Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Una fact kwa upande fulani ,Kama manjesta kwenye kufunga ilikuwa butu ,means mngekuwa na kipa ambaye ikipigwa imo ,Basi mngekuwa nafasi 12-15

Mfano rahisi Ni Chelsea ,walikuwa hawafungi magoli ya kutosha halafu kipa wao Kepa huwa Ni mbovu kwenye long shots , wamejikuta 12-15.

Mimi naamini pamoja na Degea na kukosa footwork ,mnatakiwa kupata kipa mwingine mwenye footwork nzuri na shot stopping angalau nzuri kiasi, mfano Yule kipa wa Ac Milan, Onana sio mbaya Sana kwenye shot stopping


Degea Ni sehemu tu ya matatizo
Onana ni Inter Milan
 
Man Utd's new owners might not be in place before next season!

Mail Sports understand should the Glazers decide who they want to sell to, a further eight to 12 weeks ‘approval process’ would follow before a deal is officially approved.

That means that when Erik ten Hag’s men start the 2023-24 campaign against Wolves at Old Trafford on August 14, the Glazers – deeply unpopular with large sections of the club’s fanbase - may well still be technically in control.


Any successful bidder will be subject to an approval and closing process and there will be no impact on United’s summer transfer business. As Mail Sport reported yesterday, Ten Hag’s transfer budget has been set at around £120m. That is open to change depending on how much he can bring in from selling players.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2658984
Habari kama hizi binafsi zinanikera,wakamilishe mchakato mbwa hawa.
 
There is a good chance Alvaro Fernandez is brought into the #mufc squad, with Erik ten Hag wanting to add to his full-back options.


If it is decided that he needs another year away, the most likely outcome would be a loan to another Premier League side.
[@TheAthleticFC]

----------
Huyu ndiye mchezaji sahihi tulienaye wa kutumika kwenye majukumu ya inverted fullback au DM.

namuona daley blind ndani ya mwili wa fernandez
 
Bajeti ya manchester united ni paundi millioni 120.

Unamuondoaje david de gea?
Wamrudishe Henderson kuna kipindi Ole alimpiga benchi De Gea kwa game za kutosha na kijana alisimama vyema sana.

Tuna kipa mwingine yupo Sparta Prague kawaongoza hadi kutwaa taji la ligi naye ni aina ya makipa wa kisasa.

Nadhani hao wawili wanatosha tusiwe brainwashed kiasi hicho watu wanasema people come and people go,kabla ya De Gea tulikuwa na Van Der Sar na kabla ya huyo pia tulikuwa na akina Barthez na Schmeichel huko nyuma so tusimuone kama Mungu wetu.

Miaka 12 inatosha
 
Man Utd's new owners might not be in place before next season!

Mail Sports understand should the Glazers decide who they want to sell to, a further eight to 12 weeks ‘approval process’ would follow before a deal is officially approved.

That means that when Erik ten Hag’s men start the 2023-24 campaign against Wolves at Old Trafford on August 14, the Glazers – deeply unpopular with large sections of the club’s fanbase - may well still be technically in control.


Any successful bidder will be subject to an approval and closing process and there will be no impact on United’s summer transfer business. As Mail Sport reported yesterday, Ten Hag’s transfer budget has been set at around £120m. That is open to change depending on how much he can bring in from selling players.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2658984
120?asee.

Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
 
Hojlund wanataka £80m!!!??? Hii timu washaona ni sehemu ya upigaji pesa.
Hiyo nafuu wapeleke kwa Goncalo Ramos.

Ni risk sana kwa kijana yule hiyo hela halafu ukizingatia serie A inaongoza kwa kutoa sajili za tapeli,hebu leta hapa mshambuliaji mkali aliyesajiliwa na timu za Epl toka serie A halafu akafanya vizuri.Nadhani ni Salah tu ambaye kiuhalisia anatokea pembeni ndio kaonesha potential wengine wote za uso
Hata mabeki na viungo ndio usiseme huwa hawatambi nje ya ile ligi.

So ni bora waende Ureno na hiyo hela wakambebe Goncalo Ramos tena ni €80m na katupia mabao ya kutosha sana ila sio kwa huyo aliyefunga 9 tu kulipa hilo dau tunajirisk kama kwa Antony
 
120? Tuhesabu maaumivu msimu ujao. Glazzers hawa watu wanazingua
Man United haijui kununua wala kuuza wachezaji.

