Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Foot work ndogo...Hivi shida ya De Gea ni ipi haswa?
Foot work ndogo...Hivi shida ya De Gea ni ipi haswa?

️ | TRANSFERS: United out of the race for Arsenal target.
: The Daily Mail’s Mike Keegan (@MikeKeegan_DM) has confirmed that Arsenal are set to sign West Ham midfielder Declan Rice with Man United out of the race.
Keegan: “But it appears inevitable that West Ham's brilliant 24-year-old will join a direct rival (Arsenal) for around £100m.”
#AFC #Transfers #WHUFC #MUFC #RiceWatu wasiojua mpira ndio wanamlaumu De gea ila kwangu mimi bado De gea ni kipa bora ndio maana kashinda golden gloves. Shida kubwa ya utd kwa sasa ni straiker, beki wa kati na kiungo, mastraiker hawafungi ndio maana tukifungwa na kupoteza mechi watu wanaona De gea mbaya. Kama ingekuwa De gea anafungwa na straiker zetu zinafunga na kushinda mechi wala De gea asingeonekana mbovu. Kwa misako tunayofanyiwaga na vitimu vya hovyo hovyo kama sio ubora wa De gea sijui tungekuwa wapi. Binafsi naamini ukuwauliza maforward wa timu pinzani pale England kwamba wakutajie kipa bora, sujui kama De gea atakosekana top 3.Hivi shida ya De Gea ni ipi haswa?
De gea ni stopper mzuri sana hilo hatukatai lakini uwezo wake wa mpira ukiwa mguuni ni tatizo sanaa na kwa mpira anaocheza 10hag wa kuanzia mpira nyuma kwa pasi fupi De gea ni kichomi.Watu wasiojua mpira ndio wanmlaumu De gea ila kwangu mimi bado De gea ni kipa bora ndio maana kashinda golden gloves. Shida kubwa ya utdd kwa sasa ni straiker, beki wa kati na kiungo, mastraiker hawafungi ndio maana tukifungwa na kupoteza mechi watu wanaona De gea mbaya. Kama ingekuwa De gea anafungwa na straiker zetu zinafunga na kushinda mechi wala De gea asingeonekana mbovu. Kwa misako tunayofanyiwaga na vitimu vya hovyo hovyo kama sio ubora wa De gea sijui tungekuwa wapi. Binafsi naamini ukuwauliza maforward wa timu pinzani pale England kwamba wakutajie kipa bora, sujui kama De gea atakosekana top 3.
Kwa hiyo ukifunga goli 7 huku kipa anachomesha na miguu yake iliyopinda so anabaki kuwa bora.Watu wasiojua mpira ndio wanmlaumu De gea ila kwangu mimi bado De gea ni kipa bora ndio maana kashinda golden gloves. Shida kubwa ya utdd kwa sasa ni straiker, beki wa kati na kiungo, mastraiker hawafungi ndio maana tukifungwa na kupoteza mechi watu wanaona De gea mbaya. Kama ingekuwa De gea anafungwa na straiker zetu zinafunga na kushinda mechi wala De gea asingeonekana mbovu. Kwa misako tunayofanyiwaga na vitimu vya hovyo hovyo kama sio ubora wa De gea sijui tungekuwa wapi. Binafsi naamini ukuwauliza maforward wa timu pinzani pale England kwamba wakutajie kipa bora, sujui kama De gea atakosekana top 3.
Katika misimu miwili tu De Gea kafungwa goli 100 huku kwenye ligi akiwa amepigwa kama goli 97 hivi misimu miwili tu.Watu wasiojua mpira ndio wanmlaumu De gea ila kwangu mimi bado De gea ni kipa bora ndio maana kashinda golden gloves. Shida kubwa ya utdd kwa sasa ni straiker, beki wa kati na kiungo, mastraiker hawafungi ndio maana tukifungwa na kupoteza mechi watu wanaona De gea mbaya. Kama ingekuwa De gea anafungwa na straiker zetu zinafunga na kushinda mechi wala De gea asingeonekana mbovu. Kwa misako tunayofanyiwaga na vitimu vya hovyo hovyo kama sio ubora wa De gea sijui tungekuwa wapi. Binafsi naamini ukuwauliza maforward wa timu pinzani pale England kwamba wakutajie kipa bora, sujui kama De gea atakosekana top 3.
