hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,279
- 26,653
Mimi Kama mchambuzi nguli kwa Mara ya kwanza nimeiona manjesta vs Mancity ikifanya buildup kutoka nyuma Mara kadhaa na inafanikiwa
Kwasisi wahafidhina tunaoangalia positive na negative , hii imetutusha kidogo
Kama Mtasajili yule Kim ,acheze na Martinez na kipa Kama Onana ,au David Raya , mtaokota points nyingi
Maana manjesta wakifika eneo la Kati wanakuwa quickly kufanya transition kwa pass 2-3
Kwasisi ambao huwa hatuishii kuangalia matokeo tu ,dhidi ya city Kuna positive sign zilionekana
Kwasasa inategemea na Sajili mtakazofanya
Uwepo wa GK mwenye footwork , Lisandro ,CB like Kim, Luke Shaw ,
Itawarahisishia kuondoka nyuma haraka na kufika eneo la Midfield
Kwasisi wahafidhina tunaoangalia positive na negative , hii imetutusha kidogo
Kama Mtasajili yule Kim ,acheze na Martinez na kipa Kama Onana ,au David Raya , mtaokota points nyingi
Maana manjesta wakifika eneo la Kati wanakuwa quickly kufanya transition kwa pass 2-3
Kwasisi ambao huwa hatuishii kuangalia matokeo tu ,dhidi ya city Kuna positive sign zilionekana
Kwasasa inategemea na Sajili mtakazofanya
Uwepo wa GK mwenye footwork , Lisandro ,CB like Kim, Luke Shaw ,
Itawarahisishia kuondoka nyuma haraka na kufika eneo la Midfield







Survey: £70m valued Mason Mount (24) or £80m valued Moises Caicedo (21)?
️JUST IN: Chelsea don’t want to negotiate for Mount, it’s £70m or NOTHING.