Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila sometime jamani tujiulize tu hivi kweli mnaona timu yetu ina striker kweli pale Yani Mimi sioni kama tuna striker.

Ukiangalia takwimu za viungo pale England Bruno ndo kiungo aliyetengeneza nafasi nyingi sana za mabao kuliko kiungo yoyote lakini mabao hakuna.

Kiukweli sisi tatizo kubwa sana lipo mbele maana kufungwa hizi goal 1/2 mbona kila timu inafungwa unaona tuna angushwa sana na forward yetu kuliko chochote.
Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta.

Hata hivyo hatuna striker tunategemea wide foward kama Rashford na Sancho, wakati mwingine wingers wanakuwa wamekabwa sana timu nyingi hazina wasi wasi wakicheza na sisi hatupati goals kupitia Angle C mara nyingi ni goals za pembeni kwa Rashford na Sancho au Anthony kiasi kulia.

Tuna striker mrefu lakini hatupigi cross kwa sababu ya uchoyo wa wide forwards wetu.

Sasa hivi ndiyo tunacheza on pure off vibes.
 
Sancho & Antony (£155m) ndiyo unampata Amad Diallo (£37m)
20230508_184421.jpg
 
Ila kushabikia mpira rahaa sana, ujakaa sawa mchezaji anafanya tukio linakucha mshangao...unadhani kocha kaona tukio, kabla ya muda unashangaa kocha nae anafanya tukio la kushangaza.

Unabaki kujiuliza au mimi ndo naangalia mpira tofauti? Ushabiki wa mpira Inarahaa yake kama hauna matokeo mfukoni.
 
Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta.

Hata hivyo hatuna striker tunategemea wide foward kama Rashford na Sancho, wakati mwingine wingers wanakuwa wamekabwa sana timu nyingi hazina wasi wasi wakicheza na sisi hatupati goals kupitia Angle C mara nyingi ni goals za pembeni kwa Rashford na Sancho au Anthony kiasi kulia.

Tuna striker mrefu lakini hatupigi cross kwa sababu ya uchoyo wa wide forwards wetu.

Sasa hivi ndiyo tunacheza on pure off vibes.
"Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta"

Hili sikubaliani kabisa na wewe, mechi nyingi tu hua zinapatikana nafasi kibao za kufunga lakini pale mbele anakosekana mtu ambae ni fundi wa kucheka na nyavu.
Hata takwimu za viungo pale England zinaonyesha Bruno ni miongoni mwa viungo waliotengeneza nafasi nyingi za mabao.
 
"Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta"

Hili sikubaliani kabisa na wewe, mechi nyingi tu hua zinapatikana nafasi kibao za kufunga lakini pale mbele anakosekana mtu ambae ni fundi wa nyavu.
Mbona umesema kitu kile kile nilichokisema mkuu ?
 
Back
Top Bottom