D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Ana maamuzi ya kijinga sn haswa upande wa sare kuna mechi km tatu sub zake zimefanya tumetoka sare.. angalia gem kama na sevilla ila tupo home rejea pia gem ya spursMuache kumlaumu kocha, katutoa mbali....na anafanya kazi kubwa tuwe bora zaidi....mm naamini akisajili tena atakuwa na sub nzur, na atafany vizuri....na aliahidi msimu wa tatu mmudai ubingwa either EPL au UEFA....TRUST THE PROCESS.
Operation ni kuifilisi MANCHESTERAna maamuzi ya kijinga sn haswa upande wa sare kuna mechi km tatu sub zake zimefanya tumetoka sare.. angalia gem kama na sevilla ila tupo home rejea pia gem ya spurs
Jasusi la kijerumani klop limeihujumu liva likamuuza mane likamuacha chambalainNatangaza rasmi mm ni shabiki wa LIVERPOOL
Lautaro MartinezStriker gani unaona atafaa kwa bei pungufu ya hiyo?
Unamaanisha postpaid? Ni huduma ya vifurushi kwa mkataba wa miaka 2, kila mwezi wanakuingizia bando husika mlilokubaliana hata kama huna hela, ukipata hela unalipa.
Ox ni mtaalumu wa pasi za mwishoJasusi la kijerumani klop limeihujumu liva likamuuza mane likamuacha chambalain
Amissi tambweLautaro Martinez
Benjamin Sesko.
Gonncalo Ramos.
Wewe ni Nyoka mwenye makengeza?Amissi tambwe
Didier kavumbagu
Gaudance mwaikimba
Saidi bahanuzi
Naunga mkojo ogaNdugu yangu Ostaz hamis77 jukwaa letu limepoa sana tunakuomba uje utuchambulie jinsi Nyumbu tutakavyofungwa na Brighton halafu Arsenyani atakavyompiga Chelsea, Newcastle, Brighton, Forest na Wolves kisha kutawazwa kua ni bingwa wa Premier League. View attachment 2606567
Chelsea nyinyi ni ndugu zetu kabisa, tunawaomba kesho msituangushe kupeleka matanga rasmi pale Emirates.Ushindi wa Jana mmeokota pochi ya mzungu.