Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunahitaji ukatili wa mwalimu katika usafishaji wa wachezaji.

Akifeli hapo mwezi disemba tunamtimua
Ona huyu nae mjinga ndomaana ukaitwa nyumbu unafikiri kuachana na mchezaji ni rahisi kama mkataba haujaisha?? Inabidi kuvunja mkataba na kuvunja team inabidi imlipe mchezaji mamilioni ya pesa sasa watalipa wangapi?

Ficha ujinga sawa?
 
Roy keane anasema ukweli
Screenshot_2023-06-03-21-08-03-360_com.facebook.katana.jpg
 
Hii Ni sawa na kufuga li joka unalipa unga ,mwisho linakumeza mwenyewe

Tunakumbushana msimu mzima Manjesta fans walimshangilia City kwenye Ligi lakini mwisho wa story ni City kumfunga Manjesta kwenye fainali ya FA na kuvunja rekodi ya Sir Alex Ferguson Kwa kuchukua UEFA champions league against Inter Milan


Mark this
 
Back
Top Bottom