Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Angalia hii 👇Ni mechi nyingi sana msimu huu tumetoka uwanjani "kwa asante De Gea" , team imeoza kuanzia mabeki, viungo, huko mbele ndio viazi kabisa.
Hizo game zote ulizotolea mfano tulifeli kwasababu ya hesabu za kocha katika sub, wala haikuwa kawasababu De Gea alikuwa anapoteza possession.
Mechi kama ile tuliyopigwa goli 4 na BENTIFORD utasema ni kipa? Ila ya Liverpool tuliyokula goli 7 utasema ni kipa? Zile goli 6 za City utasema ni kipa? Ile game tuliyosuluhu na Crystal palace licha ya kuongoza goli moja tulipigwa msako mkali sana tukapona kwasaabu ya De Gea.
Mechi zetu dhidi ya Spurs, Sevilla, Barca, ARSENAL (ile ya 3-2) na nyingine nyingi, ni mechi tulizopoteza kipumbavu licha ya kutangulia kwasababu ya ujinga wa Ten Hag kwenye sub zake. Ni mara chache sana Ten Hag apige hesabu za kufanya sub kisha zifanikiwe.
Kwa mfano wa mechi ulizotoa bado sio sawa kumtupia lawama De Dea.
ITAFUTWE SABABU NYINGINE GENUINE, SIO KUSEMA DE DEA NI KIPA MBOVU.
Mechi ya Real Betis alifanya kosa hilihili na yote alitoka salama. Mechi zote za msimu huu distribution yake imeigharimu timu kupoteza possession. Mpira umebadilika, DDG ni kipa wa zamani. Kudaka siyo tatizo ila uchezaji wake una-influence aina yetu ya uchezaji kwa % kubwa sana.



Rio Ferdinand: “The Qatari takeover is something that we’ve been waiting for a long time. We’re hearing that it’s close, within a matter of days it will happen, if not hours. Fingers crossed that it is right, I’ve got it from a good source that it is true.”






