hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,254
- 26,642
Bila Degea na Rashford hii timu ingekuwa alipo Chelsea
Wachambuz wanasema Degea Ni tatizo ,nikweli lakini kwa mfumo wa possession football ,
Kwa mpira huu wa 7 hag asithubutu kuleta Hawa mnawaita ma sweeper
Ndio maana Wala Hana haraka na kutafuta kipa , wakati ndio ingekuwa target ya kwanza
7 hag anaujua ukweli , niliwahi kulisema hili wakati Kepa anasajiliwa Chelsea , mashabiki wa Chelsea walinitukana Sana
Mchukue yule Kepa na footwork yake nzuri mlete manjesta akumbane na Kashi kashi zile za Degea , manjesta tutaikuta nafasi ya 12-15
Wachambuz wanasema Degea Ni tatizo ,nikweli lakini kwa mfumo wa possession football ,
Kwa mpira huu wa 7 hag asithubutu kuleta Hawa mnawaita ma sweeper
Ndio maana Wala Hana haraka na kutafuta kipa , wakati ndio ingekuwa target ya kwanza
7 hag anaujua ukweli , niliwahi kulisema hili wakati Kepa anasajiliwa Chelsea , mashabiki wa Chelsea walinitukana Sana
Mchukue yule Kepa na footwork yake nzuri mlete manjesta akumbane na Kashi kashi zile za Degea , manjesta tutaikuta nafasi ya 12-15
kuna kina bayern wakuu arsenal..arsenal haya bana 
