Mwalimu wa Zamu Tz
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 1,094
- 2,822
Mmepigwa chapili hapaMwenye link yakuchekia gemu??? Huku umeme umeenda *****
Pole nashauri bora ulale
Mmepigwa chapili hapaMwenye link yakuchekia gemu??? Huku umeme umeenda *****
As Roma ameliwa kichwa na Sevilla, acha kutisha watu wewee.Watu mnaichukulia Enter poa sana ujue kwa ukubwa Enter ni father kwa City hivyo lazima city aingie kwa tahadhari ikienda kichwa kichwa ataliwa kichwa, timu za Italy sio za kuchukulia poa hasa katika hatua za fainali.
Mzee hana kazi akale wapi sasa asipowalamba miguu kina glazzer family unataka akale wapi?Acha ale maisha na maboss wewe
Bado la 3 mtapoteana mbonaMagoli ya kiwaki kweli tunafungwa yani dah
Magoli ya hovyo sana.Magoli ya kiwaki kweli tunafungwa yani dah
Mna taka acheze hadi moyo uchomoke tenaSema Eriksen ni tatizo jingine ambalo hatujalipa umakini kulitazama.
Gernacho yupo sijui kwnn halitoi hili jingaHuyu sancho vipi![]()
He is too nice bora aachwe tu aende kwenye vilabu vidogo vidogo hukoMna taka acheze hadi moyo uchomoke tena
Haisaidii too late labda cha zaidiSafi...Ericksom nje Garnacho ndani