Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,559
- 6,562
Martial alitakiwa Kutoka mapema na Antony angebakiTuna tatizo la mshambulia makini anayeyumia nafasi chache.
Rashfod anajitaji nafasi 5 atafunga moja.
Martial anahitaji nafasi 10 atafunga 1/2.
Huwezi kumlaumu Mwl kwa ajili ya wengine kwenye mzigo.
Martial alitakiwa Kutoka mapema na Antony angebaki


10Hag mpaka leo hii bado hajaona umuhimu wa Antony kucheza dakika zote 90.Tulia dawa iingie.Penati gani hizi wanata watu waruke kama wamasai![]()
Tulia hapo hapo mkuu 😂😂 uendelee kuifurahia showPenati gani hizi wanata watu waruke kama wamasai 🤨
Pia nimejiuliza hili swali kwanini anaingia weghost sijapata jibu.Unapomuingiza werghost kwenye mechi unakuwa na dhamira gani?
Wataalamu nisaidieni
Huyu kocha tusubiri tuone msimu unaokuja, lakn anajichanganya sana kwenye sub. Muda utaonyesha ikiwa kweli n kocha10Hag mpaka leo hii bado hajaona umuhimu wa Antony kucheza dakika zote 90.
Tuendelee subra ila game ya leo Foward zetu ndio zimetuangusha saaana.
Hana mwingine wa kuingiza, hapo angetoa Fred na Martial akaingiza Sabitzer na Sancho akaishia hapo.Unapomuingiza werghost kwenye mechi unakuwa na dhamira gani?
Wataalamu nisaidieni