fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,206
Tangu kuondoka Fergie misimu ya United huwa inaisha pale dirisha la usajili linapofunguliwa. Kwanza msimu mzima tunakuwa hatujatambua machaguo ya wachezaji wa kuwaongeza kikosini na wale wa kuondoka,inatokeaga kama bahati tu. Ikitokea mashabiki wamepiga kelele sana anatafutwa staa aliye ukingoni au reject ya timu yake sisi mioyo inaburudika kugombea top 4!
2013 ni muongo mmoja tayari umekwisha na hawa Glazers wamedhamiria biashara zaidi kutoka kwenye hii fan base ya united.
2013 ni muongo mmoja tayari umekwisha na hawa Glazers wamedhamiria biashara zaidi kutoka kwenye hii fan base ya united.

Manchester United have made a check on Declan Rice, but finances will prohibit them from paying £100million for a midfielder, which is West Ham’s asking price. 

#MUFC
#RMFC #THFC
)





