ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,636
He is one of those likable people.Anazuia riziki za wenzake, halafu ni toto pendwa la bosi glazer
He is one of those likable people.Anazuia riziki za wenzake, halafu ni toto pendwa la bosi glazer
Soka la sasa hivi ubishoo na uvivu ndiyo vinaongoza. Martial, Sancho, Rashford huwa naona kama ni watu wanaojaza nafasi tu United. Siyo watu wa kutegemea kabisa.Msenge kama huyu aliyecheza mechi chache kuliko werghost ndio akupe ubingwa,
Kwa kazi gani aliofanya hadi awe na mapumziko ya ulaji bata kama haya
View attachment 2660044
Safishasafisha inaendelea.Habar za leo ndugu zangu, leo naomba nichangie kidogo kwenye hili jukwaa baada ya kimya kirefu.
Kitu cha kwanza ambacho inabidi tukubali ni kwamba kwa sasa tupo nyuma sana na washindani wetu wakubwa kwenye Ligi achia mbali UEFA, na ni ngumu kupata timu ya kugombea ubingwa kwa msimu ujao( kama tutaendeleaa kuwa chini ya Glazer). Kama Muarabu atachukua timu safari yetu itakuwa fupi,
Maelzo yangu ni assumption kama timu haitaenda kwa mwarabu kabla diriaha halijafungwa
Kwa dirisha hili la usajili kwangu naona litakuwa limekwenda vizuri endapo tutakuwa tumepunguza wachezaji mizigo( wasio na msaada) kuliko hata kusajili wachezaji wapya wengi.
Wachezaji kama Wanbissaka(Sababu Dalot katoka kupewa mkataba) ,Maguire,Mctominay,Martial,Elanga,Brandon Williams,Van de beek unaweza ukawauza kwa pesa za nyanya ukakusanya ukapata mchezaji mmoja au wawili wanaoweza kuwa na impact kubwa kuliko kundi kubwa la wachezaji wasio na faida.
Kwangu ni bora kubaki na Maino na Zidan kuliko kumtegema Mctominay auu Fred.
Kwa mtazamo wangu natamani tungepata kipa zaidi ya Degea, ila kwa bajeti hii ya maandazi sioni hili likitokea. Kwa hiyo Dean angerudi ili agombanie namba na De gea,(uzuri wa Ten Hag) ana uwezo wa kumuweka benchi mchezaji yoyoye ambaye ana under perfom. Ila ili uweze kumuweka benchi ni lazima unaye mpa nafasi awe bora kuliko unaye muweka benchi. ( hii ingeleta chamgamoto chanya kwenye nafasi ya golkipa) tungeweza kusogea kidogo.
Halafu hela zote zile zitazopatikana kwa kuuza wachezaji wa mafungu zingeelekezwa kwenye nafasi ya Ushambuliaji (Tungepata Striker mmoj wa maana) na mchezaji kiraka mmoja mfano wa Caicedo. Ukipata mchezaji kama huyu unakuwa ni kama una wachezaji wawili au watatu. Anaweza kucheza kwa ufasaha zaidi ya nafasi mbili.
Binafsi naona Ten Hag amefanya kazi nzuri kwa msimu wake wa kwanza ila kama hatapewa support ya dhati tutarud pale pale kwamba kocha hafai.
Timu ya biashara hii wasio julikana izo jezi ata nunua naniKwa ufinyu wa bajeti tulionao inatakiwa kuwa na plan B endapo Glazers hawaachia timu mapema. Wengi wetu tulishawishika na project ya mwisho ya 10Hag pale Ajax akiwa na makinda wengi kwenye timu yake na ilikuwa inacheza mpira mzuri sana.
Ni wakati sasa akatafute vipaji visivyo na majina uko S/A,Asia,Afrika na hata ligi za ulaya mashariki zisizo na majina lakini kuna talents nyingi. Pesa tuliyo na uhakika nayo tununue proven striker na tuuze magalasa yetu tumtafute De Jong ashikilie dimba na Casemiro.
Mapengo mengine uwanjani tuzibe na hizo talents toka kusikojulikana ili tuwashangaze.
Ungemkataa hata huko Madrid hana uwezo wa kuwafikia Vinicius na Rodrygo.Sancho ana tamani ange tulia zake aende Madrid ona sasa alipo saivi![]()
Huyo Rashford hadi akiamka vyema nadhani itategemea na progression ya Garnacho inaenda vipi ila kijana akiendelea na potential yake ndani ya miaka 2-3 atamuweka Rashford benchi.Soka la sasa hivi ubishoo na uvivu ndiyo vinaongoza. Martial, Sancho, Rashford huwa naona kama ni watu wanaojaza nafasi tu United. Siyo watu wa kutegemea kabisa.
Martial unaweza kumtetea kwa injuries lakini haonyeshi hali ya kujituma uwanjani ni kama hajali.
Sancho ubisho na bata vinamaliza kipaji chake. Msimu umeisha tayari kawahi Jet na kupiga soft drinks. Naweza kusema pesa nyingi ktk umri mdogo ndiyo sababu.
Rashford ni mchezaji mwenye kipaji cha hali ya juu lakini ni kama ame-stuck mahali. Ujana na kutojituma 100% ndiyo tatizo lake. Rashford ni mchezaji ambaye pesa na umaarufu havijaichota akili yake ila naona kama kwenye 100% uwanjani anafanya 70% akiamua kufanya kazi yake ipasavyo ni mchezaji mzuri.
Mfano mzuri ni pale Man City, Haaland na Alvarez ni watu wa kazi lakini mtu kama Foden ana mambo mengi na ndiyo tabia ya Waingereza wote. Hata Rooney alikuwa mlevi ila hakuwa na utani uwanjani.
Hivi hii team inauzaga wachezaji kweli mana kila mchezaji anaondokaga bure. Pogba alinunuliwa kwa pesa nyingi ila aliondoka free








