Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,741
- 3,316
Team leo haina balance kabisa,antony ana umuhimu sana japo ana changamoto zake
Kwani Ferg timu ni ya kwake ?Uyo Feggie nae haka ka zee kana hisa nn yupo na glazer apo yeye haoni kama kuna shida pahala amwambie aachie timu io
JuaDaaah!
Na nyie bembeeniMANCHESTER United wameanza kubebwa






GGMU FOREVERNgoja tuone mpaka mwishoNa nyie bembeeni
Sasa unafkr pep ataweka uyo kipa kwani ni mjinga? Enewei Pep bangi anayovuta anaweza kuweka uyo kipa na UCL abebe tena bila sub yoyoteHasa Manchester city UEFA champions league wakienda penati hawatoboi kwa huyu kipa wao