Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,878
- 32,800
Per MertesackerMimi sijawahi kuona kapteni wa timu anawekwa benchi kisa kiwango
Per MertesackerMimi sijawahi kuona kapteni wa timu anawekwa benchi kisa kiwango
Kisa kiwango?Per Mertesacker
Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta.Ila sometime jamani tujiulize tu hivi kweli mnaona timu yetu ina striker kweli pale Yani Mimi sioni kama tuna striker.
Ukiangalia takwimu za viungo pale England Bruno ndo kiungo aliyetengeneza nafasi nyingi sana za mabao kuliko kiungo yoyote lakini mabao hakuna.
Kiukweli sisi tatizo kubwa sana lipo mbele maana kufungwa hizi goal 1/2 mbona kila timu inafungwa unaona tuna angushwa sana na forward yetu kuliko chochote.

Mpira una matokeo ya kikatili sanaEverton anajipigia tu Brighton huko.

Manyumbu lazima mshangae nyie hamjiulizi kiporo kinawahije kuchacha kipindi cha baridii!!? Lazima mshangae MANYUMBUUUUSouthampton alitukazia tukiwa home leo wahuni wanamsachi tu.
Mechi tunazo-drop points zinashangaza sana.
"Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta"Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta.
Hata hivyo hatuna striker tunategemea wide foward kama Rashford na Sancho, wakati mwingine wingers wanakuwa wamekabwa sana timu nyingi hazina wasi wasi wakicheza na sisi hatupati goals kupitia Angle C mara nyingi ni goals za pembeni kwa Rashford na Sancho au Anthony kiasi kulia.
Tuna striker mrefu lakini hatupigi cross kwa sababu ya uchoyo wa wide forwards wetu.
Sasa hivi ndiyo tunacheza on pure off vibes.
Mbona umesema kitu kile kile nilichokisema mkuu ?"Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta"
Hili sikubaliani kabisa na wewe, mechi nyingi tu hua zinapatikana nafasi kibao za kufunga lakini pale mbele anakosekana mtu ambae ni fundi wa nyavu.