Kwa soka la sasa ni lazima,De Gea nyakati zile za SAF ndio aina ya kipa waliokuwa wanahesabika bora sio miaka hii ya build up za kuanzia nyuma.
Upo sahihi ,niliangalia mechi ya FA manjesta vs Mancity niliona Kuna buildup mlizifanya nyingi tu na zilifanikiwa , Sasa pale mtoe muweke Onana ,means Kama kwa timu Kama city buildup zilifanikiwa ,Basi kwa middle teams una uhakika wa kushinda mechi nyingi na goals nyingi
Kuna watu hawajui umuhimu wa buildup kwa soka la kisasa ,ndio maana ukiwaambia Degea hafai hawakuelewi ,
Unapofanya buildup ukatoka chini salama kwa usahihi ,shepu ya timu pinzani unaikuta imepangaranyika sababu walikuja ku press wakashindwa kufanya turnover
Wasipo press ,Basi wanakuwa wamerudi nyuma kuzuia ,means mpira mtakuwa nao muda mrefu mkiwasaka
Hii inaongeza Percentage kubwa ya kushinda mechi ,
Ndio maana kocha Kama Conte,Mourinho, Simeone ,hawawez kutoboa EPL kwasasa ...even hata Ancelot .
Ferguson mwenyewe kwasasa angekiona Cha Moto,
Treble ya 1999 , Alibeba EPL na points 79 tu , wakati leo Liverpool points 97 anakosa EPL, Arsenal points 84 tunaonekana hatujafanya kitu .