Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Thread yetu imevamiwa wapumbavu wengi sana. Tunakosa kabisa raha ya kuja kutoa opinions zetu humu.

Sijui wametoka wapi hawa watoto

Tena cha kushangaza timu zao ukiwatoa City wengine wote tia maji tia maji
 
Me baada ya mbe kuludi
1681927805854.jpg
 
Ni vyema JASUSI la Dutch government hapo MANCHESTER United Eric ten hag akaanza kumtumia captain Maguire Kama straika
 
Eric ten hag ana tabia kama za wahaya ona sasa MANCHESTER imejaa wadachi au watu waliopita udachini

Mpaka wapishi na wafanya usafi ni wadachi
 
Back
Top Bottom