ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,528
- 7,923
Uko sahihiMatch ya Brighton naombea sana acheze Wan Bissaka, yule Mitoma atamsumbua sana Dalot
Mkuu game na brighton itakuwa tough sana, Mitoma, Mach, Caicedo, McAllister.. na wapo kwaoHivi Mitoma hatuwezi mchukua next season?
Jamaa anakimbiza mbaya.
2 strikers itakuwa ngumu. Martial na Rashford ndiyo watatumika kama backup striker.Strikers -2
Midfielders-2
CB-1
RB-1
RW-1
Tukiongeza hizi nafasi, msimu ujao ni Quadruple.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mshono upi ?
Greenwood anaweza kucheza kama RW? Naona LW kule Kuna sancho, RW Kuna Antony. Hivyo greenwood akirudi nadhani atacheza kulekule alikokua anacheza mwanzo. (LW)2 strikers itakuwa ngumu. Martial na Rashford ndiyo watatumika kama backup striker.
2 midfielders inawezekana maana ni eneo linahitaji maboresho.
CB na RB ni lazima watasajiliwa.
RW haiwezekani, tumeshatumia €100m kwa Antony, yupo Sancho, Amad anarudi, upo uwezekano wa Greenwood kurudi pia.
Eneo muhimu ambalo hujalitaja ni Goalkeeper.
Sijaona backup ya Antony. Akisajiliwa RW mwingine kutakua na ushindani wa namba, hivyo Antony atakaza Ili awe anaanza.2 strikers itakuwa ngumu. Martial na Rashford ndiyo watatumika kama backup striker.
2 midfielders inawezekana maana ni eneo linahitaji maboresho.
CB na RB ni lazima watasajiliwa.
RW haiwezekani, tumeshatumia €100m kwa Antony, yupo Sancho, Amad anarudi, upo uwezekano wa Greenwood kurudi pia.
Eneo muhimu ambalo hujalitaja ni Goalkeeper.
Greenwood ni RW/CF.Greenwood anaweza kucheza kama RW? Naona LW kule Kuna sancho, RW Kuna Antony. Hivyo greenwood akirudi nadhani atacheza kulekule alikokua anacheza mwanzo. (LW)
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Next season tutakuwa na:Sijaona backup ya Antony. Akisajiliwa RW mwingine kutakua na ushindani wa namba, hivyo Antony atakaza Ili awe anaanza.
Refer Kwa Issue ya AWB na Dalot
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Lengo la Mkuu wa Intelligence katika Dutch government limefanikiwa kwa kuweza kupenyeza jasusi pale uingereza.Eric ten hag anaihujumu MANCHESTER United
Hapo nimekupata, ila Elanga muondoe kwenye listNext season tutakuwa na:
LW: Rashford, Sancho, Garnacho, Elanga.
RW: Antony, Greenwood, Amad, Pellistri.
Hawa mawinga wanatosha kabisa kwa msimu ujao maana kuna maeneo muhimu kuboresha ukiacha wingers.
Tusubiri transfer window tutajua zaidi, pia itategemea na wachezaji watakaoondoka. Ila mpaka sasa vipaumbele ni ST, CM, CB, GK & RB.
Yule Elanga mara mia wangenisajili mimiHapo nimekupata, ila Elanga muondoe kwenye list
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app