Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
Magoli ya kiwaki kweli tunafungwa yani dah
Mzee hana kazi akale wapi sasa asipowalamba miguu kina glazzer family unataka akale wapi?Acha ale maisha na maboss wewe
Bado la 3 mtapoteana mbonaMagoli ya kiwaki kweli tunafungwa yani dah
Magoli ya hovyo sana.Magoli ya kiwaki kweli tunafungwa yani dah
Mna taka acheze hadi moyo uchomoke tenaSema Eriksen ni tatizo jingine ambalo hatujalipa umakini kulitazama.
Gernacho yupo sijui kwnn halitoi hili jingaHuyu sancho vipi![]()
He is too nice bora aachwe tu aende kwenye vilabu vidogo vidogo hukoMna taka acheze hadi moyo uchomoke tena
Haisaidii too late labda cha zaidiSafi...Ericksom nje Garnacho ndani
Sasa hizo wings zimebanwa ndiyo angefanya nini sasaHii game ingemfaa sana Antony ila ndo hivyo basi tu. Ila timu yetu ili ikae sawa inabidi tufumue kuanzia goli kipa kama alivyofanya Klop na Pep.