Manchester United in the Premier League in 2021/22:
38 games
16 wins
10 draws
12 losses
29 games
17 wins
5 draws
7 losses 





















Katafute uefa mkuu ndipo uje upige kelele otherwise wewe ni timu ndogo.... huna jipya zaid ya kuiongelea manU...With Rashford out for the rest of the season
How position manjesta will finish?
For me 6th position
Huyu kichaa hata hatujaenjoy ban yake ipasavyoOFFICIAL:
Casemiro has now served his 4-match suspension and is available for selection again.
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2581062
Nasikitika kusema kuna watu huwa wanachuki na Antony au huwa wanaumizwa na hela alizonunuliwa Antony huu ni ufukara wa fikra timu nzima ya utd haijatulia leo unamlaumu Antony, hivi uwezo wa Antony kwenye boli ni wakuutilia mashaka kweli? Sasa subiri timu ije itulie ndio mtamfahamu vizuri huyu jamaa.Rash hajakosa??
Sabitzer kakosa ngap??
AWB kakosa ngap??
Angalia kipa kafanya saves ngap?? Kipa wa Everton mzima sana acheni lawama kwa antony bana Rash kakosa goli 3 1vs1 yeye na kipa
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Wewe hujui mpira vizuri mtu aje Dirisha dogo afu humtwike mzigo wa lawama.Siku zote anakuwaga wapi had Sasa ana Goli 3 EPL , assist 0
Kwa mchezaji wa €100m unaanzaje kumtetea ,
Huyo Rashidi akikosa bado huwez kumlaumu maana mechi nyingine amewabeba had Sasa mpo hapo,lasivyo mngekuwa na Chelsea mnagombea nafasi ya 10 na 11
Hawa ndio waliokua wanamnanga na kumtukana Grealish kila siku, ila sasa hivi baada ya kuzoea mazingira na kuanza kukiwasha Epl wenyewe wameshaanza kumsifu.Nasikitika kusema kuna watu huwa wanachuki na Antony au huwa wanaumizwa na hela alizonunuliwa Antony huu ni ufukara wa fikra timu nzima ya utd haijatulia leo unamlaumu Antony, hivi uwezo wa Antony kwenye boli ni wakuutilia mashaka kweli? Sasa subiri timu ije itulie ndio mtamfahamu vizuri huyu jamaa.
Ni kweli mkuu hata ile mechi ya arsenal tulipoteza baada ya yeye kutolewa ila mashabiki maandazi hawajui hili. Grelish keshawafunga midomo watesi wake bado Antony.Hawa ndio waliokua wanamnanga na kumtukana Grealish kila siku, ila sasa hivi baada ya kuzoea mazingira na kuanza kukiwasha Epl wenyewe wameshaanza kumsifu.
Naamini msimu ujao Antony akishaizoea vizuri Epl wenyewe wataanza kumuimba na kumsifu.
Huyu jamaa pamoja na ugeni wake kwenye ligi ila muhimili mkubwa sana kwenye timu yetu, ukitaka kudhibitisha angalia kila anapotolewa uwanjani jinsi tunavyopelekewa moto timu kwa ujumla hua inakosa balance. View attachment 2581675
Sio mechi ya Arsenyo tu peke yake, angalia hata mechi na Newcastle mara baada ya Antony kutolewa walitufanyaje?Ni kweli mkuu hata ile mechi ya arsenal tulipoteza baada ya yeye kutolewa ila mashabiki maandazi hawajui hili. Grelish keshawafunga midomo watesi wake bado Antony.
Kweli nyumbu ni nyumbuNi kweli mkuu hata ile mechi ya arsenal tulipoteza baada ya yeye kutolewa ila mashabiki maandazi hawajui hili. Grelish keshawafunga midomo watesi wake bado Antony.
Aliekuja dirisha dogo nani? Shida hii ya kufatilia mpira LivescoreWewe hujui mpira vizuri mtu aje Dirisha dogo afu humtwike mzigo wa lawama.