Newcastle walimtaka Mc Tominay kwa €40m wao wanaringa hadi wameenda kwa Barella.

Wakiuza wachezaji kama Scott,Martial,Bailly,Fred,hata Sancho na Maguire ambao wanatakiwa Spurs hela wanaweza kupata kama €200m hapo wakiongeza na hiyo ya bajeti inafika €300.

Hapo unachukua

Diogo Costa €60-70m
Disasi/Todibo €40-50m
Rabiot for Free
Mount €40/50 kama Chelsea wakilegeza
Goncalo Ramos-€80m

Kwa hao tu ni kama €220-250m hapo kuna kidogo itabaki wataamua hata waongeze mchezaji wa kuimarisha nafasi wanayotaka hasa CB.

Ni vile tu hawawezi kufikiria hivi ila nna imani watafanya hata nusu ya hiki
 
Hii kama gelesha tu ila hapa tayari imekwisha labda tuone watafanya nini hizi wiki 2 zilizobaki.
Screenshot_20230616-150526.jpg
 
Hii kama gelesha tu ila hapa tayari imekwisha labda tuone watafanya nini hizi wiki 2 zilizobaki. View attachment 2659670
Hawezi kuwa listed kwenye retained squad kwasababu hana mkataba ila kwa budget iliyopo naona akibaki maana akiondoka bure sisi ndiyo tutapata hasara kwa kutoa pesa kutafuta kipa.
 
Hawezi kuwa listed kwenye retained squad kwasababu hana mkataba ila kwa budget iliyopo naona akibaki maana akiondoka bure sisi ndiyo tutapata hasara kwa kutoa pesa kutafuta kipa.
Hasara kupata kawaida tulipata kwa Pogba tuliyemnunua hela nyingi akaondoka bure ila De Gea alisajiliwa bei chee.

So hiyo haikwepeki sidhani kama sasa kuna timu itamtaka so kutafuta kipa mpya ni lazima hata akibaki ndio maana Ten Hag alisema De Gea kusaini mkataba mpya haimpi guarantee ya kuwa #1 msimu ujao
 
Hiyo nafuu wapeleke kwa Goncalo Ramos.

Ni risk sana kwa kijana yule hiyo hela halafu ukizingatia serie A inaongoza kwa kutoa sajili za tapeli,hebu leta hapa mshambuliaji mkali aliyesajiliwa na timu za Epl toka serie A halafu akafanya vizuri.Nadhani ni Salah tu ambaye kiuhalisia anatokea pembeni ndio kaonesha potential wengine wote za uso
Hata mabeki na viungo ndio usiseme huwa hawatambi nje ya ile ligi.

So ni bora waende Ureno na hiyo hela wakambebe Goncalo Ramos tena ni €80m na katupia mabao ya kutosha sana ila sio kwa huyo aliyefunga 9 tu kulipa hilo dau tunajirisk kama kwa Antony
Highlights zake sijaona hata goli la kichwa..£80m kweli?
 
Mie sina cha kuchangia kwa Sasa zaidi ya kuomba tu hii club yangu pendwa ipate mmiliki mpya Jasmin, maana itakua ngumu kwenda jino kwa jino na pep wa mancity ambae anapata kila kitu kutoka kwa Mansoor.

Tuweni serious yaan £120 kweli ndio tutegemee kupambana na mancity ambae anakwenda kuigeuza hii ligi kuwa farmers league. Ten hag ni kocha mzuri saana but problem ni wamiliki wa club, hivyo wakichelewa kuuza itachukua mda kupata mafanikio yasiyo ya kubahatisha.
 
Highlights zake sijaona hata goli la kichwa..£80m kweli?
Ndio maana nikasema risky pia kwa wote.

Mimi ambaye naona anaweza kufaa ni Kolo Muani maana ni complete striker kama Kane anakupiga mabao ya aina zote na anajua kulink up na mawinga.

Benfica nao ni matapeli flani.

Hapa tunapaswa kutulia sana japo naona kuna asilimia kubwa za kumchukua Hojlund maana alishabadili hadi agency ya kumsimamia ambayo pia inamsimamia Ten Hag.
 
Back
Top Bottom