Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1st goal. Bruno F
1685803265441.gif
1685803340458.gif
 
Sasa unafkr pep ataweka uyo kipa kwani ni mjinga? Enewei Pep bangi anayovuta anaweza kuweka uyo kipa na UCL abebe tena bila sub yoyote
Watu mnaichukulia Enter poa sana ujue kwa ukubwa Enter ni father kwa City hivyo lazima city aingie kwa tahadhari ikienda kichwa kichwa ataliwa kichwa, timu za Italy sio za kuchukulia poa hasa katika hatua za fainali.
 
Kweli tuta sio goli halihesabiki
Mtu mwenye akili timamu hawezi shabikia goli la tuta

Raha ya goli kipa atunguliwe kutoka mbali kama enzi za kina Rooney,Cr7,Nani,Costa,Dembaba, kina Van de Sar,Casilas,peter Crotch walikua wanajua utamu wa goli jitu linapiga shuti unaona kama moto unakuja sio mpira wa sasa mara sio goli mara offside mara VAR pumbav
 
Beck’s celebration of Bruno’s goal

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230603_180518_618.jpg
 
Watu mnaichukulia Enter poa sana ujue kwa ukubwa Enter ni father kwa City hivyo lazima city aingie kwa tahadhari ikienda kichwa kichwa ataliwa kichwa, timu za Italy sio za kuchukulia poa hasa katika hatua za fainali.
Ficha ujinga
Inter kapigwa nje ndani msimu ulioisha na Liva UCL hakuna kitachozuia mwacity kubeba ndoo labda Kwa Inter gani hii ya Lukaku na martinez??pole
 
Watu mnaichukulia Enter poa sana ujue kwa ukubwa Enter ni father kwa City hivyo lazima city aingie kwa tahadhari ikienda kichwa kichwa ataliwa kichwa, timu za Italy sio za kuchukulia poa hasa katika hatua za fainali.
As Roma ameliwa kichwa na Sevilla, acha kutisha watu wewee.
 
Back
Top Bottom