Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

With Rashford out for the rest of the season

How position manjesta will finish?

For me 6th position
 
Manchester United in the Premier League in 2021/22:

38 games
16 wins
10 draws
12 losses

Manchester United in the Premier League so far in 2022/23:

29 games
17 wins
5 draws
7 losses

Erik ten Hag’s Red and White Army.


#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230408_181420_270.jpg
 
Ten Hag on Rashford injury: “We have to wait, it doesn’t look well. Once again, it is due to the schedule… we’ve to protect our players”, tells BT

“You cannot play 3 games in 6 days”.


#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230408_171902_820.jpg
 
Ten Hag on Rashford injury: “We have to wait, it doesn’t look well. Once again, it is due to the schedule… we’ve to protect our players”, tells BT

“You cannot play 3 games in 6 days”.


#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2581175
 
Ten Hag on Rashford injury: “We have to wait, it doesn’t look well. Once again, it is due to the schedule… we’ve to protect our players”, tells BT

“You cannot play 3 games in 6 days”.


#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2581175
 
Anthony Martial in 30 minutes vs. Everton:

94% pass accuracy
21 touches
15 passes completed
1/1 long balls completed
1 foul won
1 key pass
1 goal

Ice-cold AM9 is back. 🫡

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230408_171848_202.jpg
 
Rash hajakosa??
Sabitzer kakosa ngap??
AWB kakosa ngap??
Angalia kipa kafanya saves ngap?? Kipa wa Everton mzima sana acheni lawama kwa antony bana Rash kakosa goli 3 1vs1 yeye na kipa

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Nasikitika kusema kuna watu huwa wanachuki na Antony au huwa wanaumizwa na hela alizonunuliwa Antony huu ni ufukara wa fikra timu nzima ya utd haijatulia leo unamlaumu Antony, hivi uwezo wa Antony kwenye boli ni wakuutilia mashaka kweli? Sasa subiri timu ije itulie ndio mtamfahamu vizuri huyu jamaa.
 
Siku zote anakuwaga wapi had Sasa ana Goli 3 EPL , assist 0

Kwa mchezaji wa €100m unaanzaje kumtetea ,

Huyo Rashidi akikosa bado huwez kumlaumu maana mechi nyingine amewabeba had Sasa mpo hapo,lasivyo mngekuwa na Chelsea mnagombea nafasi ya 10 na 11
Wewe hujui mpira vizuri mtu aje Dirisha dogo afu humtwike mzigo wa lawama.
 
Nasikitika kusema kuna watu huwa wanachuki na Antony au huwa wanaumizwa na hela alizonunuliwa Antony huu ni ufukara wa fikra timu nzima ya utd haijatulia leo unamlaumu Antony, hivi uwezo wa Antony kwenye boli ni wakuutilia mashaka kweli? Sasa subiri timu ije itulie ndio mtamfahamu vizuri huyu jamaa.
Hawa ndio waliokua wanamnanga na kumtukana Grealish kila siku, ila sasa hivi baada ya kuzoea mazingira na kuanza kukiwasha Epl wenyewe wameshaanza kumsifu.
Naamini msimu ujao Antony akishaizoea vizuri Epl wenyewe wataanza kumuimba na kumsifu.
Huyu jamaa pamoja na ugeni wake kwenye ligi ila ameshakua ni muhimili mkubwa sana kwenye timu yetu, ukitaka kuthibitisha hilo angalia kila anapotolewa uwanjani jinsi timu yetu inavyopelekewa, yaani timu yote kwa ujumla hua inakosa balance.
Screenshot_20230117_155817.jpg
 
Hawa ndio waliokua wanamnanga na kumtukana Grealish kila siku, ila sasa hivi baada ya kuzoea mazingira na kuanza kukiwasha Epl wenyewe wameshaanza kumsifu.
Naamini msimu ujao Antony akishaizoea vizuri Epl wenyewe wataanza kumuimba na kumsifu.
Huyu jamaa pamoja na ugeni wake kwenye ligi ila muhimili mkubwa sana kwenye timu yetu, ukitaka kudhibitisha angalia kila anapotolewa uwanjani jinsi tunavyopelekewa moto timu kwa ujumla hua inakosa balance. View attachment 2581675
Ni kweli mkuu hata ile mechi ya arsenal tulipoteza baada ya yeye kutolewa ila mashabiki maandazi hawajui hili. Grelish keshawafunga midomo watesi wake bado Antony.
 
Ni kweli mkuu hata ile mechi ya arsenal tulipoteza baada ya yeye kutolewa ila mashabiki maandazi hawajui hili. Grelish keshawafunga midomo watesi wake bado Antony.
Sio mechi ya Arsenyo tu peke yake, angalia hata mechi na Newcastle mara baada ya Antony kutolewa walitufanyaje?
Antony pamoja na vile viujingaujinga vyake anavyofanya ambavyo hata mimi hua vinanikera especially pale ambapo timu bado inahitaji kupata magoli ili kujihakikishia point 3 muhimu, ila huyu dogo bado ni muhimili mkubwa sana kwenye timu yetu.
Nina ninatumaini makubwa sana msimu ujao atakichafua kwelikweli na atakua anaimbwa na kila shabiki wa Epl.
 
Ni kweli mkuu hata ile mechi ya arsenal tulipoteza baada ya yeye kutolewa ila mashabiki maandazi hawajui hili. Grelish keshawafunga midomo watesi wake bado Antony.
Kweli nyumbu ni nyumbu

Mnataka kusema grealish hakua amezoea mazingira? Alisajiliwa kutokea wapi Seria A?
 
Back
Top Bottom