King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Nipende kusema tumejitahidi sana, lakini bahati haikua kwetu, ijapokua tumeshindwa hii game but am still happy sababu sikutegemea Kama tungepambana na man city kwa kiwango hiki.
Mancity ni kweli wapo kwenye fomu nzuri kuliko sisi, na wamestahili kushinda lakin kwa tabu tofauti na walivyocheza na real Madrid, kwangu mie niseme tu 10 hag ni best manager tuliempata pia kajitahidi sana kutufikisha hapa tulipo ikiwa ni msimu wake wa kwanza.
Tuzidi kuomba sheikh Jasmin apewe hii club na glazzers hii itasaidi kuboresha timu yetu kwa kiasi kikubwa, ili pia kuwe na ushindani wa namba kikosini maana bado Kuna utoto mwingi kwa wachezaji wetu, lakini leo wamejitahidi sana.
Mancity ni kweli wapo kwenye fomu nzuri kuliko sisi, na wamestahili kushinda lakin kwa tabu tofauti na walivyocheza na real Madrid, kwangu mie niseme tu 10 hag ni best manager tuliempata pia kajitahidi sana kutufikisha hapa tulipo ikiwa ni msimu wake wa kwanza.
Tuzidi kuomba sheikh Jasmin apewe hii club na glazzers hii itasaidi kuboresha timu yetu kwa kiasi kikubwa, ili pia kuwe na ushindani wa namba kikosini maana bado Kuna utoto mwingi kwa wachezaji wetu, lakini leo wamejitahidi sana.



m nae anafata njia hiyo hiyo