Katika misimu 11 aliyokaa United ni misimu miwili tu amekuwa kwenye kiwango cha juu.Kwa hiyo ukifunga goli 7 huku kipa anachomesha na miguu yake iliyopinda so anabaki kuwa bora.
Cleansheets ni takwimu za uongo kipa anaweza kuzipata bila hata kupigiwa hata shuti moja langoni.
Kaangalie ile game ya juzi hapa Onana anavyocheza,ukiwa na footwork nzuri sometimes unaweza hata kuwafungua wapinzani kirahisi kwa pasi za maana kwenda mbele fuatilia hata Allison anavyosaidia kutengeneza moves za mabao.
Sasa huyu wetu huwa anapiga mpira kama mchezo wa sadakalawe yaani mwenye kupata apate wa kukosa akose,anapiga bila malengo bora lienda sometimes anachomesha sana.
Kuruhusu goli kipa kawaida kutokana na team errors ila kuna zile individuals errors zinamhusu hasa yeye na Pickford ndio manguli hapa.
De Gea sio kipa mbaya ila kwa mfumo wa Ten Hag ni kikwazo tayari,makocha wanaocheza soka la kitabuni wanahitaji wachezaji wanaoendana na falsafa zao kila position.
Inter Ni timu ya kucheza kwa kuzuia ,lakini ona Onana alichokuwa anafanya ,Hadi wachezaji wa city wanaogopa kumfata ,maana passi zake zilikuwa zinafungua mistari miwili had mitatu ya cityKwa hiyo ukifunga goli 7 huku kipa anachomesha na miguu yake iliyopinda so anabaki kuwa bora.
Cleansheets ni takwimu za uongo kipa anaweza kuzipata bila hata kupigiwa hata shuti moja langoni.
Kaangalie ile game ya juzi hapa Onana anavyocheza,ukiwa na footwork nzuri sometimes unaweza hata kuwafungua wapinzani kirahisi kwa pasi za maana kwenda mbele fuatilia hata Allison anavyosaidia kutengeneza moves za mabao.
Sasa huyu wetu huwa anapiga mpira kama mchezo wa sadakalawe yaani mwenye kupata apate wa kukosa akose,anapiga bila malengo bora lienda sometimes anachomesha sana.
Kuruhusu goli kipa kawaida kutokana na team errors ila kuna zile individuals errors zinamhusu hasa yeye na Pickford ndio manguli hapa.
De Gea sio kipa mbaya ila kwa mfumo wa Ten Hag ni kikwazo tayari,makocha wanaocheza soka la kitabuni wanahitaji wachezaji wanaoendana na falsafa zao kila position.
Mambo yakienda sawa kwa mwarabu basi msimu ujao Asaniwali atateseka sana.EXCL: Manchester United has officially been sold to Qatar's Sheikh Jassim. The tranfer budget for the club is set to rise from £150M to £450M. Renovation of the training ground will commence immediately.
Natest mitambo tu
Shida ya manjesta haijawahi kuwa pesaMambo yakienda sawa kwa mwarabu basi msimu ujao Asaniwali atateseka sana.
Sheikh ametuhakikishia akikabidhiwa timu tu Mbape, Saka, Ordegard, Gundogan na De Bryune lazima watatu kati ya hao watue kwenye matofali ya kuchoma.
Unaambiwa mpaka leo Ordegard hataki kusaini mkataba Asenyo anasikilizia kwanza Sheikh Jassim kama atapewa timu.
Tatizo la manjesta Ni Management na scouting mbovu , Grazzer wanakula faida tuMambo yakienda sawa kwa mwarabu basi msimu ujao Asaniwali atateseka sana.
