Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
Phil Jones anatakiwa na Toto African ya mwanzaMimi sijawahi kusikia timu inamtaka phil jones![]()
Phil Jones anatakiwa na Toto African ya mwanzaMimi sijawahi kusikia timu inamtaka phil jones![]()
We jamaa waache wenzio. Mbona una visa sana?Mmeikalia 😂😂
Figisu tupu ili kuwanyima Qatar umiliki wa timuOn Friday, people close to Sheikh Jassim said his offer had crossed the £5billion mark, but people close to the process Raine managed say that is not the case and Ineos' offer is higher.
United anahitaji points 9 tu. Pambanieni Yuropa.Nafasi ya nne ni ya Liverpool
Nyie mtacheza tena Yuropa
Huwezi mfunga Westham Jpili
Mm namfunga Brentford
Liverpool oyee
100% msimu utaisha tukiwa top 4. Kufungwa jana ndiyo sehemu ya mchezo ukizingatia tulikuwa away dhidi ya timu ngumu. Bahati pia haikuwa upande wetu tu ila top 4 ni lazima.Tunaweza kupoteza top 4 kwa huu ujinga.
Liverpool ana points 59 na amebakiza mechi 4, kama atashinda zote atamaliza ligi na points 71.Manyumbu lazima muachie nafasi ya liver nyie niwa Europe tu![]()
United anahitaji points 9 tu. Pambanieni Yuropa.
Sure ila timu hii bado haijaondoa laisez fair attitude kutoka kwa OleRekodi inaendelea :
Ukimuondoa Fulham aliye nafasi ya 10, hatujapata ushindi uwanja wa ugenini dhidi ya timu nyenginezo ziliopo top 10 ya msimamo wa ligi kuu.
Tumepata suluhu dhidi ya tottenham, timu nane zilizobakia zimetufunga.
Tittle kontenda hawezi kuwa na tabia za kimalaya malaya
Anthony pamoja na mapungufu yake ila hua analeta balance kubwa sana kwenye timu, kila anapotolewa hua unaona kabisa jinsi jahazi linavyolalia upande mmoja, sijui kwa nini 7Hag anashindwa kuliona hili?Huyu kocha tusubiri tuone msimu unaokuja, lakn anajichanganya sana kwenye sub. Muda utaonyesha ikiwa kweli n kocha
Mashabiki wa man u huwa wananifurahisha Sana Fred aliperfome Sana hapo katikati game ya city na zingineDaaaahhhh forward kule mbele zinatuangusha sana.
7Hag na leo tena kipindi cha pili ukimtoa AWB, Anthony na Casemiro ramsi nakuingiza kwenye orodha ya majasusi wa Uholanzi.
Martial na Fred ni takataka zisizostahili kuwepo kwenye kikosi cha Utd msimu ujao.

akasifiwa sana kwamba hamna mbrazil mbovu Ona leo



Leo mna jiuliza kama. Ten hag ni kochaHuyu kocha tusubiri tuone msimu unaokuja, lakn anajichanganya sana kwenye sub. Muda utaonyesha ikiwa kweli n kocha





Mitoma kweli ni shida sana kwenye Epl ila AWB ameonyesha anammudu vya kutosha na kumuweka mfukoni.Mtalaumiana Sana Ila hao madogo wa Albion huwa wanakiwasha Sana , huyo mjapan mitoma ni hatar tupu , huwa wanawafanya beki na midfielder wa timu pinzani wawe busy kuwakaba , sema tatizo Lao hao madogo huwa wanakosa umakini golini na kujikuta wanabutua butua , Ila wangetulia mlikuwa mnakula nyingi nyingi tuu za kutosha
Huyu Mzee mnampeleka wap aisee? Kane ni selfish , pale Tottenham wanambeba Sana , pale United atakutana na selfish wengine akina rashford , martial , Antony , Sancho etc , Nani wa kuwa anampa pasi yeye Tu afunge sioni akitoboaEtH asifanye makosa.
View attachment 2610479
Mki bottle hii top 4 aisee mtakua wajinga Sana watu hawatoicheka liva ila nyie ombeni msi bottleLiverpool ana points 59 na amebakiza mechi 4, kama atashinda zote atamaliza ligi na points 71.
Man Utd ana points 63 na amebakiza mechi 5, katika hizo mechi 5 kama atashinda mechi 3 atamaliza ligi na jumla ya points 72.
Je Liverpool ataweza kushinda mechi zote 4 zilizosalia na Man Utd atashindwa kupata points 9 katika mechi 5 zilizosalia?
Kwenye Soka lolote linawezekana, tusubiri ligi iishe tuanze kuchekana.