Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,727
Sio mbaya hata haya matokeo sikuyategemea nilijua tungepigwa nyingi ila tumecheza poa. Tunahitaji watu angalau watano hapo msimu ujao tunaweza kutoa challenge nzuri.
Hivi mbona wachezaji wote wa Man U wamekonda sana? Yani hawana misuli kabisa. Au ndio huwa wanalishwa ugali na sukari?





Tafuteni kipa mwingine kenge nyie
Sancho akifunga Goli 2 ndani ya mechi 10 mnadanganyana Ni potential
Anthony wa €m nae anafata njia hiyo hiyo
Kijambio kinakuwasha ww maana una shobo sana na hili jukwaaTumekufa kiume![]()
Mkuu kipa ni tatizo. Hajui kutuliza team na ana uzembe wa mara kwa mar.Shida sio kipa, ni kuongeza nguvu kwa midfield na washambuliaji