Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
wewe ni ex soldier wa man u.
Mkuu kuna vitu unaweza nisingizia niliwah kua lkn sio kua mshabik wa man u..Naomba unitake sana radhi mkuu.
wewe ni ex soldier wa man u.
Mkuu kuna vitu unaweza nisingizia niliwah kua lkn sio kua mshabik wa man u..Uliona ile video ya utabiri wa yai?
Utabiri ukitimia ita-trend sana maana kuanzia QF ilikuwa sahihi.


Kuna mdau m1 ndo ananitishia nayo iyo video anasema hamtoboi.
Msako ambao inter tutamtafuta nao iyo jmos kiukwl najarb kupata picha nakosa picha kbs.Kuna mdau m1 ndo ananitishia nayo iyo video anasema hamtoboi.
Lkn nikwambie tu Safar hii city kutobubeba Uefa lbd ndege yetu ipate ajali wkt tunaelekea Instabul.. Vinginevyo inter atajuta kwnn hata alifika final iyo jmos.
Ukitak ujue city wamepania angalia marudio game ya Madrid dkk 25 za kwnz utajua hawa vijana safar hii they mean business![]()
Inategemea unamuuza AWB unamleta nani. Mchezaji kama Timber ana uwezo wa kucheza CB, RB & IFB.Kumuuza AWB..
Utakuwa ujinga wa karne at this point
Mimi nataka mpigwe tu ila najua ni ngumu sana Inter kupata hiyo nafasi.Kuna mdau m1 ndo ananitishia nayo iyo video anasema hamtoboi.
Lkn nikwambie tu Safar hii city kutobubeba Uefa lbd ndege yetu ipate ajali wkt tunaelekea Instabul.. Vinginevyo inter atajuta kwnn hata alifika final iyo jmos.
Ukitak ujue city wamepania angalia marudio game ya Madrid dkk 25 za kwnz utajua hawa vijana safar hii they mean business![]()
Atakachokuja kuandika baadae utakuta ni utumbo nusu kilo.... Kuna muda akili zinamuingia kuna muda zinamtokaKwa mara ya kwanza tokea kumalizika WC leo ndio nmekuona umeandika positive kuhusu Man Utd.
Kipindi cha nyuma hamis77 kabla ya kuingiza ushabiki wa kuegemea upande mmoja ulikua ukichambua mpira msomaji anafurahi na anatamani kurudia kusoma tena na tena kile ulichokiandika, binafsi mimi nimejifunza mambo mengi niliyokua siyajui kupitia kwenye maandiko yako.
Ushauri wa bure tu kwako wewe jamaa unajua sana kuhusu soka tunakuomba ujikite zaidi katika kuchambua ki professional kama zamani, huu ushabiki lialia tuachie sisi akina Flano ambao tuko hapa kwa ajili kuchangamsha tu majukwaa na kuburudisha mashabiki kwa utani na masihara ya hapa na pale.
Hapa ndo shida inapoanzia..tatizo kuu linalotukabili hatujui muda sahihi wa kufanya maamuzi yenye maslahi mapana kwa klabu.
mfano:
chini ya ralf rangnick tulishuhudia kupewa muda mwingi wa kucheza anthony elanga, kwa klabu ilio makini ingelihakikisha inamuweka sokoni dirisha lililopita na tungelipata fedha nzuri.
mimi ninayeishi huku unguja upembani nilishamuona anthony elanga hana future njema hapo klabuni, ina maana uongozi wa manchester united wao hawakuliona hilo?
leo hii tunamweka elanga kwa thamani ya paundi millioni 10
liverpool wamemuuza neco williams kwa paundi millioni 17 kwenda nottingham forest.
liverpool wamemuuza harry wilson kwa paundi millioni 14 kwenda Fulham.
liverpool wamemuuza solanke kwa paundi millioni 19 kwenda bournermouth
hawakusita kuwaweka sokoni kwa sababu walishaona hawana mpango nao wa muda mrefu licha uchanga wa umri wao.
walichokifanya wao ni kuwabrand wachezaji wao.
full stop
manchester city walimuuza bazunu kwenda southampton, yaani city wamepata paundi millioni 13 kwa golikipa anayecheza Kikosi B.
MAN CITY hao hao wamemuuza lavia kwenda southampton kwa paundi millioni 15 huku wakiweka kipengele cha kumnunua tena kwa paundi millioni 40, huyu lavia naye alicheza team B.
sisi mpaka leo tunaumiza kichwa juu ya dean henderson, yaani kimasihara masihara tunazikalia paundi millioni 25 hadi 35 kwenye makalio ya carrington.
Team ilio serious haiwezi kumfikiria scott mctominay kwa zaidi ya mara mbili, newcastle united walishaonyesha nia ya kumhitaji lakini klabu inasita kupokea paundi millioni 25 hadi 35 kwa mpuuzi kama yule.
unajiuliza hii klabu ya manchester united inakhofia kitu gani kwa kumpoteza mctominay?
uza mctominay baadae mnunue mathew nunez wa wolves,
umepoteza nini?
tuna safari ndefu sana
Hahaha najua mkuu hamtutakii mema hata kdg ilo liko wazi.Mimi nataka mpigwe tu ila najua ni ngumu sana Inter kupata hiyo nafasi.
Andy cole apewe timu ana kitu
Na 10👥 aende wapii
Ana coach lesen DAndy cole apewe timu ana kitu
Hawezi kupewa timu kwan maana sijui sana kuhusu hizo leseniAna coa
Ana coach lesen D
Maoni kama hayo hutolewa na wachambuzi na legends wengi so angetoa hata Neville ungesema apewe timu?Hawezi kupewa timu kwan maana sijui sana kuhusu hizo leseni
Kwa maoni aliyotoa hapo juu naona apewe timu
Kwahio ata wew ukiongea ukisema magwaya aondoke inabidi upewe timu😂😂
Nimesema tu hivyo kwakuwa jamaa alicheza kwa mafanikio sana hapo ana uchungu na timu anaweza akafanya jamboMaoni kama hayo hutolewa na wachambuzi na legends wengi so angetoa hata Neville ungesema apewe timu?
Ole pia alicheza kwa mafaniko ila kilichotokea kinajulikana,labda timu isiwe chini ya GlazersNimesema tu hivyo kwakuwa jamaa alicheza kwa mafanikio sana hapo ana uchungu na timu anaweza akafanya jambo