Sheikh ametuhakikishia akikabidhiwa timu tu Mbape, Saka, Ordegard, Gundogan na De Bryune lazima watatu kati ya hao watue kwenye matofali ya kuchoma.
Unaambiwa mpaka leo Ordegard hataki kusaini mkataba Asenyo anasikilizia kwanza Sheikh Jassim kama atapewa timu.


Wewe unabeki Maguire na Lendelof na Dalot, kiungo Fred na Mactominey ulitegeme afanyaje? Kifupi timu yetu ni mbovu kila idara kipa anasingiziwa tu, De gea kaibeba sana timu siwezi mchukulia poa hata kidogo na ninarudia kusema kama ingekuwa hatuna De gea kwa hii timu ilivyokosa muunganiko sasa hivi tungemaliza nafasi ya 15 kwenye ligi. Nafasi tuliyopata sio kwamba tulikuwa na forward bora sana au kiungo bora bali ni kipa bora.Katika misimu miwili tu De Gea kafungwa goli 100 huku kwenye ligi akiwa amepigwa kama goli 97 hivi misimu miwili tu.
Ubora wa De Gea uko wapi ?
Una fact kwa upande fulani ,Kama manjesta kwenye kufunga ilikuwa butu ,means mngekuwa na kipa ambaye ikipigwa imo ,Basi mngekuwa nafasi 12-15Wewe unabeki Maguire na Lendelof na Dalot, kiungo Fred na Mactominey ulitegeme afanyaje? Kifupi timu yetu ni mbovu kila idara kipa anasingiziwa tu, De gea kaibeba sana timu siwezi mchukulia poa hata kidogo na ninarudia kusema kama ingekuwa hatuna De gea kwa hii timu ilivyokosa muunganiko sasa hivi tungemaliza nafasi ya 15 kwenye ligi. Nafasi tuliyopata sio kwamba tulikuwa na forward bora sana au kiungo bora bali ni kipa bora.
Ole sikuwahi kumchukia ndiye aliyetufanya tuanze kuitazama tena timu kwa matumaini.Shida ya manjesta haijawahi kuwa pesa
Shida ya manjesta Ni management
Mpaka kesho naamini Ole alikuwa na mwenendo mzuri ila mlishindwa kumsikiliza mkaanza kumvurugia mipango yake mkamletea CR7 na ndipo akapoteana
Ole alimtaka Diaz, Halland, Felix , Bruno Fernandez
Ole ndiye aliwaamini vijana Kama kina Greenwood , Dialo ,n.k
Hata mkimpata muarabu ,Kama management itakuwa hii au Kama ya psg bado mtabaki hapo hapo
Sawa ila De Gea hakuna timu ya top 6 pale anayopata namba hata kwa kubahatisha.Haya mambo ya kipa kua mzuri akiwa na mpira mguuni sio lazima kila timu iwe ivyo, mbona miaka mitatu nyuma degea,alikua akiimbwa sana, nyie bakini ivyo ivyo tu sio lazima kila timu ibadilike
Kama hauoni tatizo upo nyuma sana kuhusu mpira umebadilika sana...ww huoni de gea ameshinda golden gloves lakn anaongelewa kama kipa mbovu...hujiulizi kwann anaongelewa na kocha ameshatoa kauli tata kuhusu nafasi yakeHaya mambo ya kipa kua mzuri akiwa na mpira mguuni sio lazima kila timu iwe ivyo, mbona miaka mitatu nyuma degea,alikua akiimbwa sana, nyie bakini ivyo ivyo tu sio lazima kila timu ibadilike
Nachosema sio kila timu iwe na kipa aina ya Ramsdale,Onana,Steele, Ederson na Becca.. Nyie man u Bakini ivyo ivyo tu na degea mbona ni kipa mzuri sanaKama hauoni tatizo upo nyuma sana kuhusu mpira umebadilika sana...ww huoni de gea ameshinda golden gloves lakn anaongelewa kama kipa mbovu...hujiulizi kwann anaongelewa na kocha ameshatoa kauli tata kuhusu nafasi yake