Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,545
- 2,477
Hapo nimekupata, ila Elanga muondoe kwenye listNext season tutakuwa na:
LW: Rashford, Sancho, Garnacho, Elanga.
RW: Antony, Greenwood, Amad, Pellistri.
Hawa mawinga wanatosha kabisa kwa msimu ujao maana kuna maeneo muhimu kuboresha ukiacha wingers.
Tusubiri transfer window tutajua zaidi, pia itategemea na wachezaji watakaoondoka. Ila mpaka sasa vipaumbele ni ST, CM, CB, GK & RB.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app



