Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,873
- 233,407
KwendaaHivi kuna timu inamtaka mchezaji yoyote wa Liverpool?
Hatuuzi kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
KwendaaHivi kuna timu inamtaka mchezaji yoyote wa Liverpool?
Dog anafaa second halfAliesababisha goli la ushindi game ya mwisho na city pale OT ni nani? Nani alimpiga chenga Ake,Akanji na Rodri(wote akawaacha) na kupenya mpaka golini akatoa assist kwa rashford tena ya tap in tu ambayo ata zuchu anafunga?? Game na barca pale OT je? Garnacho si alipewa pongezi kama zote kwa kukiwasha
Ficha ujinga wako
kumbe na ww akili huna😂😂Unayo nafasi ya kuwanyima hawa wapiga kelele wa manchester city/plastic fan
Nakumambia manchester united chukua kombe la FA au vunja KDB na rodri wasicheze fainali ya UEFA
Manchester united
Mwarabu kawahidi wakichukua treble, kila mchezaji anachukua Pound 2m.Na wale jamaa sasa hivi ni wa moto hawafai hata kukutana nao.
Acha muda useme
Hata wakikosekana hao bado wanachuku UEFA, City ana watu hata viwango vya vinakaribiana. Wewe jiandae kupasuka tu leo Pep hana masihala round hii.Kuna nafasi ya kuwapeleka wodin key players wa city
Vunja KDB
Vunja rodri
Wasicheze uefa final
Mwaka huu mancity kila kitu ni chao
Sioni njia wanayotumia kupona leo
Hata wakikosekana hao bado wanachuku UEFA, City ana watu hata viwango vya vinakaribiana. Wewe jiandae kupasuka tu leo Pep hana masihala round hii.
Tushashinda. 😁🔥Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester City 0 vs Manchester United 2
11:00 jioni
Wembley
Man City mnachocheza nacho hamkijui hakika kitawaramba
Pigaaaaa
Uaaaaaaaa
Malizaaaaaaa
Chinjaaaaaaaa
GGMU
View attachment 2644758
Huyu fundi yuko wapi?Tangu injury ya Chelsea hatupata taarifa zake nayeye ndo anawajulia mwacity vilivyoKikosi kina tia faraja kidogo.View attachment 2644784
