Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425
Sio mechi ya Arsenyo tu peke yake, angalia hata mechi na Newcastle mara baada ya Antony kutolewa walitufanyaje?Ni kweli mkuu hata ile mechi ya arsenal tulipoteza baada ya yeye kutolewa ila mashabiki maandazi hawajui hili. Grelish keshawafunga midomo watesi wake bado Antony.
Antony pamoja na vile viujingaujinga vyake anavyofanya ambavyo hata mimi hua vinanikera especially pale ambapo timu bado inahitaji kupata magoli ili kujihakikishia point 3 muhimu, ila huyu dogo bado ni muhimili mkubwa sana kwenye timu yetu.
Nina ninatumaini makubwa sana msimu ujao atakichafua kwelikweli na atakua anaimbwa na kila shabiki wa Epl.
Anthony Martial in 30 minutes vs. Everton:






