D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
August, 2022
Aahh kmmk ten hag ni kijana 🤣🤣🤣Mashabiki wa Arsenal mna muandama sana ten Hag..
Ni kweli hayupo daraja moja na kina Pep, Carlo, Jurgen and co..
Lakini ni kocha mzuri kijana anaeibukia..
Manchester United ni timu kubwa na matatizo yake ni makubwa,, ikiwa ni yeye basi itahitaji muda kupata timu nzuri..hii itaambatana na back up ya wamiliki na uongozi kama watabadilika.. bila hivyo nae atafeli na mduara utaendelea..
Chelsea wamekuwa wakipata makombe kwa njia ya kushtukiza.. fukuza huyu, leta yule, weka hamasa mpya, chukua kombe, mduara unaendelea..
Ten Hag bado ni kocha kijana anajifunza.. tunamtakia mabadiliko ya haraka..
Kosa ni kwamba timu aliyopo ina kisuli suli..wala sio uwezo kuwa mdogo..
Kipanga wa UDSM kapekekwa MASSACHUSETTS
Aahh kmmk ten hag ni kijana
Ujana mwisho miaka mingapi wakuu![]()






muachee mtotoo..Dingi kashasoma upepo..Watu hawaelewi. Ten Hag anajua akijiponza akauza wakina Dalot, De Gea halafu timu ikabaki mikononi mwa Glazers msimu ujao atacheza GK au RB yeye.
100mil 10hag ameenda kutunisha tu mfuko wa ajaxAnakera sn kila shuti analopiga anataka azungushe/apige ndizi.. kuna move za counter nyng anaziua unakuta anapewa mpira tupo kwny counter anatulia kumsubir adui aje ampige chenga
MANU 😂😂MANU anaweza kutema top 4 hivi hivi kimasihara.
Jitu zima lina miaka 53 tunaambiwa ni kijana 🤣🤣🤣muachee mtotoo..