Usisahau Ronaldo alikuja akiwa na miaka mingapi.
Wakati wa Jose alishapendekeza tumuuze Martial wenye Team wakamgomea.
Sijakataa Kane ni mzuri lakini fedha yake ingetumika vyema tungeweza kupata washambuliaji wawili.
Tatizo letu ukilitaza utagundua team ina passengers wengi sana.leo wakiumia Rashford,Bruno au Casemiro tunapoteza mwelekeo kabisa.Dirisha dogo tumchukua kwa mkopo ngongoti hana uwezo wa kukaa na mpira,hana uwezo wa kutoa pasi za uhakika,hana uwezo wa kufunga,hana uwezo wa kuokoa jahazi team inapokuwa katika wakati mgumu.Ukweli ni very average player hasiyestahili kuvaa uzi wa Man.
Kwanini Ngongoti alisajiliwa badala world class striker,jibu ni rahisi sana fedha nyingi zilitumika kunsajili Anthony.
Wasiwasi wangu tunaweza kutumia fedha nyingi kumsajili Kane tukaacha maeneo mengine mengi yanayohitaji usajili wa maana ikiwemo mlinzi wa kati,kulia na eneo la kiungo.