Kwa mara ya kwanza tokea kumalizika WC leo ndio nmekuona umeandika positive kuhusu Man Utd.
Kipindi cha nyuma
hamis77 kabla ya kuingiza ushabiki wa kuegemea upande mmoja ulikua ukichambua mpira msomaji anafurahi na anatamani kurudia kusoma tena na tena kile ulichokiandika, binafsi mimi nimejifunza mambo mengi niliyokua siyajui kupitia kwenye maandiko yako.
Ushauri wa bure tu kwako wewe jamaa unajua sana kuhusu soka tunakuomba ujikite zaidi katika kuchambua ki professional kama zamani, huu ushabiki lialia tuachie sisi akina
Flano ambao tuko hapa kwa ajili kuchangamsha tu majukwaa na kuburudisha mashabiki kwa utani na masihara ya hapa na pale.