Kipa mi Ortega kwa city kuna pazia hakuna kipa mle TUSHINDWE SISI TU
Sijui huko ulipo una hali gani.Achague kombe moya leo wanapelekwa wodini![]()
Kwani Ferg timu ni ya kwake ?Uyo Feggie nae haka ka zee kana hisa nn yupo na glazer apo yeye haoni kama kuna shida pahala amwambie aachie timu io