna uwezekano wa kujua hatma ya umiliki kabla kweli?