Casemiro: “In Brazil, we always say that your first line of defence is your number nine, or your striker. In modern football, you defend with all 11 players, and you attack with all 11 too. That is how football is nowadays.”







Casemiro: “I reckon it’s now the third season in my career where I’ve managed to score seven goals. I get the odd goal now and again but, of course, I’m not what you’d call a genuine goal scorer!”







Casemiro: “Everyone likes to get on the scoresheet but a favourite phrase of mine is always that my ball-winning tackles are my goals. That’s what I really like doing.”






Ngoja nibadilishe swali ili nieleweke.Kaka tuanze kwanza na mapungufu ya mchezaji mmoja mmoja de gea ni mbovu sana huna cha kumtetea juu ya performance yake tena hata izo unazosema anaokoa mara nyingi unakuta makosa ni yake...kuna namna ww unaangalia mpira kwa angle isiyo sawa
Tulianza na maguaya sasa n degea na lipo wazi ambae atufai anatakiwa akae pembeniNgoja nibadilishe swali ili nieleweke.
Unataka kusema kwamba katika kikosi kilekile cha Utd, ikitokea tukebadili kipa basi mambo yatanyooka vizuri na tutakuwa na team shindani??
Mimi napingana na mtu aliyedai kuwa De Gea ndio kasababisha team yetu kuwa mbovu isiyokuwa ya kiushindani, ile UTD imeoza yote. De Gea anaweza kuwa hafit kwenye mpira wa kisasa ila hana huo ubaya mkubwa kiasi ambacho mnajaribu kuukuza.
Hujaelewa mantiki iliyopo!Ngoja nibadilishe swali ili nieleweke.
Unataka kusema kwamba katika kikosi kilekile cha Utd, ikitokea tukebadili kipa basi mambo yatanyooka vizuri na tutakuwa na team shindani??
Mimi napingana na mtu aliyedai kuwa De Gea ndio kasababisha team yetu kuwa mbovu isiyokuwa ya kiushindani, ile UTD imeoza yote. De Gea anaweza kuwa hafit kwenye mpira wa kisasa ila hana huo ubaya mkubwa kiasi ambacho mnajaribu kuukuza.