hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Muarabu atakuja kumwaga pesa ovyoMbona unamuogopa muarabu Sheikh hamiss![]()
Ona wanachofanya huko Saudi Arabia
Muarabu atakuja kumwaga pesa ovyoMbona unamuogopa muarabu Sheikh hamiss![]()
Kitambo huyu timu za EPL zimemfatilia zikaachana nae , bado kwa intensity ya EPL hawezi kwasasa , hata Enzo zilipigwa kelele Sana, Kiko wapiOrkun kocku- benfica.
Here we Go.
Miezi 28 ijayo atasajiliwa kwa euro millioni 125 kwa klabu yeyote itakayomhitaji.
Natabiri.
View attachment 2652866
Kwa hiyo Enzo unamuona ni mchezaji wa kawaida?Kitambo huyu timu za EPL zimemfatilia zikaachana nae , bado kwa intensity ya EPL hawezi kwasasa , hata Enzo zilipigwa kelele Sana, Kiko wapi
Ni vile Ureno kila mchezaji lazima awe na Release clause , akiwika msimu mmoja ,wakurupukaji ndio watapigwa
Kwa sisi wahafidhina na wachambuz nguli tunaamini Grazzer family sio tatizo Bali Wana mapungufu Kama binadamu wengine
Ralf ragnick aliwaambia board ya manjesta iwasajili Enzo fernandez & alvarez wote kwa pamoja bei yao ilikuwa ni £30 ,aliwashauri kumnunua Luis Diaz hawakumsikiliza.
Ole gunar aliwaomba board ya man United wamsajili erling haaland alikuwa anapatikana kwa £4 tu
Pia sosha alimtaka jude kwa £20 alivyokuwa birmingham
View attachment 2652774
Jamaa anajiamini sana anatuliza pressure ya timu, tofauti na De gea mwoga kweli kweli.Daahh Onana hyu golikipa mzur sana








Umeongea kiungwana sana record zipo zivunjweNi siku ya huzuni sana kwa kweli. Na sisi huku tunaongeza mkataba kwa de gea na dalot na tunataka tuje tupiganie ubingwa anyway record zimewekwa ili zivunjwe.

