Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
Safi saana captain Maguire kisiki ukuta wa Berlin umelikomesha hilo jasusi la Dutch government hapo MANCHESTER United
Usimuwekee dhamana mmasai atakuachia shuka usimuone mpaka kiamaNawaonea huruma Sevilla, kwa hiki kikosi cha leo.
Taito contender hatutaki shida tumetulia@allypipi mechi keshaiona mapema tukae kwa kutulia tu.
Ni mdachiMalacia ametugharimu
Sevilla kama wachawi, washatutesa kwenye Champions League (sitamsahau Ben Yedder) wakatutoa tena kwenye Europa.Usimuwekee dhamana mmasai atakuachia shuka usimuone mpaka kiama