Martial alitakiwa Kutoka mapema na Antony angebaki


10Hag mpaka leo hii bado hajaona umuhimu wa Antony kucheza dakika zote 90.Tulia dawa iingie.Penati gani hizi wanata watu waruke kama wamasai![]()
Tulia hapo hapo mkuu 😂😂 uendelee kuifurahia showPenati gani hizi wanata watu waruke kama wamasai 🤨
Pia nimejiuliza hili swali kwanini anaingia weghost sijapata jibu.Unapomuingiza werghost kwenye mechi unakuwa na dhamira gani?
Wataalamu nisaidieni
Huyu kocha tusubiri tuone msimu unaokuja, lakn anajichanganya sana kwenye sub. Muda utaonyesha ikiwa kweli n kocha10Hag mpaka leo hii bado hajaona umuhimu wa Antony kucheza dakika zote 90.
Tuendelee subra ila game ya leo Foward zetu ndio zimetuangusha saaana.
Hana mwingine wa kuingiza, hapo angetoa Fred na Martial akaingiza Sabitzer na Sancho akaishia hapo.Unapomuingiza werghost kwenye mechi unakuwa na dhamira gani?
Wataalamu nisaidieni
Phil Jones anatakiwa na Toto African ya mwanzaMimi sijawahi kusikia timu inamtaka phil jones![]()
We jamaa waache wenzio. Mbona una visa sana?Mmeikalia 😂😂
Figisu tupu ili kuwanyima Qatar umiliki wa timuOn Friday, people close to Sheikh Jassim said his offer had crossed the £5billion mark, but people close to the process Raine managed say that is not the case and Ineos' offer is higher.
United anahitaji points 9 tu. Pambanieni Yuropa.Nafasi ya nne ni ya Liverpool
Nyie mtacheza tena Yuropa
Huwezi mfunga Westham Jpili
Mm namfunga Brentford
Liverpool oyee