Kocha hajui kufanya subTunaweza kupoteza top 4 kwa huu ujinga.
Ulidhani maumivu yatapona baada ya kuhama Arsenal???Tunaweza kupoteza top 4 kwa huu ujinga.
Tuna tatizo la mshambulia makini anayeyumia nafasi chache.Kocha hajui kufanya sub
Martial alitakiwa Kutoka mapema na Antony angebakiTuna tatizo la mshambulia makini anayeyumia nafasi chache.
Rashfod anajitaji nafasi 5 atafunga moja.
Martial anahitaji nafasi 10 atafunga 1/2.
Huwezi kumlaumu Mwl kwa ajili ya wengine kwenye mzigo.