Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunahitaji ukatili wa mwalimu katika usafishaji wa wachezaji.

Akifeli hapo mwezi disemba tunamtimua
Ona huyu nae mjinga ndomaana ukaitwa nyumbu unafikiri kuachana na mchezaji ni rahisi kama mkataba haujaisha?? Inabidi kuvunja mkataba na kuvunja team inabidi imlipe mchezaji mamilioni ya pesa sasa watalipa wangapi?

Ficha ujinga sawa?
 
Roy keane anasema ukweli
Screenshot_2023-06-03-21-08-03-360_com.facebook.katana.jpg
 
Back
Top Bottom