christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,199
- 5,132
Ni kweli ila kocha mimi simlaumu kiufundi alipokuja hakuwa hivyo ila kwa sasa kutokana na majeruhi yanayoiandama timu yetu mara kwa mara nahisi kocha naye ni kama kavurugwa anahofia kupata majeruhi hivyo wakati mwingine analazimika kujilipua. Fikiria timu inapigania pig 4 bado kombe la FA na EUROPE kwa average player tulionao kisha ukapata majeruhi ua wachezaji muhimu kama Rashford ni lazima kocha uchanganyikiwe coz unaweza poteza vyote kumbuka ligi bado ngumu. Arsenal mwenyewe na ubora wake anapambania ligi tu na anaweza asipate hilo kombe.Bruno na Antony ni muhimili mkubwa sana wa timu kwa sasa.
Sijui kulikua na umuhimu gani wa kufanya sub za hawa watu kwa pamoja?
Sub ya muhimu ilikua ni ya Sancho tu, hata huyo Martial leo hakustahiki kutoka.
Draw ya leo lawama zote tunambebesha kocha maana sio mara ya kwanza wala ya pili kufanya sub zinazotucost.
Hawa Sevila leo tuliwazidi kila kitu naamini hata kwao tutawafunga tu coz sikuona walichotuzidi kiufundi, ETH hajapoteza mechi yeyote Espian msimu huu naamini na hii hawezi ipoteza.
Tushukuru kwa kila jambo.


