Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Habar za leo ndugu zangu, leo naomba nichangie kidogo kwenye hili jukwaa baada ya kimya kirefu.

Kitu cha kwanza ambacho inabidi tukubali ni kwamba kwa sasa tupo nyuma sana na washindani wetu wakubwa kwenye Ligi achia mbali UEFA, na ni ngumu kupata timu ya kugombea ubingwa kwa msimu ujao( kama tutaendeleaa kuwa chini ya Glazer). Kama Muarabu atachukua timu safari yetu itakuwa fupi,

Maelzo yangu ni assumption kama timu haitaenda kwa mwarabu kabla diriaha halijafungwa

Kwa dirisha hili la usajili kwangu naona litakuwa limekwenda vizuri endapo tutakuwa tumepunguza wachezaji mizigo( wasio na msaada) kuliko hata kusajili wachezaji wapya wengi.


Wachezaji kama Wanbissaka(Sababu Dalot katoka kupewa mkataba) ,Maguire,Mctominay,Martial,Elanga,Brandon Williams,Van de beek unaweza ukawauza kwa pesa za nyanya ukakusanya ukapata mchezaji mmoja au wawili wanaoweza kuwa na impact kubwa kuliko kundi kubwa la wachezaji wasio na faida.

Kwangu ni bora kubaki na Maino na Zidan kuliko kumtegema Mctominay auu Fred.

Kwa mtazamo wangu natamani tungepata kipa zaidi ya Degea, ila kwa bajeti hii ya maandazi sioni hili likitokea. Kwa hiyo Dean angerudi ili agombanie namba na De gea,(uzuri wa Ten Hag) ana uwezo wa kumuweka benchi mchezaji yoyoye ambaye ana under perfom. Ila ili uweze kumuweka benchi ni lazima unaye mpa nafasi awe bora kuliko unaye muweka benchi. ( hii ingeleta chamgamoto chanya kwenye nafasi ya golkipa) tungeweza kusogea kidogo.

Halafu hela zote zile zitazopatikana kwa kuuza wachezaji wa mafungu zingeelekezwa kwenye nafasi ya Ushambuliaji (Tungepata Striker mmoj wa maana) na mchezaji kiraka mmoja mfano wa Caicedo. Ukipata mchezaji kama huyu unakuwa ni kama una wachezaji wawili au watatu. Anaweza kucheza kwa ufasaha zaidi ya nafasi mbili.



Binafsi naona Ten Hag amefanya kazi nzuri kwa msimu wake wa kwanza ila kama hatapewa support ya dhati tutarud pale pale kwamba kocha hafai.
Safishasafisha inaendelea.
Screenshot_20230617-135515.jpg

Kaeni kwa kitulia
 
Kwa ufinyu wa bajeti tulionao inatakiwa kuwa na plan B endapo Glazers hawaachia timu mapema. Wengi wetu tulishawishika na project ya mwisho ya 10Hag pale Ajax akiwa na makinda wengi kwenye timu yake na ilikuwa inacheza mpira mzuri sana.
Ni wakati sasa akatafute vipaji visivyo na majina uko S/A,Asia,Afrika na hata ligi za ulaya mashariki zisizo na majina lakini kuna talents nyingi. Pesa tuliyo na uhakika nayo tununue proven striker na tuuze magalasa yetu tumtafute De Jong ashikilie dimba na Casemiro.
Mapengo mengine uwanjani tuzibe na hizo talents toka kusikojulikana ili tuwashangaze.
Timu ya biashara hii wasio julikana izo jezi ata nunua nani
 
Soka la sasa hivi ubishoo na uvivu ndiyo vinaongoza. Martial, Sancho, Rashford huwa naona kama ni watu wanaojaza nafasi tu United. Siyo watu wa kutegemea kabisa.

Martial unaweza kumtetea kwa injuries lakini haonyeshi hali ya kujituma uwanjani ni kama hajali.

Sancho ubisho na bata vinamaliza kipaji chake. Msimu umeisha tayari kawahi Jet na kupiga soft drinks. Naweza kusema pesa nyingi ktk umri mdogo ndiyo sababu.

Rashford ni mchezaji mwenye kipaji cha hali ya juu lakini ni kama ame-stuck mahali. Ujana na kutojituma 100% ndiyo tatizo lake. Rashford ni mchezaji ambaye pesa na umaarufu havijaichota akili yake ila naona kama kwenye 100% uwanjani anafanya 70% akiamua kufanya kazi yake ipasavyo ni mchezaji mzuri.

Mfano mzuri ni pale Man City, Haaland na Alvarez ni watu wa kazi lakini mtu kama Foden ana mambo mengi na ndiyo tabia ya Waingereza wote. Hata Rooney alikuwa mlevi ila hakuwa na utani uwanjani.
Huyo Rashford hadi akiamka vyema nadhani itategemea na progression ya Garnacho inaenda vipi ila kijana akiendelea na potential yake ndani ya miaka 2-3 atamuweka Rashford benchi.

