Kiatu cha udongo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 443
- 1,157
Faza anajilia vyake
Operation ni kuifilisi MANCHESTERAna maamuzi ya kijinga sn haswa upande wa sare kuna mechi km tatu sub zake zimefanya tumetoka sare.. angalia gem kama na sevilla ila tupo home rejea pia gem ya spurs
Jasusi la kijerumani klop limeihujumu liva likamuuza mane likamuacha chambalainNatangaza rasmi mm ni shabiki wa LIVERPOOL
Lautaro MartinezStriker gani unaona atafaa kwa bei pungufu ya hiyo?
Unamaanisha postpaid? Ni huduma ya vifurushi kwa mkataba wa miaka 2, kila mwezi wanakuingizia bando husika mlilokubaliana hata kama huna hela, ukipata hela unalipa.
Ox ni mtaalumu wa pasi za mwishoJasusi la kijerumani klop limeihujumu liva likamuuza mane likamuacha chambalain
Amissi tambweLautaro Martinez
Benjamin Sesko.
Gonncalo Ramos.
Wewe ni Nyoka mwenye makengeza?Amissi tambwe
Didier kavumbagu
Gaudance mwaikimba
Saidi bahanuzi
Naunga mkojo ogaNdugu yangu Ostaz hamis77 jukwaa letu limepoa sana tunakuomba uje utuchambulie jinsi Nyumbu tutakavyofungwa na Brighton halafu Arsenyani atakavyompiga Chelsea, Newcastle, Brighton, Forest na Wolves kisha kutawazwa kua ni bingwa wa Premier League. View attachment 2606567
Chelsea nyinyi ni ndugu zetu kabisa, tunawaomba kesho msituangushe kupeleka matanga rasmi pale Emirates.Ushindi wa Jana mmeokota pochi ya mzungu.
He can go his asshole and deep his arm there and wait for a custodyBREAKING: Mason Greenwood thinks he is DONE at United and will never put the shirt on again.
[The Sun Football]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2603367
Chief THE BLUES kwa sasa tunatembea peku kwenye mbigiri. Hizo sifa unazotupa tunashukuru ila kesho tukiwangusha msitukane.


Hizi kima za Arteta sasa hivi ziko very dispirited, mimi nina imani mtazifunga, na hata ikishindikana kuzifunga ila mnauwezo wa kutoa kudraw.