Kiatu cha udongo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 443
- 1,157
Kmmmk
Muende champions league ya Nan?? Nyie EuropaTumebeba kombe mbele yao. Arsenyani wanatusaidia kwenda Champions League msimu ujao.
Binafsi sijawahi kutukana zaidi ni banters tu za kawaida kwenye mpira.Ndo msiwe mnakuja na matusi kwenye majukwaa ya wengine
Huyu mpuuzi msiwe mnamqoute hizo comments zake za matusi, sisi wengine zamani tulishampiga pini, hivyo mnapo mqoute mnatulazimisha na sisi tusome matusi yake.Ngoja nikuifadhi kabatini ili nisije kuona upuuzi kama huu tena.
Kwenye ushabiki kuna utani, tambo kebehi na dhihaka, hata ukiamua kutukana basi utumie walau tafsida ili kupunguza ukali wa maneno, ila matusi ya namna hii inaonesha hapo hakuna ushabiki bali ni uadui na chuki iliyopitiliza.Ndo msiwe mnakuja na matusi kwenye majukwaa ya wengine
Hana tofauti na Ally SalimDAVID DE GEA. SMH!

SawaCasemiro + eriksen + bruno.
Man utd hawajawahi kupoteza mchezo wowote pindi wachezaji hao watatu wanapoanza pamoja.
Je west ham ataivunja rekodi hii?
Tuko hapo tulipo kutokana na ubovu tu wa Liverpool na Chelsea msimu huu, laiti kama hizi timu mbili zingekua ziko njema kwa mpira huu tunaocheza sasa hivi tungekua tunapambania kupata nafasi ya kushiri Conference league.Timu na ya ole haina tofauti wallahi ushabiki tu mengine hovyooo. Hata kuwepo tulipo ni bahati tu hatustahili league inavyoenda mwisho ndo timu inazidi kuwa mbovu.
Pwagu na pwaguziUnacheza na Westham timu yenye mentality ya kuzuia ,lakini wote mnaonekana mpo sawa
Huyu kocha Ni kiazi sana
Ndo umejua Leo??