Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fabrizio Romano on the dragging sale process: β€œπ’ 𝐟𝐞𝐞π₯ 𝐫𝐞𝐚π₯π₯𝐲 𝐬𝐨𝐫𝐫𝐲 𝐟𝐨𝐫 #πŒπ”π…π‚ 𝐟𝐚𝐧𝐬, 𝐒𝐭'𝐬 𝐚𝐦𝐚𝐳𝐒𝐧𝐠 𝐰𝐑𝐚𝐭 𝐒𝐬 𝐠𝐨𝐒𝐧𝐠 𝐨𝐧 .”

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230620_094543_705.jpg
 
Rashford: β€œThat feeling of walking out for the national team at OT was immense! Very professional performance England.”

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |View attachment 2662879View attachment 2662880View attachment 2662881
IMG_20230620_094514_278.jpg
 
Arsenal want Jurrien Timber as concrete target, as David Ornstein reported β€” he’s top of the list that also includes Mo Simakan. ️

Ajax will not accept Β£30m for Timber as they want bigger fee. Talks will continue as player’s keen on the move.
IMG_20230620_095841_119.jpg
 
Sheikh Jassim
@92_foundation

''Qatar will not up the bid now!!

Qatar has done everything that Glazers asked for. It's time for you to make a decision now.

Glazers are now leaving fans and the manager hanging !!

It is shambolic. Manchester United fans, you will have to make a last push.''

Nimeitoa Twitter hii wakuu, hali haieleweki tena. Glazers wamekuwa sitaki nataka, yani wanatufanya sisi mashabiki ma-toy wanatuchezea tu kmmk inatia hasira sana.
 
Za chini chini ni kwamba kuna hatari Ten Hag akaamua kujiuzulu nafasi yake ya ukocha hata kutopata alivyotarajia kwenye dirisha la usajili huku targets zake zote anaweza kuzikosa na alitegemea wakati timu inaenda Pre season atakuwa kashapata wachezaji wawili wa kuanza nao.


Haya sasa tunakuja kumpoteza kocha mwenye skills kisa ushenzi wa wale jamaa wenye sura kama ndani ya tikiti
Van Gaal alishamuonya Ten Hag bila shaka anakumbuka maneno yake

Pia Manchester United Annnual shareholders meeting ipo June 28 na Annual Report inatoka June 30.
Hivi kwa haya kuna uwezekano wa kujua hatma ya umiliki kabla kweli?
 
Strikers wachache kama tunataka striker wa maana tumchukue haaland. Huyo harry tutamkataa ndani ya muda mfupi
Haaland kwa wingers za Rashford na Antony ni kutaka kumtukana kijana wa watu tu. Wachezaji hata kupiga cross hawawezi halafu uwaletee goal poacher!!

Pia sioni ikiwezekana Haaland kuja United kwa namna yoyote ile.
 
Haaland kwa wingers za Rashford na Antony ni kutaka kumtukana kijana wa watu tu. Wachezaji hata kupiga cross hawawezi halafu uwaletee goal poacher!!

Pia sioni ikiwezekana Haaland kuja United kwa namna yoyote ile.
Nilitaka kumwonesha picha jamaa kwamba harry akiletwa bado hata perform kwa sababu wanaomzunguka na kumlisha mipira nfio haohao kina masho ford na sanvho mzee wa kutetemeka miguu asijue lipi aamue pindi awapo golini.
 
Haaland kwa wingers za Rashford na Antony ni kutaka kumtukana kijana wa watu tu. Wachezaji hata kupiga cross hawawezi halafu uwaletee goal poacher!!

Pia sioni ikiwezekana Haaland kuja United kwa namna yoyote ile.
Kabisa,hata Weghorst sio mbovu kihivyo watu wanavyodhani ni wanaomzunguka wabinafsi,hata Ronaldo alipoteana kisa hicho.

Nafuu ya Garnacho ndio winga ambaye akiwa matured hiyo kazi ya kumlisha striker anaweza,halafu hawa left footed Right wingers ni wachoyo sana kama Antony nafuu zamani enzi za akina Nani.

Sancho namba 7 anaicheza vyema kuliko 11 kwa sababu akiwa Dortmund kaicheza kwenye uwezo wa juu.
Nadhani kocha ampe one last chance mimi naona anafaa winga ya kulia kuliko Antony kwa faida ya striker atayesajiliwa.

Ni confidence tu anahitaji tena hana ubinafsi sana kwa sababu asili yake ni mtu wa kutoa assists sana kuliko kufunga
 
Huu ni uamuzi wa kipumbavu kuwahi kuushuhudia.

Tutakuja kujutia uamuzi huu,
Inshaallah
Mungu yupo, aendelee kuniweka hai

View attachment 2663512
But hapa nahisi kuna buyback clause

Kwann katika timu zote iwe Utrecht ambayo Ten Hag kapita tena wanasimamiwa na Agency moja.

Nadhani ni njia ya kutaka kumdevelop kwa sababu huko atapata muda wa kucheza sana,ni ngumu kudevelop kwa kucheza dk 5/10 za mwisho.

Maybe anataka kumkuza ili amrudishe akiwa kakomaa kiuwezo iwe rahisi kuzama first 11 kilaini.

Bado naamini katika hili
 
Baada ya kumalizika kwa mechi dhidi ya FULHAM, bwana fred na marco silva walionekana wakifanya mazungumzo.
--------

Fred, who will not be offered a new contract at #mufc, is reportedly open to joining Fulham and working under Marco Silva.
JBurtTelegraph
 
Gavin Bazunu - Β£12m
Romeo Lavia - Β£12m
Darko Gyabi - Β£5m

Manchester City sold these three players, who at that time didn’t have a single Premier League appearance between them, for a total of Β£29m.

We have just sold Zidane Iqbal for Β£855k.
Hii timu Kuna shida kubwa kuanzia kwa hao Glazers

Mwarabu apewe tu najua ndugu yake wa PSG atampa codes za kuendesha timu, safisha hayo mambwiga ya kiingereza
 
Back
Top Bottom