Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Hiyo €120m ni intial nimeweka maelezo juu kwamba wakiuza wachezaji kadhaa inaweza kuongezeka hadi hata €300m.Mie sina cha kuchangia kwa Sasa zaidi ya kuomba tu hii club yangu pendwa ipate mmiliki mpya Jasmin, maana itakua ngumu kwenda jino kwa jino na pep wa mancity ambae anapata kila kitu kutoka kwa Mansoor.
Tuweni serious yaan £120 kweli ndio tutegemee kupambana na mancity ambae anakwenda kuigeuza hii ligi kuwa farmers league. Ten hag ni kocha mzuri saana but problem ni wamiliki wa club, hivyo wakichelewa kuuza itachukua mda kupata mafanikio yasiyo ya kubahatisha.
Hapo wanaweza kupata wachezaji hata 5/6.
Tatizo kikwazo ni takeover maana ingekuwa Mwarabu akiinunua timu anaanza kazi haraka labda tungeweza kufanya sajili zote hata July kwa hela yake.
But sasa cha kushtua ni kwamba inatakiwa approval toka kwa Premier League ambayo inaweza kuchukua wiki 8-12 na kwa mahesabu ya haraka ligi inakuwa ishaanza na hata dirisha la usajili linakuwa limefungwa.
Nadhani tuanze kupigia maesabu hela ya mmiliki mpya kuanzia January mwakani.
