Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
MANCHESTER United wanajilinda
Asijaribu japo huyo kipa ana confidence saana akirudishiwa mpiraSasa unafkr pep ataweka uyo kipa kwani ni mjinga? Enewei Pep bangi anayovuta anaweza kuweka uyo kipa na UCL abebe tena bila sub yoyote
This might be the toughest final for Pep than UCL final vs Inter Millan hata aweke team ya benchi yaani benchi kuna Rodri,Alvarez,Akanji,Mahrez kwenye UCL atashinda tuAsijaribu japo huyo kipa ana confidence saana akirudishiwa mpira
Kwani Ferg timu ni ya kwake ?
Bebwa na wwMANCHESTER United wameanza kubebwa
Mzee hana kazi akale wapi sasa asipowalamba miguu kina glazzer family unataka akale wapi?Acha ale maisha na maboss weweKuna sehemu hapo nilieleza kuwa ferg timu ni yake ??
Kweli tuta sio goli halihesabikiKwaiyo bila tuta hatutoboi. Tutapigwa nyingi mno
Sikia hii ng'ombeHuu msako nawashauri nyumbu mtoke uwanjani kimbieni
Watu mnaichukulia Enter poa sana ujue kwa ukubwa Enter ni father kwa City hivyo lazima city aingie kwa tahadhari ikienda kichwa kichwa ataliwa kichwa, timu za Italy sio za kuchukulia poa hasa katika hatua za fainali.Sasa unafkr pep ataweka uyo kipa kwani ni mjinga? Enewei Pep bangi anayovuta anaweza kuweka uyo kipa na UCL abebe tena bila sub yoyote
Mtu mwenye akili timamu hawezi shabikia goli la tutaKweli tuta sio goli halihesabiki
Ficha ujingaWatu mnaichukulia Enter poa sana ujue kwa ukubwa Enter ni father kwa City hivyo lazima city aingie kwa tahadhari ikienda kichwa kichwa ataliwa kichwa, timu za Italy sio za kuchukulia poa hasa katika hatua za fainali.