Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anyway, still trend continues kwamba united shots za chini zina nafasi ndogo kumpa damage kutokana na swarming but crosses na long balls are key.

Huyu Weghorst 🤣🤣🤣 kapigwa na mpira na kipa kaanguka kuna chura mmoja humu akasema huyu mikimbio yake ndiyo inasaidia kufunga hata yeye asipofunga. And I was like b!tch you do a better job posting results screenshots than trying to understand football. Get outta my face.

Shida ya mashabiki wa united wengi hawaoni zaidi ya matokeo.
 
Timu yetu ya utd bado ina average players wengi sana leo tumefunga magoli yote manne. Ila bado nasema ya kuwa pamoja na kwamba Antony watu wanamdharau ila timu yetu inapata tabu sana pale anapotoka.
Bruno na Antony ni muhimili mkubwa sana wa timu kwa sasa.
Sijui kulikua na umuhimu gani wa kufanya sub za hawa watu kwa pamoja?
Sub ya muhimu ilikua ni ya Sancho tu, hata huyo Martial leo hakustahiki kutoka.
Draw ya leo lawama zote tunambebesha kocha maana sio mara ya kwanza wala ya pili kufanya sub zinazotucost.
 
Bruno na Antony ni muhimili mkubwa sana wa timu kwa sasa.
Sijui kulikua na umuhimu gani wa kufanya sub za hawa watu kwa pamoja?
Sub ya muhimu ilikua ni ya Sancho tu, hata huyo Martial leo hakustahiki kutoka.
Draw ya leo lawama zote tunambebesha kocha maana sio mara ya kwanza wala ya pili kufanya sub zinazotucost.
Mi nimeliongelea hilo ..sub zilikuwa mapema sana na kwa watu muhimu mno...
Tunahitaji kuwalinda wachezaji ni sawa ila kwa hii timu yetu tia maji ndo tatizo.
Magoli 2 yalifungwa mapema sana ila wachezaji wakarelax na kocha akajiamini akafanya sub.
 
Le captain Maguire ndio Man of the Match, pamoja na kusugua bench kwa muda mrefu ila bado ana uwezo wa hali ya juu wa kufumania nyavu
Le Captain wetu atake asitake apewe mkataba wa maisha hapo Old Trafford na akistaafu kucheza soka apewe timu awe kocha.
10 Hag kama kweli ni muungwana leo anapaswa kusimama nje ya geti la OT na kuruhusu kila shabiki anaetoka uwanjani amtie kwezi kwenye hio solar panel yake.
 
Back
Top Bottom