Kwa hiyo Enzo unamuona ni mchezaji wa kawaida?Kitambo huyu timu za EPL zimemfatilia zikaachana nae , bado kwa intensity ya EPL hawezi kwasasa , hata Enzo zilipigwa kelele Sana, Kiko wapi
Ni vile Ureno kila mchezaji lazima awe na Release clause , akiwika msimu mmoja ,wakurupukaji ndio watapigwa