King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Dah, hii siku sijui itaishaje kwetu sie mashabiki wa Manchester United na yanga.
Hata mimi naogopa kuangalia mechi kati ya USM ALGER VS YANGA FC maana naelewa kitachomkuta Ndugu yangu, ila tutafanyaje sasa ilihali mapenzi ni upofu?Yani hadi naogopa kuiangalia mechi

Glory Glory Man Utd
Hata dk 1 haijaishaKipa mi Ortega kwa city kuna pazia hakuna kipa mle TUSHINDWE SISI TU
Umeshachomekwa endelea kujidanganyaKipa mi Ortega kwa city kuna pazia hakuna kipa mle TUSHINDWE SISI TU
HahahahahahahahaNimependa hiyo Combinationa ya Case, Fred, EricksonView attachment 2644837