Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Next season tutakuwa na:

LW: Rashford, Sancho, Garnacho, Elanga.
RW: Antony, Greenwood, Amad, Pellistri.

Hawa mawinga wanatosha kabisa kwa msimu ujao maana kuna maeneo muhimu kuboresha ukiacha wingers.

Tusubiri transfer window tutajua zaidi, pia itategemea na wachezaji watakaoondoka. Ila mpaka sasa vipaumbele ni ST, CM, CB, GK & RB.
Hapo nimekupata, ila Elanga muondoe kwenye list

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kikosi Cha Manchester United kilichofanya mazoezi leo asubuhi kuelekea mchezo wa Europa League dhidi Sevilla siku ya Alhamisi.

De Gea, Butland - Maguire, Lindelof, Wan-Bissaka, Dalot, Shaw, Malacia, Williams, Casemiro, Eriksen, Sabitzer, Fred, Iqbal - Antony, Pellistri, Elanga,Rashford, Sancho, Martial, Weghorst.
 
Thread yetu imevamiwa wapumbavu wengi sana. Tunakosa kabisa raha ya kuja kutoa opinions zetu humu.

Sijui wametoka wapi hawa watoto

Tena cha kushangaza timu zao ukiwatoa City wengine wote tia maji tia maji
 
Me baada ya mbe kuludi
1681927805854.jpg
 
Ni vyema JASUSI la Dutch government hapo MANCHESTER United Eric ten hag akaanza kumtumia captain Maguire Kama straika
 
Eric ten hag ana tabia kama za wahaya ona sasa MANCHESTER imejaa wadachi au watu waliopita udachini

Mpaka wapishi na wafanya usafi ni wadachi
 
Back
Top Bottom