Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aliesababisha goli la ushindi game ya mwisho na city pale OT ni nani? Nani alimpiga chenga Ake,Akanji na Rodri(wote akawaacha) na kupenya mpaka golini akatoa assist kwa rashford tena ya tap in tu ambayo ata zuchu anafunga?? Game na barca pale OT je? Garnacho si alipewa pongezi kama zote kwa kukiwasha

Ficha ujinga wako
Dog anafaa second half
 
Kuna nafasi ya kuwapeleka wodin key players wa city

Vunja KDB
Vunja rodri
Wasicheze uefa final
Mwarabu kawahidi wakichukua treble, kila mchezaji anachukua Pound 2m.Na wale jamaa sasa hivi ni wa moto hawafai hata kukutana nao.
 
Kuna nafasi ya kuwapeleka wodin key players wa city

Vunja KDB
Vunja rodri
Wasicheze uefa final
Hata wakikosekana hao bado wanachuku UEFA, City ana watu hata viwango vya vinakaribiana. Wewe jiandae kupasuka tu leo Pep hana masihala round hii.
 
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester City 0 vs Manchester United 2

11:00 jioni
Wembley

Man City mnachocheza nacho hamkijui hakika kitawaramba

Pigaaaaa
Uaaaaaaaa
Malizaaaaaaa
Chinjaaaaaaaa

GGMU

1685733632551.jpg
 
Back
Top Bottom