Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio mbaya hata haya matokeo sikuyategemea nilijua tungepigwa nyingi ila tumecheza poa. Tunahitaji watu angalau watano hapo msimu ujao tunaweza kutoa challenge nzuri.
Ili tuwe tishio msimu ujao inabidi tuondokane na utegemezi wa Rashford, Kipa number moja asiwe De gea, bruno apate mpinzani mwenye uwezo, tupate winga tishio na Energetic kama money, na ikiwezekana aje money mwenyewe, tupate straiker tishio hapa namzungumzia Hary Kane, tupate Beki wa kati mithili ya martinezi. Hapa hata tukutane na timu gani lazima tuwapige na mpira tuwachezee.
 
Kitendo Cha kumpa mkataba Dalot na kumbakisha Wana bisaka , eti wameimarika Ni dalili za kuendelea kupiga marktime

Ndio haya ya Sancho akifunga Goli mechi 1 , tunaandamana tunasema Sancho Ni potential ,Sancho amerudi yule wa Dortmund


Manjesta wanatakiwa kubaki wachezaji wasiozidi watano

Luke Shaw

Lisandro

Garnacho

Rashford

Bruno

Casemiro Kama sub


Wengine wote vunjia mikataba na kuwauza
 
Kitendo Cha kumpa mkataba Dalot na kumbakisha Wana bisaka , eti wameimarika Ni dalili za kuendelea kupiga marktime

Ndio haya ya Sancho akifunga Goli mechi 1 , tunaandamana tunasema Sancho Ni potential ,Sancho amerudi yule wa Dortmund


Manjesta wanatakiwa kubaki wachezaji wasiozidi watano

Luke Shaw

Lisandro

Garnacho

Rashford

Bruno

Casemiro Kama sub


Wengine wote vunjia mikataba na kuwauza
Na huu ndo ukweli, na hawa ndo wa kubaki
 
Back
Top Bottom