Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sasa hapa utasema kosa ni la nani Mac Alpho

Bahati tulikuwa tunaongoza 6-1 hii mechi ila huu ni uzembe kipa hapaswi kufanya.
 
Sasa hapa utasema kosa ni la nani Mac Alpho

Bahati tulikuwa tunaongoza 6-1 hii mechi ila huu ni uzembe kipa hapaswi kufanya.
Nicheke kwanza,na hapa ndio jana nilimuiliza mtu kwamba ni sawa tuna washambuliaji wabovu hatufungi mabao ila je kama tunashinda goli 7 ila anaendelea kuchomesha bado atahesabika kama bora?

Hii video inamaliza kila kitu na hizi mistakes anafanya kila wiki ila watu wanaangalia saves zake tu,hili tayari ni tatizo maana makipa wengine hupiga mipira mirefu kwa malengo ila sio huyu wetu ni kama anaanzisha mpira kwenye Rugby
 
Rice to Arsenal.
Caicedo to Chelsea.

Tuna wakati mgumu sana next season. Top talents zote wenzetu wanaziwahi.
 
Rice to Arsenal.
Caicedo to Chelsea.

Tuna wakati mgumu sana next season. Top talents zote wenzetu wanaziwahi.
Usiwaze sana tag ya Rice imesogezwa hadi €120m tuone kama Arsenal wataiweza,Man City wanamvizia pia.

Caicedo naye bado tukiwahi hatuwezi kumkosa kama tu tunamhitaji
 
QATAR!!! 🇶🇦

Nine Two UK Holdings Ltd. Sheikh Jassim akiwa mmoja wa wakurugenzi, ni kampuni rasmi nchini Uingereza, kuanzia leo.
FyqyymcaQAAv02F.jpeg

FyqyymWaAAET9hj.jpeg
 
Rio Ferdinand: “The Qatari takeover is something that we’ve been waiting for a long time. We’re hearing that it’s close, within a matter of days it will happen, if not hours. Fingers crossed that it is right, I’ve got it from a good source that it is true.”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230615_175113_995.jpg
 
Alejandro Garnacho made his debut for Argentina in their 2-0 win vs. Australia

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230615_175158_981.jpg
IMG_20230615_175159_209.jpg
 
Atalanta held a meeting earlier this week when it was decided they would demand closer to £86million (100m euro) for Rasmus Højlund.


#MailSport
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230615_175221_734.jpg
 
Christian Eriksen on Rasmus Højlund: "I can see him at #MUFC, but I haven’t recommended him to Erik ten Hag. He is a fantastic guy and a good player."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230615_175231_933.jpg
 
We are in the end game.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230615_175204_982.jpg
 
Ni mechi nyingi sana msimu huu tumetoka uwanjani "kwa asante De Gea" , team imeoza kuanzia mabeki, viungo, huko mbele ndio viazi kabisa.


Hizo game zote ulizotolea mfano tulifeli kwasababu ya hesabu za kocha katika sub, wala haikuwa kawasababu De Gea alikuwa anapoteza possession.

Mechi kama ile tuliyopigwa goli 4 na BENTIFORD utasema ni kipa? Ila ya Liverpool tuliyokula goli 7 utasema ni kipa? Zile goli 6 za City utasema ni kipa? Ile game tuliyosuluhu na Crystal palace licha ya kuongoza goli moja tulipigwa msako mkali sana tukapona kwasaabu ya De Gea.

Mechi zetu dhidi ya Spurs, Sevilla, Barca, ARSENAL (ile ya 3-2) na nyingine nyingi, ni mechi tulizopoteza kipumbavu licha ya kutangulia kwasababu ya ujinga wa Ten Hag kwenye sub zake. Ni mara chache sana Ten Hag apige hesabu za kufanya sub kisha zifanikiwe.

Kwa mfano wa mechi ulizotoa bado sio sawa kumtupia lawama De Dea.

ITAFUTWE SABABU NYINGINE GENUINE, SIO KUSEMA DE DEA NI KIPA MBOVU.
De Gea kwenye mipango ijayo hatakiwi kuwepo..

Kuna muda nikimwangalia anatoa pasi zake napatwa na nusu heart attack.
 
Man Utd's new owners might not be in place before next season!

Mail Sports understand should the Glazers decide who they want to sell to, a further eight to 12 weeks ‘approval process’ would follow before a deal is officially approved.

That means that when Erik ten Hag’s men start the 2023-24 campaign against Wolves at Old Trafford on August 14, the Glazers – deeply unpopular with large sections of the club’s fanbase - may well still be technically in control.


Any successful bidder will be subject to an approval and closing process and there will be no impact on United’s summer transfer business. As Mail Sport reported yesterday, Ten Hag’s transfer budget has been set at around £120m. That is open to change depending on how much he can bring in from selling players.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230616_001442_782.jpg
 
Inter have not received any approach or bid from Manchester United for André Onana as things stand.

Erik Ten Hag knows Onana very well but Man United decision on budget for the goalkeeper will be based on De Gea’s future.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230615_182248_674.jpg
 
18-year-old Alejandro Garnacho has now played alongside both Messi and Ronaldo

Living the dream

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230615_225822_811.jpg
 
Back
Top Bottom