Rashford anaenda kwa upepo na huwezi kushindania ubingwa na wachezaji wa aina hii,Man City kuna mtu kama Alvarez hana uhakika wa kuanza ila ana uwezo wa juu sana ila kwetu wachezaji ambao hawawezi kupata namba timu nyingine pale PL ndio tunaona kama watatufikisha nchi ya ahadi
 
Manchester United are in pole position to sign Andre Onana, according to the Evening Standard

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230617_191622_398.jpg
 
Real Betis have sounded out the situation of Eric Bailly, who is seen as an opportunity given that he has one year left on his contract and that his club will facilitate his departure.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230617_190655_870.jpg
 
Manchester United deny concrete talks or contacts for Theo Hernández.


#FabrizioRomano
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230617_190620_284.jpg
 
Casemiro: “In Brazil, we always say that your first line of defence is your number nine, or your striker. In modern football, you defend with all 11 players, and you attack with all 11 too. That is how football is nowadays.”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230617_190455_764.jpg
 
Casemiro: “I reckon it’s now the third season in my career where I’ve managed to score seven goals. I get the odd goal now and again but, of course, I’m not what you’d call a genuine goal scorer!”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230617_190511_029.jpg
 
Casemiro: “Everyone likes to get on the scoresheet but a favourite phrase of mine is always that my ball-winning tackles are my goals. That’s what I really like doing.”


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230617_190521_238.jpg
 
Kaka tuanze kwanza na mapungufu ya mchezaji mmoja mmoja de gea ni mbovu sana huna cha kumtetea juu ya performance yake tena hata izo unazosema anaokoa mara nyingi unakuta makosa ni yake...kuna namna ww unaangalia mpira kwa angle isiyo sawa
Ngoja nibadilishe swali ili nieleweke.

Unataka kusema kwamba katika kikosi kilekile cha Utd, ikitokea tukebadili kipa basi mambo yatanyooka vizuri na tutakuwa na team shindani??

Mimi napingana na mtu aliyedai kuwa De Gea ndio kasababisha team yetu kuwa mbovu isiyokuwa ya kiushindani, ile UTD imeoza yote. De Gea anaweza kuwa hafit kwenye mpira wa kisasa ila hana huo ubaya mkubwa kiasi ambacho mnajaribu kuukuza.
 
Ngoja nibadilishe swali ili nieleweke.

Unataka kusema kwamba katika kikosi kilekile cha Utd, ikitokea tukebadili kipa basi mambo yatanyooka vizuri na tutakuwa na team shindani??

Mimi napingana na mtu aliyedai kuwa De Gea ndio kasababisha team yetu kuwa mbovu isiyokuwa ya kiushindani, ile UTD imeoza yote. De Gea anaweza kuwa hafit kwenye mpira wa kisasa ila hana huo ubaya mkubwa kiasi ambacho mnajaribu kuukuza.
Tulianza na maguaya sasa n degea na lipo wazi ambae atufai anatakiwa akae pembeni
 
Ngoja nibadilishe swali ili nieleweke.

Unataka kusema kwamba katika kikosi kilekile cha Utd, ikitokea tukebadili kipa basi mambo yatanyooka vizuri na tutakuwa na team shindani??

Mimi napingana na mtu aliyedai kuwa De Gea ndio kasababisha team yetu kuwa mbovu isiyokuwa ya kiushindani, ile UTD imeoza yote. De Gea anaweza kuwa hafit kwenye mpira wa kisasa ila hana huo ubaya mkubwa kiasi ambacho mnajaribu kuukuza.
Hujaelewa mantiki iliyopo!

Ishu ni kwamba timu inahitaji mabadiliko makubwa wachezaji kama 6-7 wanahitajika dirisha hili ila sehemu muhimu zaidi ni kwa kipa kwa sababu timu inatakiwa icheze kutokea nyuma

Msimu uliopita kocha alifeli kuingiza system zake kutokana na hili la build up De Gea akipigwa pressing anafanya makosa mengi na ndio maana kocha hakutumia mfumo wake tena baada ya kupigwa 4-0 na Brentford ndio akaja na plan B ndio ikatumika msimu mzima.Pia anahitajika striker atupe magoli ya kutosha kwa sababu kuwategemea akina Rashford wanaoenda kwa upepo ni kujichelewesha.

Then baada ya hapo wanahitajika wachezaji hata wa4 wenye uwezo wa kuanza first 11 waongeze upana wa kikosi ili wale wanaoanzaga ndio wawe backup yao.

Kocha kushindwa kuimplement mfumo wake kisa kuvumilia wachezaji wasioendana nao kunaweza kumpelekea kufeli.

Tukikosa wachezaji muhimu hatutaki kuona lawama zinapelekwa kwa kocha wakati tatizo linajulikana wamepita makocha wengi still wakiondoka lawama zao zinagusa palepale kwenye tatizo.
 
Back
Top Bottom