Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mwakani yuropa tena manyumbu
20230314_090741.jpg
 
Aahh kmmk ten hag ni kijana 🤣🤣🤣

Ujana mwisho miaka mingapi wakuu 🙌🏾🙌🏾
Kwenye soka ukiwa mchezaji ukifika 30s unakuwa considered kama mzee.

Ukiwa kocha kwenye early 50s unakuwa considered kama kijana.

Imeshazoeleka hivyo kwenye football ila haina uhusiano na umri. 30s kwa mchezaji ndiyo career yake inaenda uzeeni na 50s kwa kocha ndiyo wengi wanaanza career ya ukocha.

Ila EtH ni mzee ni kazi tu inamfanya aitwe kijana. 😂
 
Ila sometime jamani tujiulize tu hivi kweli mnaona timu yetu ina striker kweli pale Yani Mimi sioni kama tuna striker.

Ukiangalia takwimu za viungo pale England Bruno ndo kiungo aliyetengeneza nafasi nyingi sana za mabao kuliko kiungo yoyote lakini mabao hakuna.

Kiukweli sisi tatizo kubwa sana lipo mbele maana kufungwa hizi goal 1/2 mbona kila timu inafungwa unaona tuna angushwa sana na forward yetu kuliko chochote.
 
Back
Top Bottom