Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rekodi inaendelea :
Ukimuondoa Fulham aliye nafasi ya 10, hatujapata ushindi uwanja wa ugenini dhidi ya timu nyenginezo ziliopo top 10 ya msimamo wa ligi kuu.

Tumepata suluhu dhidi ya tottenham, timu nane zilizobakia zimetufunga.

Tittle kontenda hawezi kuwa na tabia za kimalaya malaya
 
Mtalaumiana Sana Ila hao madogo wa Albion huwa wanakiwasha Sana , huyo mjapan mitoma ni hatar tupu , huwa wanawafanya beki na midfielder wa timu pinzani wawe busy kuwakaba , sema tatizo Lao hao madogo huwa wanakosa umakini golini na kujikuta wanabutua butua , Ila wangetulia mlikuwa mnakula nyingi nyingi tuu za kutosha
 
Back
Top Bottom