hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Tatizo la manjesta sio Graza kuwa hawatoi hela ,japo Graza wanachota Sana ,lakini wakitoacho Ni kikubwa ukilinganisha na bajeti za Liverpool,Arsenal , n.k
Tatizo la manjesta Ni Recruitment mbovu
Top teams zote zinahakikisha kwenye uongozi kunakuwa na watu wa mpira wanaojua Timu inatakiwa icheze vipi ,wasajiliwe wachezaji gani
Mfano Chelsea baada ya kina cech, na wenzie kuondoka ,Tajiri miruzi akaingia mwenyewe mzigoni, kila mchezaji mzuri anasajili akiamini ukiwakusanya wachezaji wazuri Basi unapata matokeo ,kajikuta katumia €600m huku anagombea kushuka daraja .








