Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii Ni sawa na kufuga li joka unalipa unga ,mwisho linakumeza mwenyewe

Tunakumbushana msimu mzima Manjesta fans walimshangilia City kwenye Ligi lakini mwisho wa story ni City kumfunga Manjesta kwenye fainali ya FA na kuvunja rekodi ya Sir Alex Ferguson Kwa kuchukua UEFA champions league against Inter Milan


Mark this
 
Mnawaonea wachezaji bure kufungwa 2:1 wamejitahd , ni timu gan duniani hapa msimu huu inaweza simama dhidi ya mancity ?
Ni mwehu tuu anayeweza wahukumu wachezaji Kwa kipigo cha Leo
Ila nyinyi bwana Arsenal mkaisakizia ila nyinyi mnadai hakuna timu inayoweza au siyo?

Anyway, Brentford juzi tu hapo ilimsimamisha City.

United alienda na ile game plan ya kupaki basi na counter.

Shida hata mpira mkawa hampati. Na back 3 inafanya back line iwe static muda mwingi. Tatizo likawa hilo
 
Jasusi Ten Hag akiachana na operation yake ya kuifilisi MANCHESTER United ni kocha mzuri game plan ya jana ilikuwa nzuri city hawakuwa hatari kivile

(Magoli ya city yalikuwa ni juhudi binafsi na ujanja wa wachezaji)

Bruno aletewe Kane atatisha
 
De Gea hata Europe katu cost sana.

Ningekuwa Mwl ningeanza na kipa,mlinzi wa kati,Kiungo wa uhakika (Rice) na mshambuliaji anayeweza kutupatia goal 15 to 20s.

Kwa hakika msimu huu si mbaya,wachezaji wamejitahidi sana Mwl na Team nzima wametuheshimisha.

Mechi yetu na City imetoa mwanga mzuri wapi pa kurekebisha.

Wapo baadhi ya wachezaji ambao wakiuzwa wanaweza kutunisha hazina yetu na kutuongezea nguvu ya kusajili.

Hongera sana Man Utd.
 
Back
Top Bottom