Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425
Tuko hapo tulipo kutokana na ubovu tu wa Liverpool na Chelsea msimu huu, laiti kama hizi timu mbili zingekua ziko njema kwa mpira huu tunaocheza sasa hivi tungekua tunapambania kupata nafasi ya kushiri Conference league.Timu na ya ole haina tofauti wallahi ushabiki tu mengine hovyooo. Hata kuwepo tulipo ni bahati tu hatustahili league inavyoenda mwisho ndo timu inazidi kuwa mbovu.
Tujipe Moyo tu..safari ya kufika tulipowahi kuwa ni ngumu,, kama una mtoto yupo chekechea ni hadi afike advance..so sad