Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
De gea anafungisha sawa lakini mbona strikers hawafungi?
Bila maamuzi magumu kwa de gea ataendelea kuchomesha kila siku
Bila maamuzi magumu kwa de gea ataendelea kuchomesha kila siku
Fagio lipite moja baada ya mwingineDe gea anafungisha sawa lakini mbona strikers hawafungi?
DDG ni most paid player pale OT na anaongeza mkataba wa miaka 4 mbeleFagio lipite moja baada ya mwingine
Rashidi huyuhuyu anaefunga 25+ kila msimu??Rashford na Martial hamna tofauti ni bahati tu msimu huu kafunga funga
Muende champions league ya Nan?? Nyie EuropaTumebeba kombe mbele yao. Arsenyani wanatusaidia kwenda Champions League msimu ujao.
Binafsi sijawahi kutukana zaidi ni banters tu za kawaida kwenye mpira.Ndo msiwe mnakuja na matusi kwenye majukwaa ya wengine
Huyu mpuuzi msiwe mnamqoute hizo comments zake za matusi, sisi wengine zamani tulishampiga pini, hivyo mnapo mqoute mnatulazimisha na sisi tusome matusi yake.Ngoja nikuifadhi kabatini ili nisije kuona upuuzi kama huu tena.
Kwenye ushabiki kuna utani, tambo kebehi na dhihaka, hata ukiamua kutukana basi utumie walau tafsida ili kupunguza ukali wa maneno, ila matusi ya namna hii inaonesha hapo hakuna ushabiki bali ni uadui na chuki iliyopitiliza.Ndo msiwe mnakuja na matusi kwenye majukwaa ya wengine
Hana tofauti na Ally SalimDAVID DE GEA. SMH!

SawaCasemiro + eriksen + bruno.
Man utd hawajawahi kupoteza mchezo wowote pindi wachezaji hao watatu wanapoanza pamoja.
Je west ham ataivunja rekodi hii?