Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni mechi nyingi sana msimu huu tumetoka uwanjani "kwa asante De Gea" , team imeoza kuanzia mabeki, viungo, huko mbele ndio viazi kabisa.


Hizo game zote ulizotolea mfano tulifeli kwasababu ya hesabu za kocha katika sub, wala haikuwa kawasababu De Gea alikuwa anapoteza possession.

Mechi kama ile tuliyopigwa goli 4 na BENTIFORD utasema ni kipa? Ila ya Liverpool tuliyokula goli 7 utasema ni kipa? Zile goli 6 za City utasema ni kipa? Ile game tuliyosuluhu na Crystal palace licha ya kuongoza goli moja tulipigwa msako mkali sana tukapona kwasaabu ya De Gea.

Mechi zetu dhidi ya Spurs, Sevilla, Barca, ARSENAL (ile ya 3-2) na nyingine nyingi, ni mechi tulizopoteza kipumbavu licha ya kutangulia kwasababu ya ujinga wa Ten Hag kwenye sub zake. Ni mara chache sana Ten Hag apige hesabu za kufanya sub kisha zifanikiwe.

Kwa mfano wa mechi ulizotoa bado sio sawa kumtupia lawama De Dea.

ITAFUTWE SABABU NYINGINE GENUINE, SIO KUSEMA DE DEA NI KIPA MBOVU.
Angalia hii 👇

Mechi ya Real Betis alifanya kosa hilihili na yote alitoka salama. Mechi zote za msimu huu distribution yake imeigharimu timu kupoteza possession. Mpira umebadilika, DDG ni kipa wa zamani. Kudaka siyo tatizo ila uchezaji wake una-influence aina yetu ya uchezaji kwa % kubwa sana.
 
Angalia hii

Mechi ya Real Betis alifanya kosa hilihili na yote alitoka salama. Mechi zote za msimu huu distribution yake imeigharimu timu kupoteza possession. Mpira umebadilika, DDG ni kipa wa zamani. Kudaka siyo tatizo kwasababu uchezaji wake una-influence aina yetu ya uchezaji kwa % kubwa sana.
Huyo huwa anachoma sana ni vile akina Martinez huwa wanafuta mistakes zake na hiyo kitu akaendeleza akiwa na akina Maguire ambao hawana ubora.

Makosa hayo tayari ni udhaifu na hauvumiliki,naomba tu July ifike haraka tuone mustakabali
 
Huyo huwa anachoma sana ni vile akina Martinez huwa wanafuta mistakes zake na hiyo kitu akaendeleza akiwa na akina Maguire ambao hawana ubora.

Makosa hayo tayari ni udhaifu na hauvumiliki,naomba tu July ifike haraka tuone mustakabali

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
De Gea huwa anasifiwa akidaka ila mara nyingi yeye ndiyo huwa chanzo cha tatizo.

Unakuta anabutua mpira mbele mpinzani ana-win mpira timu inashambuliwa linapigwa shuti anadaka (watu wanaanza kumsifia) ila ukirudi sekunde 30 nyuma unakuta yeye mwenyewe ndiyo alianzisha tatizo kwa kushindwa kupiga pasi au kupeleka mpira mahali sahihi.
 
Sasa hapa utasema kosa ni la nani Mac Alpho

Bahati tulikuwa tunaongoza 6-1 hii mechi ila huu ni uzembe kipa hapaswi kufanya.
 
Sasa hapa utasema kosa ni la nani Mac Alpho

Bahati tulikuwa tunaongoza 6-1 hii mechi ila huu ni uzembe kipa hapaswi kufanya.
Nicheke kwanza,na hapa ndio jana nilimuiliza mtu kwamba ni sawa tuna washambuliaji wabovu hatufungi mabao ila je kama tunashinda goli 7 ila anaendelea kuchomesha bado atahesabika kama bora?

Hii video inamaliza kila kitu na hizi mistakes anafanya kila wiki ila watu wanaangalia saves zake tu,hili tayari ni tatizo maana makipa wengine hupiga mipira mirefu kwa malengo ila sio huyu wetu ni kama anaanzisha mpira kwenye Rugby
 
Rice to Arsenal.
Caicedo to Chelsea.

Tuna wakati mgumu sana next season. Top talents zote wenzetu wanaziwahi.
 
Rice to Arsenal.
Caicedo to Chelsea.

Tuna wakati mgumu sana next season. Top talents zote wenzetu wanaziwahi.
Usiwaze sana tag ya Rice imesogezwa hadi €120m tuone kama Arsenal wataiweza,Man City wanamvizia pia.

Caicedo naye bado tukiwahi hatuwezi kumkosa kama tu tunamhitaji
 
QATAR!!! 🇶🇦

Nine Two UK Holdings Ltd. Sheikh Jassim akiwa mmoja wa wakurugenzi, ni kampuni rasmi nchini Uingereza, kuanzia leo.
FyqyymcaQAAv02F.jpeg

FyqyymWaAAET9hj.jpeg
 
Rio Ferdinand: “The Qatari takeover is something that we’ve been waiting for a long time. We’re hearing that it’s close, within a matter of days it will happen, if not hours. Fingers crossed that it is right, I’ve got it from a good source that it is true.”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230615_175113_995.jpg
 
Alejandro Garnacho made his debut for Argentina in their 2-0 win vs. Australia

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230615_175158_981.jpg
IMG_20230615_175159_209.jpg
 
Atalanta held a meeting earlier this week when it was decided they would demand closer to £86million (100m euro) for Rasmus Højlund.


#MailSport
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230615_175221_734.jpg
 
Christian Eriksen on Rasmus Højlund: "I can see him at #MUFC, but I haven’t recommended him to Erik ten Hag. He is a fantastic guy and a good player."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230615_175231_933.jpg
 
We are in the end game.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230615_175204_982.jpg
 
Ni mechi nyingi sana msimu huu tumetoka uwanjani "kwa asante De Gea" , team imeoza kuanzia mabeki, viungo, huko mbele ndio viazi kabisa.


Hizo game zote ulizotolea mfano tulifeli kwasababu ya hesabu za kocha katika sub, wala haikuwa kawasababu De Gea alikuwa anapoteza possession.

Mechi kama ile tuliyopigwa goli 4 na BENTIFORD utasema ni kipa? Ila ya Liverpool tuliyokula goli 7 utasema ni kipa? Zile goli 6 za City utasema ni kipa? Ile game tuliyosuluhu na Crystal palace licha ya kuongoza goli moja tulipigwa msako mkali sana tukapona kwasaabu ya De Gea.

Mechi zetu dhidi ya Spurs, Sevilla, Barca, ARSENAL (ile ya 3-2) na nyingine nyingi, ni mechi tulizopoteza kipumbavu licha ya kutangulia kwasababu ya ujinga wa Ten Hag kwenye sub zake. Ni mara chache sana Ten Hag apige hesabu za kufanya sub kisha zifanikiwe.

Kwa mfano wa mechi ulizotoa bado sio sawa kumtupia lawama De Dea.

ITAFUTWE SABABU NYINGINE GENUINE, SIO KUSEMA DE DEA NI KIPA MBOVU.
De Gea kwenye mipango ijayo hatakiwi kuwepo..

Kuna muda nikimwangalia anatoa pasi zake napatwa na nusu heart attack.
 
Back
Top Bottom