Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
Huyu beki 3 ya man sio yakuiamini asilimia zote. Bado ni mdogo
Malacia kawapa la 3 au hamtaki tenaTunahitaji la 3 tuwe huru jamani
Come on United!!
Nilisema mechi bado mbichiKila kitu kulalamikia striker wakati wangese wanashindwa kufanya vitu basic tu.
Antony toa pasi kmke, ana-force mambo wakati Bruno alikuwa na nafasi. Malacia anatetemeka miguu tu.
Bruno 2nd leg hayupo, Martinez kaumia, Rashford kaumia. Daaah!
Ten Hag sio kocha ni dalali wa Ajax hapo MANCHESTER UnitedTakwimu zinaonyesha kila anapotoka Antony hua lazima tufungwe walau goli moja.
Ujinga mtupu..
Tatizo siyo udogo, shida ni ujinga wa kujiamini kupita kiasi.Huyu beki 3 ya man sio yakuiamini asilimia zote. Bado ni mdogo