Hakuna mchezaji hapoHivi martial anafanya nini?
leo anapambana sana ila ndo hivyo.Mimi sijawahi kusikia timu inamtaka phil jones 😆Hivi mbona huyu Martial sijawahi hata sikia tetesi kuwa Kuna timu inamtaka?
Phil Jones hata mazoezi huwa anafanya?Mimi sijawahi kusikia timu inamtaka phil jones 😆
Siku zote majeruhi sijui anayapatiaga kitandaniPhil Jones hata mazoezi huwa anafanya?