Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii sale ya Iqbal ni ya ghafla bila shaka ilikuwa planned either kama nilivyosema ameenda kuwa developed atarudishwa kwa buyback clause ama Ten Hag kaitumia kama njia ya kutaka kukamisha usajili wa target yake ya tangu January Taylor Booth.

No mido mmoja matata anakichafua pale kati sehemu zote ila box to box utampenda zaidi.

Moja kati ya hizo sababu ina ukweli asilimia zote ikumbukwe hadi sasa Ten Hag ana connection na Utrecht tangi atoke pale hadi kwenda Ajax na moja wa viongozi wa Utrecht ni mhudhuriaji mzuri wa Old Trafford matches
Booth%20.jpg
 
Harry Kane's clear preference is #mufc and he hopes that Daniel Levy will relent rather than have to write off £80m. However, the feeling on all sides is that Levy will stick to his guns.

#mufc have made it clear that they will not do business at £100m for Harry Kane but a price closer to £80m could tempt United back to the negotiating table.

[Daily Mail]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Kabisa,hata Weghorst sio mbovu kihivyo watu wanavyodhani ni wanaomzunguka wabinafsi,hata Ronaldo alipoteana kisa hicho.

Nafuu ya Garnacho ndio winga ambaye akiwa matured hiyo kazi ya kumlisha striker anaweza,halafu hawa left footed Right wingers ni wachoyo sana kama Antony nafuu zamani enzi za akina Nani.

Sancho namba 7 anaicheza vyema kuliko 11 kwa sababu akiwa Dortmund kaicheza kwenye uwezo wa juu.
Nadhani kocha ampe one last chance mimi naona anafaa winga ya kulia kuliko Antony kwa faida ya striker atayesajiliwa.

Ni confidence tu anahitaji tena hana ubinafsi sana kwa sababu asili yake ni mtu wa kutoa assists sana kuliko kufunga
Weghorst sio mbovu??

Jesus Christ..!!!
 
Weghorst sio mbovu??

Jesus Christ..!!!
So mbovu kihivyo kama mnavyodhani fuatilia stats zake katika kote alikopita kafeli England tu

Sio striker wa hadhi yetu ila angecheza enzi za Ferguson kwa style ya mpira wa babu full kumwaga maji ungeuona ubora wake.

Sijasema kwamba ni top striker.


Note:Huna winga kumchezesha forward yoyote pale United yule huyo Haaland angekuwa United tungemkataa nafuu hata alivyoendaga City tungeua potential yake kama kawaida yetu,hata Kane mwenyewe anaweza kuonekana Sarpong klabuni kwetu.
 
So mbovu kihivyo kama mnavyodhani fuatilia stats zake katika kote alikopita kafeli England tu

Sio striker wa hadhi yetu ila angecheza enzi za Ferguson kwa style ya mpira wa babu full kumwaga maji ungeuona ubora wake.

Sijasema kwamba ni top striker.


Note:Huna winga kumchezesha forward yoyote pale United yule huyo Haaland angekuwa United tungemkataa nafuu hata alivyoendaga City tungeua potential yake kama kawaida yetu,hata Kane mwenyewe anaweza kuonekana Sarpong klabuni kwetu.
Hamna kitu..

Mtu hawezi kutuliza hata mpira..
 
Straika wa championship aliyekosa namba Burnley..

Kuwa serious kidogo bana.
Hakukosa namba alisajiliwa na Burnley January mwaka jana akiwa regular starter toka Wolfsburg ndio waliposhuka daraja alikataa kucheza championship wakaamua kumpeleka Besiktas kwa mkopo.

Sema unfortunately jamaa bila shaka wengi mmemjua mwaka huu eti hana namba
 
Hakukosa namba alisajiliwa na Burnley January mwaka jana akiwa regular starter toka Wolfsburg ndio waliposhuka daraja alikataa kucheza championship wakaamua kumpeleka Besiktas kwa mkopo.

Sema unfortunately jamaa bila shaka wengi mmemjua mwaka huu eti hana namba
So tutegemee ataenda timu kubwa tu sio baada ya hapa sio?
 
Back
Top Bottom