christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,199
- 5,132
Timu yetu ya utd bado ina average players wengi sana leo tumefunga magoli yote manne. Ila bado nasema ya kuwa pamoja na kwamba Antony watu wanamdharau ila timu yetu inapata tabu sana pale anapotoka.


️: Sabitzer
: B.Fernandez.
Time
Stadium